Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Jamaa alianza kufeli alipoanza kuiga kuimba kama Jay Z
 
Amekuwa laini sana ck hizi.. Sio muda mrefu sana tutamwona akilamba tuzo nyingi sana za killi kwa miondoko yake laini.

Mpaka sasa hivi cjajua nani mkali kati ya Vanessa Mdee na John Makini.
 
daaaah kaka nliwahi kuisema hii mwanan
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).

Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.

Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.

Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.

Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
gu mmoja alinipinga sana hadi nkajihisi au kweli sijui muziki
 
Yeah unaitwa Kata Leta...Frankly speaking mm sikuupenda hata siusukilizi sujui wadau wengine.Ila najua Nick huwa anapitia humu Jf achukue hizi changamoto wakazifanyie kazi ili waendelee kuwepo kwenye industry.
Huyo Nick sijui huwa anaimba nini.... Sio msanii kabisa
 
game imechange sana so joh kwenda na mabadiliko hayo yupo sahihi kabisa otherwise angeng'ang'ania hiyo style moja angekuwa historia kama kina dudubaya,mapacha,juma nature,inspector haroun,kala pina n.k muziki sasa hivi ni ubunifu wa hali ya juu vinginevyo utausikia kwenye bomba tu
 
Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie wabongo mna majungu sn wakipotea kwenye game mnaanza kuwacheka ....soko la muziki likienda hata kwenye singeli na wao wakomae vingine wakipotea ndio wamepotea
 
Watu wa kaskazini wanajionaga wagumu alafu Joh anawavua nguo
 
"Unanifanya ni coooome",Hivi kweli Mr nice akikazia na TAKEU yake kipindi hiki mtamuelewa kweli? Watu wanatafuta soko linaendaje na uchumi wao kwa ujumla,hata kina Eminen kila siku tunaona wanavyo change,Roma,Darasa,Ney wa mitego na wajanja wengine wameshaona pakutokea,hata huyo Fid mwenyewe nae unaona sio yule mkazaji kama wa mwanza mwanza unaona na kina Bella wanawekwa humo ili soko limuelewe,

Waacheni waimbe kulingana na soko manake tunaomuelewa ni wengi kuliko msiowaelewa," Dereva na gonga miiiiiti......
 
Jay Moe naye namuona anaanza kuja taratiibu ndani ya vibinda na muda si mrefu ataanza kudinda.
Jay moe hata nyimbo ya kuparty anaandika sana alaf yule chochote akifnya ktk mzki huwa kinaskika vizur tu
 
Sasa Ni Come una tofauti gani na "Nampa PAPA wa gigi money"
Gigi=Joh
 
Hakuna mashabiki wanafki kama wa Hip Hop ngumu, watakuambia we unaweza ila andaa show uone utachokipata.
Yaani katika woote we ndo umeandika ukweli mkuu, kwangu mimi Joh bado yuko vizuri, anaakili nyingi sana huyu jamaa, anajua kuenda na wakati, ni Mfalme wa kuswitch na flows, anafanya mziki biashara ..... Na kama watu wangekuwa wanapenda Hip Hop ya kuelimisha basi TAMADUNI MUSIC GENERALLY WANGEKUWA MAMILIONEA, pia NASH MC na wengine wengi ambao wanaandika vizuri na kuwakilisha matatizo ya jamii, lakini watu wamejaa UNAFIKI, wanasifia UKALI kwa maneno lakini hawasapoti chochote kwa vitendo, imagine mtu anasifiwa mkali lakini anakufa njaa mtaani, afanye nini na mziki ndio maisha yake? Acheni waswitch vijana, MZIKI BIASHARA!
 
Back
Top Bottom