William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu FD,
Hana lolote huyu mnafiki mkubwa, kulima kidogo tu ameshaanza kulia lia, je wanaolima maisha yaop yote je?
Kina Rita Mlaki walipitaje uchaguzi yeye akiwa katibu? anayamaze yaishe tu!
Hivi Mangula anaweza kurudishwa kuwa Katibu Mkuu tena? au ikitoka ndio imetoka?
Twajua Mwalimu Aliuwa Elfu In The Name Of Reberation Strangle
Duh! Utakuwa na kazi kweli kumwelimisha Pope
Hata mie nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu tena wasomi tu kwamba Nyerere alimuondoa Sokoine eti kwa vile alikuwa mashuhuri kumzidi yeye na kwamba aliogopeka hata kumzidi rais. Natambua kwamba Sokoine alipigwa risasi na walinzi na ajali ilikuwa tu kama kisingizio. Wanaodai kwamba Nyerere kahusika wanadai eti kama Nyerere si ndiye alieanzisha mauaji hayo kwa nini hakuwang'ang'ania waliomuua hasa walinzi?
Mimi napingana na hoja hii kwa sababu hizi:
1. Nyerere alikuwa anamuandaa Sokoine achukue nchi baada yake kwa hiyo hakukukuwa na sabau ya kutishika kwa umashuhuri wa Sokoine. Sokoine aliuawa 1984 na Nyerere aling'atuka 1985 na akamuachia Mwinyi kwa hiyo utaona ni kweli Nyerere alikuwa anajiandaa kuondoka hivyo Sokoine si tishio
2. Sokoine hakuwahi kupingana na sera za ujamaa na kujitegemea wala hakuwahi kutofautiana na sera za Nyerere. Kwanini basi Nyerere amuue? Hakuna sababu
3. Sokoine aliuawa na wahujumu uchumu ambao kwao Sokoine alikuwa tishio
Inasemekana pia kwamba dili la kuuawa Sokoine Mzee alipata taarifa ya nini kinataka kufanyika akampigia simu Sokoine kwamba asafiri kwa ndege badala ya gari. Sokoine akamwambia angependa kubana matumizi.
Mimi kipindi kile nilikuwa bado niko shule kwa kweli kama ni kuwajibika Sokoine alitekeleza kwa vitendo. Laiti angekuwa hai huyu Sokoine Tanzania ingekuwa bora kabisa. Ufisadi huu tunaouona haungekuwepo. Hivyo si kweli kwamba Nyerere alihusika na kifo cha Sokoine. Wapo waliohusika na kipindi hicho walitajwa tajwa sana.
sio Pope Tu; Nimejaribu Kuisoma Hiyo Thread Na Kurudia Sijaielewa. Kiswahili Sio Na Kiingereza Sio.
Hapo sasa, waambie MKJJ, kusemasema rahisi lakini kuthibitisha inakuwa ngumuNyerere aliuwa elfu? taja kumi tu...
Jadili Oa Acha Uvivu,mwalimu Kafanya Mengi So Hatuta Ruhusu Watu Wamchafue,please Nyie Mliokuwa Hai Vipindi Hivyonlete Mambo.
Hapo Sasa, Waambie Mkjj, Kusemasema Rahisi Lakini Kuthibitisha Inakuwa Ngumu