Pre GE2025 Tunamshukuru Rais Samia kwa ushindi wa Trump

Pre GE2025 Tunamshukuru Rais Samia kwa ushindi wa Trump

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Huenda bila mashirikiano mema ya Tanzania na Marekani bwana Trump asingeshinda u Rais wa Amerika.

Kwalo, juhudi binafsi za ukuaji wa demokrasia ndani ya Utawala wa Samia zimeufanya ulimwengu uone na kuiga mengi mema yanayofanywa na mama hali inayopelekea hata wao kujifunza kutoka kwake.

Ushindi wa Trump unaakisi sera nzuri za mama za uwekezaji kwenye miradi mbalimbali yenye tija kwa Watanzania.

Ushindi wa Trump umechangizwa na namna mama anavyoendelea kuwaletea maendeleo wananchi.

Nani kama mama ndugu zangu!?
 
Huenda bila mashirikiano mema ya Tanzania na Marekani bwana Trump asingeshinda u Rais wa Amerika.

Kwalo, juhudi binafsi za ukuaji wa demokrasia ndani ya Utawala wa Samia zimeufanya ulimwengu uone na kuiga mengi mema yanayofanywa na mama hali inayopelekea hata wao kujifunza kutoka kwake.

Ushindi wa Trump unaakisi sera nzuri za mama za uwekezaji kwenye miradi mbalimbali yenye tija kwa Watanzania.

Ushindi wa Trump umechangizwa na namna mama anavyoendelea kuwaletea maendeleo wananchi.

Nani kama mama ndugu zangu!?
Nimekusoma, yaani bila Bi Urojo huyo Trump asingeshinda. Yaani hata angesimamishwa Bi Urojo badala ya Bi Kamala Harris ndiyo lingekuwa angulo la Trump, nimekuelewa.
 
Huenda bila mashirikiano mema ya Tanzania na Marekani bwana Trump asingeshinda u Rais wa Amerika.

Kwalo, juhudi binafsi za ukuaji wa demokrasia ndani ya Utawala wa Samia zimeufanya ulimwengu uone na kuiga mengi mema yanayofanywa na mama hali inayopelekea hata wao kujifunza kutoka kwake.

Ushindi wa Trump unaakisi sera nzuri za mama za uwekezaji kwenye miradi mbalimbali yenye tija kwa Watanzania.

Ushindi wa Trump umechangizwa na namna mama anavyoendelea kuwaletea maendeleo wananchi.

Nani kama mama ndugu zangu!?
😆😆😆😆
 
Nyie ndio vijana mnahitajika, kesho fika rumumba mapema ukiwa na ID yako ya zamani uchukue lunch.
 
Acheni ujinga please, hii ni dharau na kumkosea heshima Mkuu wa nchi, mjue Mama Samia ni Rais wetu sote na ni Mama kama mama zetu, mpeni heshima yake kama Mama hata kama humpendi kwa sbb zako, acheni kabisa tabia mbovu hizi, mnakosea sana na kuudhi sana
 
Huenda bila mashirikiano mema ya Tanzania na Marekani bwana Trump asingeshinda u Rais wa Amerika.

Kwalo, juhudi binafsi za ukuaji wa demokrasia ndani ya Utawala wa Samia zimeufanya ulimwengu uone na kuiga mengi mema yanayofanywa na mama hali inayopelekea hata wao kujifunza kutoka kwake.

Ushindi wa Trump unaakisi sera nzuri za mama za uwekezaji kwenye miradi mbalimbali yenye tija kwa Watanzania.

Ushindi wa Trump umechangizwa na namna mama anavyoendelea kuwaletea maendeleo wananchi.

Nani kama mama ndugu zangu!?
Una matatizo lukuki la njaa limezidi.
 
Acheni ujinga please, hii ni dharau na kumkosea heshima Mkuu wa nchi, mjue Mama Samia ni Rais wetu sote na ni Mama kama mama zetu, mpeni heshima yake kama Mama hata kama humpendi kwa sbb zako, acheni kabisa tabia mbovu hizi, mnakosea sana na kuudhi sana
Kosa ni lipi hapo?!
 
Back
Top Bottom