Miaka mitano na robo bila ya Maandamano wala nyongeza ya Mshahara ni Legacy kubwa Sheikh wangu!
Alafu leo wanatulazimisha eti ooooo legacy legacy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu leo wanatulazimisha eti ooooo legacy legacy
Mama ni binadamu mstaarabu na ana Neno la Mungu moyoni.View attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Ni kweli lazima tumshukuru Mungu, kwani mama anafanya tofauti na mambo yanaendelea kwa amani.Asante Muumba mbingu na dunia
huko mlipo wanaovaa barakoa wanakejeliwa?Kauli ya vyuma vimekaza vipi huko mlipo?
Hata Siku Moja.huko mlipo wanaovaa barakoa wanakejeliwa?
siku alipowaambia kina mama mnataka mpanuliwe wapi,iliniuma sana... jamaa lilikuwa na dharau na kebeshi zilizovuka mipaka!
mtekaji mmoja kasimamishwa kazi, tunasubiri wenzake.View attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
yamebaki masaa tu.nimeota ndoto nzuri tunawapiga kamoyaHata Siku Moja.
Leo Mnyama vipi?
Kwa hiyo walitaka marekani wapige kelele hai kuna mtu anadhulumu haki za watubkuishi kama walivyofanya kwa makondamtekaji mmoja kasimamishwa kazi, tunasubiri wenzake.
alitoa hela zake mfukoni au?🤣🤣🤣Wanatamani reli, ndege, mabarabara, mahospitali wayafunge lakini haiwezekani
Magufuli aliwagaragaza akiwa Hai na atawagaragaza akiwa mauti.
Si ma CCM yenyewe ndio yanafanya hayo. Ila kumsitaki mtu kwa uhujumu uchumi kisa mpinzani tu ilikuwa uonevu wa wazi.Hapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!
Mungu awape kauli thabiti Marehemu wote waliotekwa na kuuawa na watu wasiojulikana , AminaView attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
MATAGA na UVCCM akina Shaka na chawa wengine ni wa kuombea, damu inanuka mikononi mwao, ama direct ama kwa matamko yao, itawalilia, watajenga hawatakaa, watalima hawatavuna, watavuna hawatakula mpaka watubu hadharaniKwa hiyo walitaka marekani wapige kelele hai kuna mtu anadhulumu haki za watubkuishi kama walivyofanya kwa makonda