Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.

Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.

Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.

Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.

Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa[emoji23][emoji23]
Naamka saa 11, karibu na kwangu kuna kilima, napandisha na kushuka mara 2.... Napiga pushup 20, squatting kama 10 kwa kila aina ya squatting na kuruka kamba 100...

Nimeacha soda na sukari na vileo vyote situmii.. ila sina ratiba ya msosi, chchte na kula ila kisiwe na mafuta mengi na sukari ...

Ila sina kilo nyingii, kuna kipind nilianza kuhisi kunenepa..
 
Kwa ndoto ulizo nazo bila kubadili aina yako ya ulaji ni kazi bure mwili mzuri ni chakula health mazoezi ni kidogo sana haya play part kubwa.badili ulaji wako na mazoezi ndo itakusaidia unafanya mazoezi una burn calories kidogo una kula masotojo unaingiza calories kibao waste of time mambo hayo wafanye watu walokolewa na mazoezi haswa miaka washajenga misuli abs six pack hata a kila sotojo anaenda kuzitoa sio mwenzangu na mie utabaki tu mazoezi kwa afya kuwa sijui kama Gaby union tiwa savage sahau.download application za mazoezi zitakusaidia huto hitaji gym maana ni kama trainer tu anakuelekeza anakuhesabia Je unajua english??
Kiiisglish najua kidogo sio kama fei toto ..

Trust me najitahidi kula kidogo wanga na hizo sojoto...
Yaani hivi wali nazi arage nazi...nilikua nakula nzima moja Sasa hivi nakula nusu yake....
Nitapunguza kiwango najua mpaka nitareplace na protein nyingi na matunda..


Ni ngumu ndugu yangu sio mchezo
 
Kiiisglish najua kidogo sio kama fei toto ..

Trust me najitahidi kula kidogo wanga na hizo sojoto...
Yaani hivi wali nazi arage nazi...nilikua nakula nzima moja Sasa hivi nakula nusu yake....
Nitapunguza kiwango najua mpaka nitareplace na protein nyingi na matunda..


Ni ngumu ndugu yangu sio mchezo
Kula kuku choma daily achana na wali ugali na piga zoezi utakuwa poa tuu.
 
Yani mazoezi na chakula vinaenda pamoja kwenye kupunguza mwili.

Ukiwa na nidham ya chakula na ukafanya mazoez lazima tu upungue hata km kuna mkono wa mtu.

Punguza vyakula vya sukari, pombe hata sukari kwenye chai, juice n.k kwa kuanzia na uwe na ratiba yako ya chakula na mazoezi bila kukosa.
Naomba nisajestie walau aina tatu ya milo
 
Hapana sili sanaa ila siwezi kufast na kula michemsho nilichoongeza kwenye diet ni natunda mengi na mchicha mwingi na upiga nazi kama yote....so wangapi nimepunguza...napiga nduzi zangu hata mbili au tatu kwa siku au baada ya mazoez au kipindi Cha mlo...alafu mboga kiwango Cha fungu moja napiga nusu...
Siwezi fasting my dear siwezi kula michemsho uwiii
kupungua sio kula michemsho, unatakiwa upate protein kwa wingi na wanga kidogo sana, ukiwa unakula kawaida afu unafanya mazoezi basi utakuwa baunsa refer shilole unene wake kabla ya kuanza gym na baada ya gym kawa baunsa
 
Natembea na kikimbia kiasi kwa 2hrs kila jion lengo nipunguze kg 5 nibaki na 65kg. Mara nikaumwa nikawa natumia dawa nikasitisha for 2weeks cha ajabu juzi nimepima nina hizo hizo 70kg.🤣🤣

Nyie mkiona mtu anafanya mazoezi kapungua mpeni heshima zake sio rahis kama mnavyodhani.

Vyakula ndo mtihani hasa ukiwa kazini unajikuta unajipigia tu msosi mbinguni hakuna hotel.
 
Ndio huwa unapendelea Kula?
Hapana very rare..
Nakula samaki,maarage,chiroko,kuku kienyeji....na nyama ya ngome mara chache sanaa.
Samaki na maarage ndo sananyama choma,nundu hizo mpaka nikutane nazo huko barabarani....na kitimoto Cha kuchomwa
 
Naamka saa 11, karibu na kwangu kuna kilima, napandisha na kushuka mara 2.... Napiga pushup 20, squatting kama 10 kwa kila aina ya squatting na kuruka kamba 100...

Nimeacha soda na sukari na vileo vyote situmii.. ila sina ratiba ya msosi, chchte na kula ila kisiwe na mafuta mengi na sukari ...

Ila sina kilo nyingii, kuna kipind nilianza kuhisi kunenepa..
Hivi sukari ukiacha substitute inakua ni nini?
 
Unamaanisha kwa sasa unafananaje yaani kama kiboko au?
 
kupungua sio kula michemsho, unatakiwa upate protein kwa wingi na wanga kidogo sana, ukiwa unakula kawaida afu unafanya mazoezi basi utakuwa baunsa refer shilole unene wake kabla ya kuanza gym na baada ya gym kawa baunsa
Aiseee unanitisha ....ule mwili WA shishi ni night mare...
Protein nyingi naamini Haina madhara
 
Natembea na kikimbia kiasi kwa 2hrs kila jion lengo nipunguze kg 5 nibaki na 65kg. Mara nikaumwa nikawa natumia dawa nikasitisha for 2weeks cha ajabu juzi nimepima nina hizo hizo 70kg.🤣🤣

Nyie mkiona mtu anafanya mazoezi kapungua mpeni heshima zake sio rahis kama mnavyodhani.

Vyakula ndo mtihani hasa ukiwa kazini unajikuta unajipigia tu msosi mbinguni hakuna hotel.
Hahahahah 🤣🤣🤣🤣🤣...mbinguni hakuna hotel.
Piga mishikaki sana
 
Back
Top Bottom