Tunamshukuru Waziri wa Ulinzi, Innocent Bashungwa kwa kuongelea ‘malengo’ ya ubinafsishaji wa bandari za Tanzania

Tunamshukuru Waziri wa Ulinzi, Innocent Bashungwa kwa kuongelea ‘malengo’ ya ubinafsishaji wa bandari za Tanzania

Wadanganye wajinga
Hujamsoma mleta mada mpaka mwisho, ukianza kumsoma mwanzo namna alivyomsifia Bashungwa kwa kuelezea malengo ya uwekezaji, unaweza kudhani ndio aliishia hapo.

Lakini chini ameelezea vyema, lucha ya nia nzuri ya uwekezaji iliyonayo serikali, kama kuongeza ufanisi, na kupunguza gharama za uendeshaji kwa serikali, bado ule mkataba wa bandari una maeneo kadhaa yanayotiliwa shaka, ametoa mfano aa kifungu namba 2 (1) kuhusu aina na wigo wa mkataba wa uwekezaji kati ya Tanzania na Dubai.

Kwa kifupi ameleezea vizuri sana, kwa kuonesha vile nia nzuri ya serikali kwenye uwekezaji, inavyoweza kuharibiwa na uwepo wa mkataba mbovu kama ule wa bandari na waarabu, kama ambavyo ameonesha kwenye andiko lake kupitia terms za kwenye ule mkataba.
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.

Wale wale hakuna jipya
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.

Ahsante sana mama Amon.
Tanzania inaongozwa na wasioipenda.
Wakati mwingine huwa nakaa nafiikiria yanayoendelea nchini ni kana kwamba MAPINDUZI YALIFANYIKA kuiweka serikali iliyopo madarakani.
Maana haiwezekani kamwe kwa mtu ambaye umepokea tu utawala kwa kudra za Mwenyezi Mungu, kwenda kinyume na sera za mtangulizi wako kama kweli wewe na yeye mlikuwa kitu kimoja!
 
Siku hizi JF ina vilaza wengi!! Wavivu wa kusoma lakini wepesi wa kuandika utumbo. Kama hujasoma mada ya nini kuchangia??
Kweli hawajasoma madini ya mama Amon.
Ofcourse kwa mvivu wa kusoma, anaweza asimwelewe mama Amon, lakini kwa aliyesoma article nzima, nama wa watu kahitimisha vzr sana.
Tunawataka wazalendo kama kina nama Amon.
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.

Hizi nadharia zako zipeleke darasani mwacheni Rais afanye kazi yake. Badala ya kupoteza muda wako katafute kazi ya kukuingizia kipato
 
Nimesoma bandiko lako hongera sana kwa uchambuzi. Wakati namsikiliza Bashungwa akiongea kwa ujasiri nikawa nawaza ina maana huyu kijana ni kweli haoni mapungufu makubwa kwenye huu mkataba au ndio anabembeleza urafiki kwa kaisari kama ulivyoandika.

Yaana naona kuona upofu fulani umewavaa hawa viongozi maana ujinga wanaouongea watakuja kuujutia baadae
Tumia akili, Bashugwa ni waziri ulitegemea aseme kinyume na maamuzi ya baraza la mawaziri ambayo mwekiti wake ni Rais? Tutumie akili sazingine.
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.



Namba ya simu umesahau
 
Sawa, ila na hoja hizi pia zijibiwe....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Bashungwa mdomo wake umepinda, uko tenge hasa akiwa anaongea propaganda
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.
Nitakutafuta nikija Sumbawanga, umeongea Mambo ya Msingi Sana.
 
Amekutuma au wewe ni yeye? Anaongea pumba tupu halafu mnasifiana ujinga. Kumbaff

NImemsifia kwa kuongelea alengo mema ya ubinafsishaji wa bandari

NImekosoa mbinu haramu zinazotumika kwenye ubinafsishaji wa bandari kwa kuonyesha kuwa kinahoendelea pale ni ubinafsisiahji bila kufuata sheria ya PPP na kanuni zake

Kosa liko wapi?

Nasubiri jibu lako
 


Tumefurahi kumsikia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, kule mkoani Kagera, Mhe. Innocent Bashungwa, akiongelea ubinafsishaji wa Bandari za Tanania Bara.

"Ubinafsishaji ni mchakato wa kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya umiliki wa rasilimali au taasisi zinazomilikiwa na serikali na kuziweka mikononi mwa wajasiriamali walioko kwenye sekta binafsi kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji, tija na kuipunguzia serikali mzigo wa gharama za uendeshaji."

Mchakato huu unaweza kuhamisha asilimia yote au asilimia kidogo ya ummiliki wa haki zinazohusu matumizi (use ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu faida (fruits ownership rights), au umiliki wa haki zinazohusu uwezo wa kuuza kitu kinachoilikiwa (substantive ownership rights), au baadhi ya haya matatu, au yote matatu kwa pamoja.

Kwa ufafanuzi zaidi tunawea kurejea kazi ya E.S. Savas (1987), "Privatisation: The Key to Better Government (Chatham House Publishing Inc.).

Maoni yetu ni kwamba, kwa kuzingatia fasili hiyo hapo juu, na malengo ya mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai, ubinafsishaji ndio mchakato unaoendelea kuhusiana na mkataba wa awali kati ya Tanzania na Dubai. Ibara ya 2(1) ya mkataba huu inathibitisha haya kwa kusema yafuatayo:

1689605005061.png


Na kama anavyosikika akisema Waziri wa Ulini, Mhe. Bashungwa, malengo ya ubinafsishaji yanawafaa, sio CCM pekee, bali umma wote wa Tanania.

Tunaelewa kwaba sheria za nchi na sera za CCM zinaonyesha kuwa ubinafsishaji unaweza kufanywa na serikali, sekta binafsi, au kupitia ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.

Nchini Tanzania ubinafsishaji unaratibiwa chini ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ya mwaka 2010.

Yaani, "The Public-Private Partnership Act No.10/2010, Chapter 103," ambapo ibara ya 6(3) inataja maeneo 26 ya ushirikiano, yaanii:

"....crop farming, livestock, poultry, fisheries, irrigation, roads, bridges, railways, airports, aviation, shipping, navigation, energy, buildings, Industry, Exploration, Mining, Education, Health, Environmental Conservation, Waste Management, Information Technology, Communication Technology, Trade, Sports, and Recreation."

Kwa mujibu wa sheria zetu ubinafsishaji ni sera ya Taifa. Na katika sekta yoyote kati ya sekta hizi 26 ubinafsisiahji unaweza kufanyika kwa asilimia kidogo au asilimia zote mia moja.

Kwa hiyo, sio dhambi serikali ya Tanzania, ikiwemo serikali ya CCM, kubinafsisha bandari kwa kutumia mbinu yoyote halali.

Tatizo ni kwaba, mchakato wa sasa unatumia mbinu haramu ili kufanikisha malengo mazuri. Tutaeleza

Kwanza, kuna utata kwenye ibara ya 2(1), kuhusu aina na wigo wa mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya ubinafsishaji unaokusudiwa. Maneno niliyoyapigilia msitari hapa chini yanahusika.

1689596226187.png


Maneno yenye utata na yanayoleta hofu kwa wananchi wakazi wa maeneo yaliyo jirani na maeneo yanayoguswa na mkataba ni haya;

"...areas of cooperation for the development, improvement, management and operation of SEA AND LAKE PORTS, SPECIAL ECONOMIC ZONES, LOGISTIC PARKS, TRADE CORRIDORS and other related strategic port infrastructure in Tanzania."

Maneno haya yakisomwa pamoja na maudhui ya Kiambatanisho Na. 01 yanazua utata na hofu kubwa. Sehemu ya Kiambatanisho hicho yenye kuongeza hofu ni hii hapa:

1689596709849.png


Majukumu ya bandari na miundombinu yake hutumia ardhi ambayo imefungamana na maisha ya kila siku ya wakazi walio jirani na uwekezaji wa aina hiyo.

Kuhusu ardhi hiyo, sheria tajwa ya ubia inasema yafuatayo katika ibara namba 13:

"13. Where, the project requires acquisition of land for its implementation, the acquisition shall be carried on in accordance with the Land Act, Village Land Act, the Land User Planning Act, Land Acquisition Act and any other relevant laws."

Hivyo, wananchi walioko katika mwambao wa Bahari ya Hindi na miambao ya maziwa kama vile Ziwa Nyasa, Ziwa Viktoria na Ziwa Tanganyika wanataka kusikia serikali inasema nini kuhusu ardhi zao, kwa kuzingatia matakwa haya ya kisheria.

Pili, kuna tatizo la kufanya mambo kana kwamba sheria na kanuni za nchi zinazoongoza ubinafsishaji hazipo. Aina ya ubinafsishaji unaokusudiwa na serikali haiko bayana.

Kanuni naba 02, katika, Toleo Na. 37/2020, inasema kwamba ubinafsishaji unaweza kutekelezwa kwa kutumia modeli za ushirikiano (partnership models) zifuatazo:

"(a) service and management contracts; (b) design, build, operate and transfer; (c) design, build, operate and maintain; (d) build, operate and transfer; (e) design, build and operate; (f) design, build, finance, operate and maintain; (g) build, own, operate and transfer;(h) build, lease and transfer; (i) build, transfer and operate; (j) operation and maintenance; (k) operation, maintenance and management; and(l) lease, develop and operate."

Katika muktadha huu, watu wanauliza: ndoa ya Tanzania na Dubai imesimama wapi? Swali hili halijapatiwa jawabu kamilifu.

Kwa kuwa IGA inaweka misingi ya ushirikiano, kulihitajika ibara nzima kwa ajili ya kufafanua jabo hili ndani yake. Naona kwamba haipo. Kama ipo imetumia misamiati mbadala ambayo imenipiga chenga.

Tatizo la tatu ni kwamba, hatua za kikanuni za ubinafsishaji zinazotajwa kwenye Kanuni za ubinafsishaji, Toleo Na. 37/2020, ibara ya 34-61, hazionekani kuzingatiwa na serikali. Hatua hizo ni hizi hapa;

34. Procurement principles.
35. Methods of procurement of unsolicited projects.
36. Market sounding
37. Procurement of solicited project.
38. Bidding criteria of a private party.
39. Issuance of Pre-qualification documents.
40. Pre-qualification proceedings.
41. Participation of consortia.
42. Clarification of applications for pre-qualification.
43. Appointment of evaluation team.
44. Receipt, evaluation of applications for pre-qualification.
45. Approval of shortlist.
46. Contents of request for proposals.
47. Approval and issuance of request for proposals.
48. Further demonstration of fulfilment of qualification criteria.
49. Bid securities for solicited proposal.
50. Clarification and modification of bid documents.
51. Submission of bids.
52. Extension of time for submission of bids.
53. Evaluation of submitted proposal.
54. General evaluation criteria.
55. Financial evaluation criteria.
56. Evaluation of proposals based on criteria in bidding document.
57. Conduct of due diligence.
58. Preferred and reserve bidders.
59. Value for money report.
60. Approval of award of contract by Steering Committee.

61. Notice of intention to award contract.

Kanuni hizi ni sehemu ya sheria za nchi zinazoongoza ubinafsishaji, hata bila kujali sera za CCM zinasema nini.

Zimekiukwa kwa asiliia 100 na watu wote serikalini wamekaa kimya kwa sababu ya kubembeleza urafiki wa Kaizari.

"Ukipinga unapinga jambo la Mama," ndio kaulimbiu inayotumika kama nyenzo ya vitisho. Sio katika Tanzania ya Nyerere!

Na tatizo la nne ni kwamba, mkataba wa Tanania na Dubai unapendekeza ubinafsishaji utakaopitia mchakato wenye hatua kuu nne.

Yaani, mkataba wa awali wa kiserikali, mikataba ya nyongeza ya kibiashara, mkataba wa kukodishana uendeshaji wa bandari, na mikataba ya kukodishana ardhi.

Yaani, "inter-governmental agreeents (IGA), host governent agreements (HGA), concessional agreements and lease agreements."

Mchakato huu hautokani na sheria wala kanuni za ubinafsishaji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Badala yake, ni kama tunatumia sheria za serikali ya Dubai kuendesha serikali ya Tanzania. Jabo hili sio salama kwa nchi yetu. Ni kuuza uhuru na utaifa wetu.

Kwa ujumla, sheria ya ubinafsishaji na kanuni zake vinaanzisha mfumo murua wa kisheria unaosimamia ubia wa watu au kampuni binafsi katika miradi ya Serikali kupitia mikataba maalum.

Ubia huo una lengo la kutekeleza marekebisho ya kiuchumi na kijamii nchini kwa lengo la kusaidia kukuza uchumi na kupunguza umaskini.

Watanzania wanataka kusikia viongozi wa chama na serikali wakiongea maneno yanayoakisi sheria na kanuni hizi. Bado kazi hii haijafanyika.

Mhe. Bashungwa na wenzake ambao ni wataalam wa uchumi na sheria wanaweza kuziba pengo hili kwa kiasi kikubwa. Tunawaomba wajitahidi kufikiri nje ya sanduki la kivyama maana Tanzania ni kubwa kuliko vyama.


Mawazo yetu ni hayo tu kwa sasa. Tunamtakia Mhe. Bashungwa uchapa kazi bora na ufanisi katika siasa za kitaifa.

Ubinafsishaji makini hoye!,
Ubinafsishaji holela mwiko!

Mama Amon Desk,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
17 Julai 2023.

Asante sana Mungu Kwa uumbaji na kipawa Cha akili na maarifa Cha huyu Mama Amon Desk 💞💞💞💞👋👋👋
 
Amekutuma au wewe ni yeye? Anaongea pumba tupu halafu mnasifiana ujinga. Kumbaff
Naimani hujasoma andiko hili la Mama Amon mpaka mwisho. Kiufupi hajamsifia huyo waziri wa Ulinzi Bashungwa bali ameonesha udhaifu wa maelezo ya waziri wa Ulinzi kuhusiana na mkataba huu.
Hii hali ya kuangalia bandiko limewekwa na nani na kuconclude tu kuwa litakuwa limeegemea mlengo fulani tuiache na tusome mpaka mwisho ili kujua hoja zimeegemea upande gani na kizichambua.
Nakusifu sana mleta mada kwa uchambuzi huu yakinifu na kuonesha mapungufu ya mkataba ambayo serikali na watendaji wake hawayaoni sijui makusudi au kwakuogopa kwenda kinyume na mama. Kiufupi huu mkataba ukiingia kwenye implementation bila mabadiriko ya vifungu ambavyo vipo wazi kabisa kuipokonya mamlaka serikali ya Tanzania juu ya rasilimali zake hakika baadae tutawatafuta mtaani hawa viongozi baada ya madhara yake kuanza kuonekana.
 
Wananchi wa wapi mliogoma?!!! Sisi watanzania tupo na mama na msimamamo wetu uwekezaji ufanyike......nyie vibaraka a.k.a mapimbi wa wapigaji hamtutishi kwa lolote.
Wewe unamuuliza mwenzio ni wananchi wa wapi waliogoma halafu na wewe unarudia kosa lile lile la uliyemkosoa la "sisi watanzania tupo"!!??
Nami nakuuliza kilaza wewe, ni watanzania gani ambao wapo na mama!!???
 
Bashungwa na bandari wapi na wapi?
Walio pewa dhamana ya kuendesha wizara ya uchukuzi kila kiongozi na jibu lake.
Upuuzi kabisa
Tunataka bandari zetu zirudi

Tusimpuuze Bashungwa kwa sababu zifuatazo:

1. Ni Waziri wa Ulinzi na hivyo anayo dhamana kubwa kuhusu usalama wa nchi, jambo linalomfanya kuwa miongoni mwa washauri wakuu wa Rais

2. Ni mchumi ngazi ya Masters na hivyo anaelewa vema nadharia ya ubinafsishaji

3. Amefanya kazi benki ya Dunia na hivyo anaelewa vema 'practice' ya ubinafsishaji

4. Kwa hulka yake ana kipaji cha kusikiliza na kujibu baada ya kuelewa, na baada ya kuelewa yuko radhi kukaa kimya kuliko kusema uwongo (mental reservation)

Mtu mwenye sifa hizi tunapaswa kumshirikisha dukuduku zetu kwa hoja bila kejeli, masiango wala matusi.

Uandishi wa uzi huu umezingatia yote haya
 
Back
Top Bottom