Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye maandishi,kwa mujibu wa walimu wangu, kama unakosea hata "a" na "h", huwezi kuaminika.Kuna cinema ya ‘South Korea’ kwenye chaguzi zao kuna vyama viwili vikuu cha kikomunisti na kingine cha kibepari.
Ukikaribia uchaguzi kile chama cha kibepari wana jamaa yao wa usalama ‘North Korea’ yupo karibu na raisi. Basi zikianza kampeni wanaanza kuponda sera za ukomonunisti na kuiponda ‘North Korea’ kama dictator state.
Wakati majukwaani wanaiponda ‘North Korea’ na ukomonusti nyuma ya pazia wanamwita jamaa yao wa North Korea na kumshawishi amwambie raisi wao atishie kuivamia ‘South Korea’ na kufanya mazoezi ya kurusha makombora ili wawatishe wananchi wao halafu watamlipa hela ili wapate kura za uchaguzi.
Uchaguzi ukipita usikii tena habari za North Korea, kutaka kuivamia South Korea.
Ndio CHADEMA kama maigizo kwenda mbele ukata ukiwapiga washajua ‘Bi Tozo’ anawamwagia kichele watulie na Mbowe ndio mnufaika mkubwa.
Huu upuuzi wa kulipana hela ndio Magufuli alikuwa autaki mambo ambayo Mbowe na Zitto hawajazoea kukosa maokoto ya bure bure.
What a pity
Tukisema akili huna, unabweka!Kaandamane basi.
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru, simatokeo yao yanahojiwa mahakamani, mshindi lazm apate 50%+1
Nadhani tufuate njia ya mazungumzo,maridhiano na kuvumiliana.
Ubabe haujawahi kushinda hata Raila Odinga huko kenya kaandamana watu wamekufa ,then wakarudi kuzungumza.
nasema wavunja amani Raisi asicheke nao hata kidogo
Vipigo tena doh!
Kama unajua hilo yanini sasa kupayuka payuka?
Mwambie Mwalimu wako akufundishe ku analyse, evaluate, explain and writing structure; huko ndio kuna 90% ya marking, grammar 5% na referencing 5%.Kwenye maandishi,kwa mujibu wa walimu wangu, kama unakosea hata "a" na "h", huwezi kuaminika.
Kumfananisha Mbowe na Zitto ni kuonyesha jinsi usivyo timamu kwenye sehemu zinazopaswa kuwa timamu.
Kisheria tunaita " null & void".
Wewe subiri Mbowe aanzishe harambee zake uchwara, huyo huyo asiemuini atakwambia kachangia millioni 200 ambazo zitakapoenda hujui na wala utouliza.Bado hujaropoka. Kauli moja ya maandamano chawa mmeamka kutoka pangoni.