Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!Wala sijasikia kufunguliwa kwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Hizo Sheria zilikuwa zinatumika vibayaHapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!
... tena kwa jina lake mwenyewe "Serikali ya Samia" haijapata kusikika; badala yake "mimi na wenzangu"; "serikali yetu", n.k.Wala sijasikia rais akihutubia kwa kusema hii serikali yangu
wakamatwe kwa haki sio kwa hila kama alivyofanya jiwe halafu hela zinaingia mfukoni mwakeHapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!
Wazee walioambiwa wana washwa, mama anawaita WAZEE WANGU... tena kwa jina lake mwenyewe "Serikali ya Samia" haijapata kusikika; badala yake "mimi na wenzangu"; "serikali yetu", n.k.
... jamaa lilikuwa na dharau na kebeshi zilizovuka mipaka!Wazee walioambiwa wana washwa, mama anawaita WAZEE WANGU
Hata Kabudi naye hasemi beberu siku hizi, tusiwalaumu viongozi ambao waliteuliwa na jiwe, jiwe aliwageuza wateule wake kama watoto, aliwapindua pindua anavyotaka, and ukijifanya mbishi unapewa makesi ya ajabu ajabu, Ikabidi akina Kabudi waweke degrees zao pembeni wacheze ngoma ya mwendazake. Now naona wote akili zimewarudia, Kabaki mmoja tu, huyu mtu anayeitwa Ndugai, ila naye siku zake zinahesabika.Wala sijasikia neno beberu
Kila mtu ataubeba msalaba wake ,mbona jiwe alituaminisha kuwa chini ya serikali yake hakuna ufisadi lkn CAG katuonyesha kuwa kulikuwa na ufisadi wa kihistoriaHapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!
Kila mtu ataubeba msalaba wake ,mbona jiwe alituaminisha kuwa chini ya serikali yake hakuna ufisadi lkn CAG katuonyesha kuwa kulikuwa na ufisadi wa kihistoriaHapo watakatisha fedha na wahujumu uchumi wanachekea tumboni!
Alafu leo wanatulazimisha eti ooooo legacy legacy... jamaa lilikuwa na dharau na kebeshi zilizovuka mipaka!
Lissu aliwahi kusema Tanzania haijawahi kupata Rais wa ajabu kama awamu ya Tano , kiongozi anaongoza genge la wahalifu kama Sabaya anaambiwa "You have my full support"View attachment 1785358
Tunamshukuru Mungu angalau kwa hili. Bado tuna kazi ya kuhakikisha sheria zote za kikoloni zinaondoka,tunapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi