Pre GE2025 Tunamuomba Rais Samia atembeze kipigo cha mbwa koko kwa wote wanaotaka kuandamana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye maandishi,kwa mujibu wa walimu wangu, kama unakosea hata "a" na "h", huwezi kuaminika.

Kumfananisha Mbowe na Zitto ni kuonyesha jinsi usivyo timamu kwenye sehemu zinazopaswa kuwa timamu.
Kisheria tunaita " null & void".
 
Kama una akili vizuri, hapo unamwambia Rais aanzishe vurugu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye maandishi,kwa mujibu wa walimu wangu, kama unakosea hata "a" na "h", huwezi kuaminika.

Kumfananisha Mbowe na Zitto ni kuonyesha jinsi usivyo timamu kwenye sehemu zinazopaswa kuwa timamu.
Kisheria tunaita " null & void".
Mwambie Mwalimu wako akufundishe ku analyse, evaluate, explain and writing structure; huko ndio kuna 90% ya marking, grammar 5% na referencing 5%.

Usikadhane na writing, hata best sellers wana editors, magazeti yana wahariri kupitia texts zinazoandikwa na professionals.

Spelling ni sehemu ndogo sana ya academia.

Ingekuwa writing skills ndio kigezo cha marking waafrika wengi sana wasingekuwa wanafaulu ulaya, wengi kuandika kizungu shida hasa watanzania.

Back to the topic at hand, Mbowe ni msanii; hiyo mikwara tu ya kurushiwa maokoto.

Mambo anayopenda Mbowe ni yale ya mchango wa kanisa badala ya raisi kuutoa moja kwa moja nyumba ya mungu anataka ipitie kwake.

Kuna makanisa mangapi Tanzania why raisi achangie la Hai na msaada wenyewe upitie kwa Mbowe.

Hiyo ni tishia toto anataka apewe hela za kutuliza mzuka uchwara wa CDM.
 
Bado hujaropoka. Kauli moja ya maandamano chawa mmeamka kutoka pangoni.
Wewe subiri Mbowe aanzishe harambee zake uchwara, huyo huyo asiemuini atakwambia kachangia millioni 200 ambazo zitakapoenda hujui na wala utouliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…