Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Mkuu FD,

Hana lolote huyu mnafiki mkubwa, kulima kidogo tu ameshaanza kulia lia, je wanaolima maisha yaop yote je?

Kina Rita Mlaki walipitaje uchaguzi yeye akiwa katibu? anayamaze yaishe tu!
 
Mkuu FD,

Hana lolote huyu mnafiki mkubwa, kulima kidogo tu ameshaanza kulia lia, je wanaolima maisha yaop yote je?

Kina Rita Mlaki walipitaje uchaguzi yeye akiwa katibu? anayamaze yaishe tu!

kuhusu rita mlaki hata usiseme, yule mama alikuwa hatakiwi kila alipoenda jimbo la kawe, na alikuwa akitukanwa mbele ya viongozi waliokuwepo pale na ilikuwa ngumu sana kubadirisha mawazo ya wananchi wa kawe kumchagua rita mlaki lakini vile vile wapinzani kushinda WAS ONE REASON WHY SHE HAD TO WIN !!

Kuhusu Mangula ES hapo usiseme, wee subiri tu baada ya muda fulani utaona ninachoongelea !
 
Tatizo ni kuwa Mangula anayasema hayo baada ya kubwagwa uchaguzi, je rafu za rushwa zimeanza 2007? Hapana. Tangu 1995. Tunataka viongozi thabiti wakemee ufisadi wakiwa madarakani na si baada ya kutoka. inakuwa ni dua la kuku.

Makamba ni katibu mkuu wa CCM, kauli yake inatofsutiana na mtaafu wa kiti hichohicho. Je ni nani mkweli? Je ni nani mzalendo? Ni kwa nini uzalendo uje baada ya kuwa nje? makamba usijebadili kauli siku ukistaafu. rekodi tuinaziweka!!
 
Ninavyo Fahamu Ni Kwamba, Ile Kampuni Ya Kijani, Iliyoundwa Na Chama Cha Ccm Kwa Majina Ya Makaburu, Mang'ula Na Mweka Hazina Wa Wakati Huo (rip)ndio Walikuwa Signatories.

Fedha Nyingi, Kwa Kushirikiana Na P.kisumo, zilipitishia Benki Ya Uba, Ambako Kisumo Alikuwa Mkurugenzi, Kwa Shughuli Maalum Za Ccm Kwa Jina La Jitu Patel. Mwenye Uwezo Afuatilie Link Hii.

Macinkus
 
Hivi Mangula anaweza kurudishwa kuwa Katibu Mkuu tena? au ikitoka ndio imetoka?
 
Mala Nyingi Nimekuwa Nikisikia Watu Wakisema Kwamba Sokoine Aliuwawa Na Kundi La Mafya Ndani Ya Ccm, Na Mwalimu Nyerere Pia Anahusishwa Na Kundi Hilo, sasa Kwa Ufahamu Wangu Sokoine Alikuwa Protegee Wa Nyerere ,na Pia Alikuwa Ni Mtu Ambaye Alikuwa Kama Mwanaye, Twajua Mwalimu Aliuwa Elfu In The Name Of Reberation Strangle Hata Kwa Usalama Wa Nchi Akiwatumia Akina Fredi Mwangota Na Wengine Wengi,naleta Issue Jamvini Kwani Tena Baada Ya Wangwe Kufariliki Wajuaji Wanasema Hiyo Ni Nyerere Staily Kuondoa Wabaya Wake Kisiasa, Wazee Wakaya Na Wana Zengo Kalibuni Tujadili Ili Ikwezekana Niwasiliane Na Papa Jamaa Asipewe Utakatifu........pezzzo, Rome
 
Hata mie nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu tena wasomi tu kwamba Nyerere alimuondoa Sokoine eti kwa vile alikuwa mashuhuri kumzidi yeye na kwamba aliogopeka hata kumzidi rais. Natambua kwamba Sokoine alipigwa risasi na walinzi na ajali ilikuwa tu kama kisingizio. Wanaodai kwamba Nyerere kahusika wanadai eti kama Nyerere si ndiye alieanzisha mauaji hayo kwa nini hakuwang'ang'ania waliomuua hasa walinzi?

Mimi napingana na hoja hii kwa sababu hizi:
1. Nyerere alikuwa anamuandaa Sokoine achukue nchi baada yake kwa hiyo hakukukuwa na sabau ya kutishika kwa umashuhuri wa Sokoine. Sokoine aliuawa 1984 na Nyerere aling'atuka 1985 na akamuachia Mwinyi kwa hiyo utaona ni kweli Nyerere alikuwa anajiandaa kuondoka hivyo Sokoine si tishio

2. Sokoine hakuwahi kupingana na sera za ujamaa na kujitegemea wala hakuwahi kutofautiana na sera za Nyerere. Kwanini basi Nyerere amuue? Hakuna sababu

3. Sokoine aliuawa na wahujumu uchumu ambao kwao Sokoine alikuwa tishio
 
Hata mie nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu tena wasomi tu kwamba Nyerere alimuondoa Sokoine eti kwa vile alikuwa mashuhuri kumzidi yeye na kwamba aliogopeka hata kumzidi rais. Natambua kwamba Sokoine alipigwa risasi na walinzi na ajali ilikuwa tu kama kisingizio. Wanaodai kwamba Nyerere kahusika wanadai eti kama Nyerere si ndiye alieanzisha mauaji hayo kwa nini hakuwang'ang'ania waliomuua hasa walinzi?

Mimi napingana na hoja hii kwa sababu hizi:
1. Nyerere alikuwa anamuandaa Sokoine achukue nchi baada yake kwa hiyo hakukukuwa na sabau ya kutishika kwa umashuhuri wa Sokoine. Sokoine aliuawa 1984 na Nyerere aling'atuka 1985 na akamuachia Mwinyi kwa hiyo utaona ni kweli Nyerere alikuwa anajiandaa kuondoka hivyo Sokoine si tishio
2. Sokoine hakuwahi kupingana na sera za ujamaa na kujitegemea wala hakuwahi kutofautiana na sera za Nyerere. Kwanini basi Nyerere amuue? Hakuna sababu
3. Sokoine aliuawa na wahujumu uchumu ambao kwao Sokoine alikuwa tishio

Inasemekana pia kwamba dili la kuuawa Sokoine Mzee alipata taarifa ya nini kinataka kufanyika akampigia simu Sokoine kwamba asafiri kwa ndege badala ya gari. Sokoine akamwambia angependa kubana matumizi.

Mimi kipindi kile nilikuwa bado niko shule kwa kweli kama ni kuwajibika Sokoine alitekeleza kwa vitendo. Laiti angekuwa hai huyu Sokoine Tanzania ingekuwa bora kabisa. Ufisadi huu tunaouona haungekuwepo. Hivyo si kweli kwamba Nyerere alihusika na kifo cha Sokoine. Wapo waliohusika na kipindi hicho walitajwa tajwa sana.
 
Inasemekana pia kwamba dili la kuuawa Sokoine Mzee alipata taarifa ya nini kinataka kufanyika akampigia simu Sokoine kwamba asafiri kwa ndege badala ya gari. Sokoine akamwambia angependa kubana matumizi.

Mimi kipindi kile nilikuwa bado niko shule kwa kweli kama ni kuwajibika Sokoine alitekeleza kwa vitendo. Laiti angekuwa hai huyu Sokoine Tanzania ingekuwa bora kabisa. Ufisadi huu tunaouona haungekuwepo. Hivyo si kweli kwamba Nyerere alihusika na kifo cha Sokoine. Wapo waliohusika na kipindi hicho walitajwa tajwa sana.

watajeni basi jamani hatakama ni wafununu watajeni tuu
 
Sina uthibitisho lakini kinachosemwa ni kuwa kutokana na ujasiri wake katika kuwatumikia watu hususan wa hali ya chini bila ya woga, Sokoinealijijengea umaarufu mkubwa na alionekana ni mkombozi wa wanyonge na mtetezi makini wa maslahi ya taifa.

Jambo hilo liliwakera vigogo waasisi wa nchi kama akina Kawawa, Msuya, Malecela nk waliokuwa na uchu wa kuchukua hatamu baada ya nyerere kung'atuka. Baya zaidi Nyerere alionyesha kumhusudu sokoine kwa staili yake ya uongozi na kutatua matatizo ya nchi bila ya woga , kiasi cha kujulikana katika circles za kiserikali kuwa alikuwa akimwandaa kuwa mrithi wake.

Inavumishwa kuwa hao waheshimiwa waliokuwa wanajiona wanastahili kuwa warithi watarajiwa halali, wakaona haiwezekani mtoto mdogo kama yeye ambaye hakuwa hata na historia ndefu ya kupigania uhuru, akamrithi mwalimu wakati wao, ambao walishiriki kwa kiasi kikubwa zaidi ktk kupigania uhuru, wakiwa hai, na wakiangalia tu!!! . mpango ukasukwa, kwa kushirikiana na wahujumu uchumi ambao sokoine aliwapelekesha puta.. ...na hatimaye jambo likatokea.

NB; ni uvumi uliovuma miaka hiyo ambayo ni vigumu kwangu kuuthibitisha
 
sio Pope Tu; Nimejaribu Kuisoma Hiyo Thread Na Kurudia Sijaielewa. Kiswahili Sio Na Kiingereza Sio.

Jadili Oa Acha Uvivu,mwalimu Kafanya Mengi So Hatuta Ruhusu Watu Wamchafue,please Nyie Mliokuwa Hai Vipindi Hivyonlete Mambo.
 
Swali zuri Mwanakijiji; labda aliuwa kwenye vita alivyruhusu vya Kagera!! Si unajua binadamu hawakosi cha kuandika?
 
Jadili Oa Acha Uvivu,mwalimu Kafanya Mengi So Hatuta Ruhusu Watu Wamchafue,please Nyie Mliokuwa Hai Vipindi Hivyonlete Mambo.

Pezzo.. wewe umesema unajua Nyerere aliua "elfu"... sasa jaribu kuanza na kumi tu, na kwa vile umeshaamini Sokoine ni mmoja wao, basi unaweza ukaendelea na tisa....
 
Hapo Sasa, Waambie Mkjj, Kusemasema Rahisi Lakini Kuthibitisha Inakuwa Ngumu

Moja Ameuwa Ufahamu Wako Only Have Now Is Highly Claiming Capasity Wisdom And Understanding Zero.pili Jamaa Kakujibu Hapo Juu
 
Back
Top Bottom