Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hao wajeda hawajakosea mambo ya kijeda bali ni jinai la kiraia. Watashughulikiwa kwa namna hiyo.Jeshi lina mahakama zao na magreza yao,watalishughulikia kijeshi Kwa mujibu wa Sheria za kijeshi na taratibu zao na hawana utaratibu was kutoa mambo Yao ya kijeshi hadharani!!
Ndivyo unajipa matumaini?Usidhani naandika hapa kujifurahisha, najuwa msg inakwenda wapi direct.
View guests kwenye hii thread utajifunza kitu, wao huwa hawachangii mada yoyote.
Kabisa katika mambo yanakera ni jambo hili, mtu kama mimi nikiri nimekuwa kwa kiasi kikubwa na support serikali lakini kwenye hili hapana. Kuna haja ya jambo hili kupigiwa kelele sana na sio kwamba hakuna matukio mengine yametokea ila hili liwe ni mfano na funzo kwa polisi kwamba haya mambo hayatakaliwa kimya. Naomba tulitumie hili tukio kama mifano ya matukio mengi nchi hii. Ujumbe uende kuwa sauti ya wengi ina nguvu, sauti ya haki ina nguvu.Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.
Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawitibwaliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.
Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.
Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.
Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.
Kama hujui!Usidhani naandika hapa kujifurahisha, najuwa msg inakwenda wapi direct.
View guests kwenye hii thread utajifunza kitu, wao huwa hawachangii mada yoyote.
Ni kwenye kesi hiyo tu? Mbona zinazohusu watu wengine hasa wanaoikosoa serikali wanazitoa hadharani na maelezo mengi tu iweje hii??Jeshi lina mahakama zao na magreza yao,watalishughulikia kijeshi Kwa mujibu wa Sheria za kijeshi na taratibu zao na hawana utaratibu was kutoa mambo Yao ya kijeshi hadharani!!
Paradigm shift Bata ukimchora vizuri ukamgeuza anakua sungura!Ni kwenye kesi hiyo tu? Mbona zinazohusu watu wengine hasa wanaoikosoa serikali wanazitoa hadharani na maelezo mengi tu iweje hii??
Baada ya kuzungumza?Ukimwa wa TLS kivipi wakati washazungumza !?
wanasema huyo mdada "ni kama anajiuza",,,,,yaani neno KAMA nilinamaanisha ata polisi wenyewe wanaochunguza hii kesi hawana uhakika kama anajiuza au hajiuzi"...lakini nashangaa ukinunua mzigo si unaubeba??? mbona huyo dada hawakumbeba???Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.
Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawitibwaliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.
Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.
Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.
Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.
Polisi wanasema binti alikuwa anajiuza, ushahidi wa video upo, je vitendo hivyo ni halali?
Kwa nini Polisi wanadhani kila mtu ni mpumbavu mwenzao?NI mpumbavu ndio... Unapinga nini, chukua hatua sasa
Hii kesi upelezi uanze upya sina imani na upelelezi uliofanyika chini ya RPC huyu.UCHUNGUZI UCHUNGUZI
SIJUI FILE HALIJAFIKA KWANGU
MARA FILE WANALIPITIA
UKISHASIKIA MANENO MANENO KAMA HAYA MTU ANASEMA ,JUWA
KUNA UTAPELI, UWONGO UNATENGENEZWA....KWENYE KESI FULANI
HAPO MTU ANATENGENEZEWA MAZINGIRA
TZ NI NCHI MOJA TAASISI ZAKE
ZINAFANYAGA MAMBO YA KIPUZZZ SANA
ova
Upelelezi wa siku 1 roc anachkua mieziHii kesi upelezi uanze upya sina imani na upelelezi uliofanyika chini ya RPC huyu.View attachment 3073953
Kwanza kesi ya wazi kama hiyo unapeleleza nini wakati video ipo?Upelelezi wa siku 1 roc anachkua miezi
Polisi wengi wahuni na watu siyo kabisa
Ova
Stupid.Mbona inakuuma sana mzee yaani unatoa jazba kama wewe ndio yule Binti
Au wewe ndio bintiStupid.
Unatafuta basha kinguvu choko wewe.Au wewe ndio binti
Shangazi wa Taifa hajasikika kabisa ingependeza naye awe CCedInashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.
Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawiti waliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.
Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.
Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.
Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.