Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

Nitajie fiscal na monetary policies zilizobadilika ?

Unauliza kama Rais yupo kwenye mioyo ya watu?? How is it possible Rais awe kwenye moyo wako?

Wewe na kijiwe chako hamridhiki na Rais anavyoendesha nchi, fine. Ila hautapata Rais anayemridhisha kila mtu.

Mnadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nakuuliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?

You can be foolish but you can't fool us!!
Sawa ila usilolijuwa usiku wa giza. Asante
 
Huna hoja ya maana. Nimekwambia sema alilofanya JPM ambalo viongozi wengine hawajafanya au hawafanyi
Unaweza ukasimama nakusema unataka kuwafananisha JPM na SSH? Nilazima uwe akili haipo sawa JPM utamsema kwa mengine ila ile machine wajukuu watachimbua kaburi lake nakumzika tena sehem awe anaonekana na vizazi vijavyo. Hakuwa mtu wa kawaida na waliokuwa naye wanajuwa hilo....
 
Huna hoja ya maana. Nimekwambia sema alilofanya JPM ambalo viongozi wengine hawajafanya au hawafanyi
Magufuri aliangalia usawa wa wafanya biashara kuanzia chini ,kati mpaka juu bila kuathiri raia wake Wala serikali yake .leo hii wafanyabiasha wanapandisha Bei vitu kwa kisingizio Cha Vita na hakuna anaejali maisha yamekua magumu ,bado raia anapigwa na tozo ajaka sawa mfumuko wa Bei.
 
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.

Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.

Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.

Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Nchi hii Ina wanafiki wengi sana. Watu wanatetea ugali wao tu.
 
Jana rafiki yangu wa kijijini kaniambia nimuazime elfu 80 akanunue mbolea aweke kwenye mivhe yake ya nyanya

Kilichonifany niandike inshu siyo mbolea Bali ni Jinsi alivyokuwa anaongea

Namnukuu baada ya kupokea simu yake:

Mr satoh Hirosh naomba uniazime elfu 80 ndugu yangu. Hali imekuwa mbaya sn Kwa Sisi wakulima kwakweli.Magufuli amekufa aliacha bei ya mfuko elfu 25 lkn hapa ninapokupigia bei ya mfuko ni TSH elfu 84. Mambo yanazifi kuwa magumu siku baada ya siku na hapa ninapoongea na wewe kuna uwezekano tuta zingine za nyanya nlitabidi niziache maaana gharsma ya kuhudumia imenishinda..mwisho wa kumnukuu

Kuna kitu nimekinote ninapopiga storia na watu mbalimbali wa chini kabisa kule vijijini,wengi wao linapokuja swala la maisha na ugumu tunaopitia wanapenda kufanya comparison Kati ya mama na magufuli na mara zote magufuli anashinda. Hapa Haijalishi mitandaoni hasa jf na Twitter ambako kuna watu wengi waliosoma na wenye uelewa wa juu na mambo ya siasa wanaongea mabaya mangapi ya magufuli..

Kule chini mtu hawezi kukuelewa kbs ukimwambia mama anaupiga mwingi Hadi anachana nyavu
Kidgo nizabwe makofi juz Kati ninapo jaribu kumdiss magufuli
 
Mkuu usiingize Siasa kwenye uchumi, monetary policy ipi imebadilika ghafla? Kipindi Cha 2020-21 JPM ndio alitoa mkopo wa Trillion 1 kwa mabenki yaani Trillion nzima iliingizwa kwenye mzunguko..... Funny enough ndio alishusha bank rate, reserve requirement na masharti ya agency banking, M Pesa Ili kuongeza mzunguko wa pesa. So linapokuja suala la monetary policy Wala hazikubadilika mwaka 2021-22!!

Kingine Mfumuko wa bei ni kutokana na vita ya Ukraine kiufupi mfumuko ni dunia nzima lakini vile vile kukosekana ubunifu serikalini wao wanajua tozo tu na makodi wanashindwa kubuni vyanzo vipya.

Ilipaswa wakate matumizi yasiyo ya lazima ikiwezekana kususpend Miradi isiyo na priority Ili hiyo pesa iwekwe kwenye kusubsidize Bei za vyakula Ili gharama ya maisha ishuke.

All in all wakulaumu sio Samia tu ni CCM nzima kuanzia bunge linalopitisha matozo na baraza la mawaziri linalofanya kazi kwa mazoea tu. Kuna wakati unatamani hata baraza la mawaziri ukodishe nchi za wenzetu wafanye consultancy ya miezi 6 pengine tunaweza ona matokeo chanya!!
Umesema vyema mkuu
Mle ktk Baraza hakuna mwenye maono wengi wanafikiria matumbo yao tu na biashara zao sisiharibike lkn kuwa na mawazo ya kuhundle ishu za mfumuko wa Bei hawanaa
 
Hakuna kitu kama hicho.
Rais akishaapishwa ni amiri Jeshi mkuu muda huo huo. Kila mtu anatii mamlaka hiyo mpaka hapo itakavyokuwa Vinginevyo kwenye uchaguzi unaofuata.

Samia ataendelea mpaka 2025 na akitaka ataendelea mpaka 2030 labda akubali kungatuka Mwenyewe na washauri wake waridhie.

Tabu anayoioata ni kuendesha nchi kidemokrasia wakati katiba yetu ni ya Kidikteta.
Nchi hii Ina wezi wengi sana mana majority ya waliopo kwenye mifumo na idara mbalimbali ni zao la udanganyifu na wizi. Yaani wengi wa walioko kwenye mifumo na idara ama waliiba mitihani miaka hiyo ya 2010 kurudi nyuma au walipata madaraka Kwa rushwa au wizi wa kura n.k. Hivyo kundi Hilo ndilo linalohujumu maendeleo ya nchi . Hao hawana huruma na maisha ya Watanzania. Mama SSH anahangaika sana kutafuta fedha za Maendeleo lakini amazungukwa na watu wa bara ambao wengi wao ni wezi Kwa asili kwani wafugaji wanaasili ya wizi wa kuiba mifugo na kujilimbikizia wao na familia zao. Bara wengi Wana hulka ya wafugaji. Pwani wengi ni wavuvi ambao hawana hulka ya kuibiana samaki.
Kwa mkono wa chuma atakuwa ila kama ccm wakisema waangalie otherside ya chama SSH hatuendelea baada ya 2025. Labda kama ccm wamechoka na wanataka wagawane kuni na moto hapo sawa.
 
Gharama za maisha zinapanda kwa 40%

Alafu unaongezewa 23% ya mshahara..

Huo ni upumbavu!
Pia akumbuke wanufaika wa Hilo ONGEZEKO la 23% hawazidi Lak 5 Nchi nzima.
Kudhibiti mfumuko wa Bei za mafuta,mbolea na bidhaa zingeleta tija Zaid Kwa watanzania wengi Zaid ya 50 milioni.
 
JPM anakubalika na watu kitaani SSH anakubalika mitandaoni ndio tofauti kubwa .
Illiterates and ignorants!! Na ni kazi yetu kuwasomesha hadi waelewe. Magufuli alijuwa kuwa anatawala wajinga wengi na ndiyo akawajaza propaganda za uwongo.

Kwa mfano aliwaambia tunajenga miundomninu kwa fedha zetu, nanyi wajinga mkaamini hivyo. Next day anaonekana anasaini mkopo na AfDB au CreditSuisse. Wajinga hamjuilizi. Endeleeni kumkubali marehemu ila sisi tunapiga kazi na 2025 wajinga hamwezi kuhesabu kura, tunapeta tu
 
Sawa ila usilolijuwa usiku wa giza. Asante
Wewe unajuwa nini zaidi ya kuwa fanatic wa marehemu Mwendazake? Unaongelea mioyo ya watanzania, uliingia lini ukaisoma?

Kama umepigika maisha baada ya Mwendazake nenda tu ukazikwe naye Chato
 
Jamani mnajuwa tunaweza kufunga macho nakuwa watu tunapenda kutukuza viongozi nakudharau uhalisia wa uku chini kwa kuwa na agenda binafsi ambayo mwisho wake waweza kuwa mbaya kwa chama na taifa kuliko kifo cha hayati Joseph Pombe Magufuli.

Watanzania huku chini wenyewe kwa wenyewe kwenye vikundi pasipo chakachua report ya siri ya usala wa Taifa kuhusu siasa yani Mh Rais watu hawapo na yeye yani watanzania wachache sana wana amini anapo tupeleka ndiko.

Nahili linasababishwa na hali ya maisha imekuwa ngumu kutokana na kupanda kwa bei ya vitu na hili lina wagusa maraia wa chini kuliko raia wa juu hii imesababishwa na ubadilikaji wa ghafla wa physical and monetary policy ilio kuwa kipindi cha hayati JPM.

Ukiangalia kwa haraka hizi sera za sasa utaona zina wa saidia matajiri kuwa matajiri na masikini kuwa masikini.
Nitaendelea
Dah... Kihisabati.....hakuna utawala mzuri au mbaya....Ni vile tu unavyonufaika nao...kihalali au kiharamu..... Kuna yule ambaye juzi tu kule Arusha ameingiziwa 63m kwenye akaunti kama posho yake kwa kusimamia vifusi vya udongo atakuambia huu utawala mbaya? Au yule mama anayehangaishwa kila siku pale Muhimbili kupata majibu yake ya vipimo vya moyo ili atoe rushwa atakuambia huu utawala Ni mzuri?.....kihisabati lakini 🤭
 
Samia yupo kwenye mioyo ya Watanzania kuliko Magufuli alivyokuwa
Dah....watanzania wako aina nyingi mkuu.... Kuna wale wanaolipa kodi na tozo mbalimbali....Kuna wale masikini wanaoshindwa kupata huduma za msingi na haki bila kutoa rushwa......watalii....Kuna wengine wanaolipwa posho kwa vikao hewa.... Wale wakwepa Kodi....wapigaji....walamba asali....nk nk 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unaweza ukasimama nakusema unataka kuwafananisha JPM na SSH? Nilazima uwe akili haipo sawa JPM utamsema kwa mengine ila ile machine wajukuu watachimbua kaburi lake nakumzika tena sehem awe anaonekana na vizazi vijavyo. Hakuwa mtu wa kawaida na waliokuwa naye wanajuwa hilo....

Kwa mkono wa chuma atakuwa ila kama ccm wakisema waangalie otherside ya chama SSH hatuendelea baada ya 2025. Labda kama ccm wamechoka na wanataka wagawane kuni na moto hapo sawa.
2025 mbaal mno. Wakubali kupokea ushauri na maonyo, wamtaje Mungu na kumtumainia, wasishupaze SHINGO wakishauriwa isijevunjika. Amen
 
JPM alifanikiwa kwa propaganda zake za kiwaita watu wanyonge huku akinuonga kila aliyejaribu kwenda kinyume naye. SSH anapiga propaganda za kurudisha hali kuwa shwari huku akiwaaahidi wafanyabiashara na matajiri hali nzuri ya uchumi. Ukiangalia kiundani wote hawa hakuna zaidi ya wanachofanya zaidi ya kutengeneza matatizo kisha wao wenyewe wanajifanya kutoa suluhu.
Chonga sana wote tupo ndani ya gari moja lazima utapakatwa tu
 
Back
Top Bottom