Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
AminaTanzania si mali ya shangazi yako, ni yetu sote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaTanzania si mali ya shangazi yako, ni yetu sote.
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Sukuma gang kaziniLitaweza jimama lako? "Serikali yetu ni serikali ya anasa" F. Mbowe
AsanteeeeeKamtishe mama yako mbwa wewe
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Kuna cinema ya ‘South Korea’ kwenye chaguzi zao kuna vyama viwili vikuu cha kikomunisti na kingine cha kibepari.
Ukikaribia uchaguzi kile chama cha kibepari wana jamaa yao wa usalama ‘North Korea’ yupo karibu na raisi. Basi zikianza kampeni wanaanza kuponda sera za ukomonunisti na kuiponda ‘North Korea’ kama dictator state.
Wakati majukwaani wanaiponda ‘North Korea’ na ukomonusti nyuma ya pazia wanamwita jamaa yao wa North Korea na kumshawishi amwambie raisi wao atishie kuivamia ‘South Korea’ na kufanya mazoezi ya kurusha makombora ili wawatishe wananchi wao halafu watamlipa hela ili wapate kura za uchaguzi.
Uchaguzi ukipita usikii tena habari za North Korea, kutaka kuivamia South Korea.
Ndio CHADEMA kama maigizo kwenda mbele ukata ukiwapiga washajua ‘Bi Tozo’ anawamwagia kichele watulie na Mbowe ndio mnufaika mkubwa.
Huu upuuzi wa kulipana hela ndio Magufuli alikuwa autaki mambo ambayo Mbowe na Zitto hawajazoea kukosa maokoto ya bure bure.
What a pity
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Ccm ni kisima kisicho kauka haziishi kamwe abadani,kumbuka wenyewe hatuachiani glass ya maji mezani🤪Teuzi zimeisha wewe UVCCM
Kasome katiba ya jmt maandamano yameruhusiwa mle usijemfundisha rais kuvunja katiba aliyoapa kuilinda!Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Naunga mkono hoja,akiwatembezea kichapo kama Ruto alivhowafanya kina Odinga watashika adabu.Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Mbowe,Msigwa na mnyika watangulize familia zao na tusione hata mmoja kukimbilia ubalozini wala kuvuka mipaka!Hata hujui nini unaandika chawa wewe
Hii nchi si mali ya Samia.Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Nimefanya tafiti kwa waliokupa like mpaka muda huu, ni wale tunaowaita "viazi kobazi".Tena atembeze kichapo kikali sana mpaka akili ziwakae sawa wakawahadithie makwao