Tunamuomba Rais aingilie kati hili suala la watu kutekwa

Tunamuomba Rais aingilie kati hili suala la watu kutekwa

View attachment 1785358

Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Mama ni binadamu mstaarabu na ana Neno la Mungu moyoni.
Hawezi kuingia u.shenzi(tofauti na ustaarabu) kuteka, kuua na kutesa raia wake, mradi ati mmetofautiana.
 
Wanatamani reli, ndege, mabarabara, mahospitali wayafunge lakini haiwezekani

Magufuli aliwagaragaza akiwa Hai na atawagaragaza akiwa mauti.
 
Hata Polepole Na Bashiru Nao Wamerudi Kwenye Nafasi Zao.
 
Mungu husikiliza maombi ya watu wake, Mama SSH ni zawadi toka kwa Mola kwa ajili ya kutufuta machozi na majereha mabaya tuliyoyapata.
 
Kwa hiyo walitaka marekani wapige kelele hai kuna mtu anadhulumu haki za watubkuishi kama walivyofanya kwa makonda
MATAGA na UVCCM akina Shaka na chawa wengine ni wa kuombea, damu inanuka mikononi mwao, ama direct ama kwa matamko yao, itawalilia, watajenga hawatakaa, watalima hawatavuna, watavuna hawatakula mpaka watubu hadharani
 
Back
Top Bottom