Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Inafahamika na wengi kwamba, baada ya ile kauli ya kula Kwa urefu wa kamba! Ndiyo haswaa imewakosha majangili wa ccm na wewe ukiwamo,Kuwa Rais haihitaji kupendwa ila kinachotakiwa ni ku deliver..
Nyerere aliwahi waambia wajinga kama wewe kwamba kama unampenda mtu nenda kanywe nae chai sebuleni kwako..
Na mimi nakwambia wewe kama unapendwa nenda katege buttocks kwa unaempenda ..
Mwisho mbona humtaji anaependwa?
Wewe ulitaka ule Kwa urefu wa kamba ya nani?Inafahamika na wengi kwamba, baada ya ile kauli ya kula Kwa urefu wa kamba! Ndiyo haswaa imewakosha majangili wa ccm na wewe ukiwamo,
Mnamponza mwenzenu, hammumwambii ukweli kwamba, 2025 tutakuwa na chuguo la watu wengi
Suala la biashara kufa ilo lipo kila mwaka na endelea kulitarajia ila jana nilisikia kwenye Power Breakfast kuna kampuni zimefungwa na kila mmoja hapo anasanabu zake.Jibu hoja wewe sukuma gang,taja sera zilizobadilishwa zinazoathiri wanyonge wenu mliowageuza mitaji maana kama ni Riva za kilimo sasa ni 9% kutoka 17% ,hivyo hivyo na kwenye riba za biashara za kawaida zimeshuka..
Pili saizi huwezi sikia biashara zinafungwa kama zama za Jiwe,taja hapa sera zinazowaathiri wanyonye na kuwafanya matajiri kuwa matajiri kila siku.
Sisi tumekubali kwenda na Rais Samia. Hao Raia wa Hali ya chini na wao waende na rais wanayeona anafaa. Full stop tuache kupigiana makeleleJamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.
Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.
Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.
Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
🤣🤣🤣Kwakweli mimi SSH yupo moyoni mwangu kabisaa, kuroho safi. Namwombea afanikiwe maana mafanikio yake ndio mafanikio ya nchi.
JPM alikuwa na mazuri yake lakini dah... Ile ilikuwa noma.
🤣🤣🤣pale tulipigwaHivi ukiwa na wabunge wenye mambo ya kitoto kama wale pale Dodoma unawezaje kumlaumu Rais ambaye amewakuta na ikamlazimu kuwaangalia wanavyodmka na kuruka sarakasi kwenye maiki Bungeni.
Pwani kwa kubinuliana wake za wenzao na blah blah kibao jawajambo .nao ni majizi. Kaulize visiwa vilivyozungukwa na bahari Rais Mwinyi anavyohangaika nao .miafrika ni.mijizi tu every whare achana na mentality ya ki cannibalism weweHaaaahaaa sasa mkuu samaki utaibaje?, Ila huko ziwani au Bahraini wavuvi huwa wanaibiana taa au betri mkuu.
Duh eti watu wa Pwani sio wezi!!!Hakuna kitu kama hicho.
Rais akishaapishwa ni amiri Jeshi mkuu muda huo huo. Kila mtu anatii mamlaka hiyo mpaka hapo itakavyokuwa Vinginevyo kwenye uchaguzi unaofuata.
Samia ataendelea mpaka 2025 na akitaka ataendelea mpaka 2030 labda akubali kungatuka Mwenyewe na washauri wake waridhie.
Tabu anayoioata ni kuendesha nchi kidemokrasia wakati katiba yetu ni ya Kidikteta.
Nchi hii Ina wezi wengi sana mana majority ya waliopo kwenye mifumo na idara mbalimbali ni zao la udanganyifu na wizi. Yaani wengi wa walioko kwenye mifumo na idara ama waliiba mitihani miaka hiyo ya 2010 kurudi nyuma au walipata madaraka Kwa rushwa au wizi wa kura n.k. Hivyo kundi Hilo ndilo linalohujumu maendeleo ya nchi . Hao hawana huruma na maisha ya Watanzania. Mama SSH anahangaika sana kutafuta fedha za Maendeleo lakini amazungukwa na watu wa bara ambao wengi wao ni wezi Kwa asili kwani wafugaji wanaasili ya wizi wa kuiba mifugo na kujilimbikizia wao na familia zao. Bara wengi Wana hulka ya wafugaji. Pwani wengi ni wavuvi ambao hawana hulka ya kuibiana samaki.
Mjomba naona unapigapiga chenga:SIMPLE & CLEAR JPM alikuwa low intellegence sawa sawa na huyu mwanamama HANGAYA!...Wote low intellegence,Mama ana sera nyingi nzuri. Ninafsi naamini panapomkwamisha ni pamoja
1. Aliingia akikuta watu wengi washamwamini kwa kiwango cha juu mtangulizi wake
2.before na machungu hayajapoa akakubali kuanzisha tozo zinazogusa watu wa chini direct
3. Hajipambanui kuwa yuko karibu na watu wa chini bali anaegemea kwa makabaila na pia hana anapoweza kuonyesha kuwa ana deal na majizi .mind you majizi yanachukiwa sana nchi hii na kati highlight kwenye katiba mpya tarajiwa majizi ni moja ya jambo letu wanyonge. Mfano wa kuonyesha kutojali ni anapokuwa na mikutano hakuna anymore mnyonge anaejigalagaza mbele yake baada ya kumshushua mmoja wa wamama waliojitoa ufahamu kuja kwake. Kumbuka mtangulizi wake alivyokuwa down to earth kwa hilo.
4. Kuonyesha wazi wazi kujitenga na misimamo ya mtangulizi wake .hili suala niliwahi kuzi warn mamlaka baadhi wakabeza.
Mwisho yote hayo yakichangia kutomkubali mama aka Hangaya hali ya maisha imeenda ndivyo sivyo na bado haonyeshi kuwa confort watu .badala yake anawakatisha tamaa. Anyway hizi ni views zangu .
Naunga mkono hojaMkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!
Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.
Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.
All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
Kijijini kwenu ndiyo kuna wajinga waliopitiliza, na wewe ndiyo mwenye akili unayeweza kiandika utopolo wenu JF. POLE PaulsylvesterHivi unajua hadi vikongwe wa huko vijijini hawaitaki ccm na hasa Rais aliyepo???
Hawataki kusikia jina lake hata kidogo, na limenishangaza hilo Kwa sabb vikongwe wengi wa nchi hii ilikuwa ukiwaambia vyama vingine ilikuwa ni rahisi Kwa wao kusema eti tunataka kuleta vita kuondoa amani iliyoachwa na Mwalim Nyerere!!
Nenda sasa vijini uwaulize hilo mdo utapata majibu yao!!
Ndungai alijaribu kushauri akaangukiwa na 'kitu kizito', Sasa kwa nini wengine 'wasidemke'!Bunge la hovyo haliwezi kumshauri Rais unless awe dikteta ambaye bunge halina umuhimu wowote.
Na huo ndio ukweli kwa wanaopenda kusema ukweli !! Na ukweli kama huu ndio unaoweza kumsaidia mhusika ili ajaribu kurekebisha pale ambapo ataona panaleta hii shida !!Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya
Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea
Namnukuu baada ya kupokea simu yake:
Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu
Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..
Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
Pwani wana tabia za kutambiana kwa kila kitu !! Hivyo basi wenye tabia hizo Mara nyingi huwa ni wabinafsi wa kutaka kila kizuri kiwe kwake tu !!Hakuna kitu kama hicho.
Rais akishaapishwa ni amiri Jeshi mkuu muda huo huo. Kila mtu anatii mamlaka hiyo mpaka hapo itakavyokuwa Vinginevyo kwenye uchaguzi unaofuata.
Samia ataendelea mpaka 2025 na akitaka ataendelea mpaka 2030 labda akubali kungatuka Mwenyewe na washauri wake waridhie.
Tabu anayoioata ni kuendesha nchi kidemokrasia wakati katiba yetu ni ya Kidikteta.
Nchi hii Ina wezi wengi sana mana majority ya waliopo kwenye mifumo na idara mbalimbali ni zao la udanganyifu na wizi. Yaani wengi wa walioko kwenye mifumo na idara ama waliiba mitihani miaka hiyo ya 2010 kurudi nyuma au walipata madaraka Kwa rushwa au wizi wa kura n.k. Hivyo kundi Hilo ndilo linalohujumu maendeleo ya nchi . Hao hawana huruma na maisha ya Watanzania. Mama SSH anahangaika sana kutafuta fedha za Maendeleo lakini amazungukwa na watu wa bara ambao wengi wao ni wezi Kwa asili kwani wafugaji wanaasili ya wizi wa kuiba mifugo na kujilimbikizia wao na familia zao. Bara wengi Wana hulka ya wafugaji. Pwani wengi ni wavuvi ambao hawana hulka ya kuibiana samaki.