Tunamuomba Rais aingilie kati hili suala la watu kutekwa

Tunamuomba Rais aingilie kati hili suala la watu kutekwa

Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.

Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.

Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.

Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.

Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Acha ujinga kwa kujitoa ufahamu.....Bora tumuombe mtoto Yesu....anaweza Tenda.

Kuliko kupoteza muda...
IMG-20191225-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.

Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.

Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.

Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.

Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Riport ya Uktekaji anayo Mtekaji - Roma
 
Kuna Watu ni wanafiki na upeo wao uko chini mno ! Unaweza ukajizuia usi -comment lakini unashindwa inabidi tu ufanye kitu!
Sasa huyu mleta uzi huu anataka kusema nini au anadhani wengi humu ni wajinga kama yeye! Poor Tanzanian!
Lumumba FC huyo anataka kuhamisha goli akidhani wote humu ndani ni MABSHITE kama Yeye.
 
Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.

Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.

Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.

Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.

Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.

Unaemuomba aingilie kati ndie anaeagiza watu kutekwa.
 
Akaushe tu... Tuendelee kunyooshana...

Usipokuwa mzalendo.. Daily unaitangaza nchi vibaya ujue unasababisha machafuko zaid.. Bora utekwe unyooshwe kwa vitendo.

Lengo kuu ni kukuonesha kuwa hao unaowatangazia maovu kwa kupata likes kwenye social network ujue hawana msaada tukikubanananisha... As u see now upo peke ako hapa... Tukiakuachia ukajifundishe kuishi.

Wanaharakati wanatakiwa kujifunza njia sahihi za kutafuta haki au kuleta mabadiriko na sio kuropoka ropoka na kuwapa advantages whitea waendelee kututawala kirahisi...

Binafsi pasipo kapepesa macho... Kwa hii nchi yetu ilipofikia na ubishi wetu wabongo wa kutokuwa na uzalendo...

Kutekana ndio best way kuweka mambo sawa...

Kazi ziendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww utatawaliwa na wazungu mpka ufe umetaka au hukutaka
Akaushe tu... Tuendelee kunyooshana...

Usipokuwa mzalendo.. Daily unaitangaza nchi vibaya ujue unasababisha machafuko zaid.. Bora utekwe unyooshwe kwa vitendo.

Lengo kuu ni kukuonesha kuwa hao unaowatangazia maovu kwa kupata likes kwenye social network ujue hawana msaada tukikubanananisha... As u see now upo peke ako hapa... Tukiakuachia ukajifundishe kuishi.

Wanaharakati wanatakiwa kujifunza njia sahihi za kutafuta haki au kuleta mabadiriko na sio kuropoka ropoka na kuwapa advantages whitea waendelee kututawala kirahisi...

Binafsi pasipo kapepesa macho... Kwa hii nchi yetu ilipofikia na ubishi wetu wabongo wa kutokuwa na uzalendo...

Kutekana ndio best way kuweka mambo sawa...

Kazi ziendelee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom