OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Watekaji wanafuata maagizo tu,tafuta kujua nani anaagiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga kwa kujitoa ufahamu.....Bora tumuombe mtoto Yesu....anaweza Tenda.Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.
Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.
Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.
Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.
Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Riport ya Uktekaji anayo Mtekaji - RomaTunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.
Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.
Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.
Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.
Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Lumumba FC huyo anataka kuhamisha goli akidhani wote humu ndani ni MABSHITE kama Yeye.Kuna Watu ni wanafiki na upeo wao uko chini mno ! Unaweza ukajizuia usi -comment lakini unashindwa inabidi tu ufanye kitu!
Sasa huyu mleta uzi huu anataka kusema nini au anadhani wengi humu ni wajinga kama yeye! Poor Tanzanian!
Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.
Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.
Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.
Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.
Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Akaushe tu... Tuendelee kunyooshana...
Usipokuwa mzalendo.. Daily unaitangaza nchi vibaya ujue unasababisha machafuko zaid.. Bora utekwe unyooshwe kwa vitendo.
Lengo kuu ni kukuonesha kuwa hao unaowatangazia maovu kwa kupata likes kwenye social network ujue hawana msaada tukikubanananisha... As u see now upo peke ako hapa... Tukiakuachia ukajifundishe kuishi.
Wanaharakati wanatakiwa kujifunza njia sahihi za kutafuta haki au kuleta mabadiriko na sio kuropoka ropoka na kuwapa advantages whitea waendelee kututawala kirahisi...
Binafsi pasipo kapepesa macho... Kwa hii nchi yetu ilipofikia na ubishi wetu wabongo wa kutokuwa na uzalendo...
Kutekana ndio best way kuweka mambo sawa...
Kazi ziendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi ilà haina haja ya kueendelea kuwachukulia kama baba zetu.... Kwamba unafanya kitu ili akione mzungu ndio nin sasa
Hatari!!!!!!!Unajuaje kuwa huyo unayemwonba aingilie kati, unajuaje kuwa huenda yeye mwenyewe akawa "architect" wa haya yote yanayotokea?
Wala sijasikia kufunguliwa kwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.View attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Wala sijasikia rais akihutubia kwa kusema hii serikali yanguView attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Au Uchochezi!Wala sijasikia kufunguliwa kwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
wala sijasikia rais akitukana majukwaani. ilikuwa aibuWala sijasikia rais akihutubia kwa kusema hii serikali yangu
Wala sijasikia wastaafu wakiambiwa WANAWASHWA.wala sijasikia rais akitukana majukwaani. ilikuwa aibu