- Mangula akubali tu yaishe, sisi huku taifa ngoma inogile maneno yote Kisutu, Sokoine hakupeleka mtu yoyote mzito Kisutu zaidi tu wauza Colgate, sasa CCM tunapeleka Kisutu mawaziri wa zamani ambao yeye alipokuwa katibu mkuu wao wa CCM hakuyaona madhambi yao, under current CCM waziri mkuu na mawaziri wawili wamelazimika kujiuzulu kukwepa sheria na sasa wako njiani kufika Kisutu pia, Mangula hajaona haya?
- Mkapa mkuu wa Mangula, ndio hivyo mguu mmoja ndani na mwingine nje kuelekea Kisutu, labda tuwaombe serikali waangalie nini mchango wa Mangula kwenye wizi wa Mkapa maana definetely he knows and did something as patner in crime!
Mangula jaribu kuja mjini sometimes maana unaonekana kupitwa sana na yanayojiri Kisutu, CCM at this point and time tunahitaji ushahidi kama wake Mangula kumharakisha Mkapa Kisutu sio maneno ya Sokoine maana ya sasa Sokoine cha mtoto, Feleshi noma tupu hata Sokione kasingiziwa sasa tunamsubiri Mama Meghji next, Mangula miaka 10 CCM hakuna lolote zaidi tu ya kulia lia huko pembeni, debe tupu bwana kwa kelele tu!
Wakulu Invisible na Halisi, tupeni dataz vipi wiki hiii zamu ya nani Kisutu?
Mkuu FMES heshima mbele, Tunapochangia hapa tufikirie kwamba Mangula aliyasema haya maneno mwaka 2007 baada ya uchaguzi mkuu wa CCM. Kisutu ni ya 2008 hebu tumtendee haki huyu bwana pia.