assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo