Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Hakuna siku imenipita bila mazoezi. Nina saa 1.30 kila siku.
Hata nikisafiri ile nafasi ile squre Mita 2 kwa 2 inanitosha sana hapo chumbani hotel nilipofikia.

Wengi wana-fail mazoezi kusikia uvivu ksbb wengi wanawaza lazima aende gym au uwanjani. No. Huko huko chumbani kwako kila siku kutakupa morali ya juu sana kufanya kila siku mazoezi. Ni namna tu ujue mazoezi gani ufanye ya kukutosha,na kukutoa jasho la kutosha pia. Home kwangu nimetenga room kabisa la mazoezi.

Nina miaka 40+ nimeanza mazoezi tangu nina miaka 20. Niko fit sana mimi mwenyewe najiona.

Mazoezi ni kila kitu cha Kwanza kwangu baada ya MUNGU. Unafuata msosi.

Lazima kila siku niwe na mlo mmoja waatunda tu. Hasa usiku. Nagonga sinia zima la mchanganyiko wa parachichi+papai+tikit+nanasi. Hiyo kila siku saa 1au 2 baada ya hapo sili kitu kingine. Mwanzo huu msosi ni mgumu. Baadae mwili wenyewe unazoea

Nimeongea sana wakuu. Naomba msaada mwenye ule Uzi wa ufugaji wa mbwa. Wezi wanatuzingua hatari mtaa wetu. Hapa wametoka kuniliza frat screen. Nataka kufuga mbwa kwanza. Nataka ule Uzi una namna ya jinsi ya kuwatunza hao viumbe. Msaada tafadhali
 
Health diet na moderate exercise ndo kila kitu kwenye maswala ya kujenga mwili N. B sio kupunguza mwili ni kuujenga coz ulishaubomoa na misotojo, ukifeli hapo tu huko mbeleni utateseka sana sijui kuukata utumbo, kumeza plastic na maupuuzi yote ya kisasa ambayo matokeo hutoyapenda cc. Wema Sepenga,
 
Haswa kwenye uzazi, asipokuwa na nidhamu ya vyakula na mitindo ya kula kwa kisingizio cha uzazi huwa wanatanuka sana na unfortunately hawarudi kawaida kamwe
Hapo kwenye uzazi sijui huwa wanajiachia Sana au kuna nini maana ndio chanzo Cha wengi kunenepeana
 
Hakuna siku imenipita bila mazoezi. Nina saa 1.30 kila siku.
Hata nikisafiri ile nafasi ile squre Mita 2 kwa 2 inanitosha sana hapo chumbani hotel nilipofikia.

Wengi wana-fail mazoezi kusikia uvivu ksbb wengi wanawaza lazima aende gym au uwanjani. No. Huko huko chumbani kwako kila siku kutakupa morali ya juu sana kufanya kila siku mazoezi. Ni namna tu ujue mazoezi gani ufanye ya kukutosha,na kukutoa jasho la kutosha pia. Home kwangu nimetenga room kabisa la mazoezi.

Nina miaka 40+ nimeanza mazoezi tangu nina miaka 20. Niko fit sana mimi mwenyewe najiona.

Mazoezi ni kila kitu cha Kwanza kwangu baada ya MUNGU. Unafuata msosi.

Lazima kila siku niwe na mlo mmoja waatunda tu. Hasa usiku. Nagonga sinia zima la mchanganyiko wa parachichi+papai+tikit+nanasi. Hiyo kila siku saa 1au 2 baada ya hapo sili kitu kingine. Mwanzo huu msosi ni mgumu. Baadae mwili wenyewe unazoea

Nimeongea sana wakuu. Naomba msaada mwenye ule Uzi wa ufugaji wa mbwa. Wezi wanatuzingua hatari mtaa wetu. Hapa wametoka kuniliza frat screen. Nataka kufuga mbwa kwanza. Nataka ule Uzi una namna ya jinsi ya kuwatunza hao viumbe. Msaada tafadhali
Pole sana kwa kuibiwa.
Kuna aina fulani ya mbwa brother usifuge.
 
Kufunga hakuepukiki kwenye swala la kubalance mwili.
Kufunga sio lazima mwezi mmoja wala jioni tu waweza kufanya intermittent fasting, kwa kuskip mlo aidha asubuhi, mchana au jioni.
Pia unaweza kushift from flesh based food to natural organic plants based food matunda na mboga za majani for three days or day by day alternating.
Destructing is easy and enjoyable than building which is hard and painfull.
Advice; find a good trainer who balance both exercise and food or a friend who knows the way to be honest lifestyle changing is not that easy
 
Hakuna siku imenipita bila mazoezi. Nina saa 1.30 kila siku.
Hata nikisafiri ile nafasi ile squre Mita 2 kwa 2 inanitosha sana hapo chumbani hotel nilipofikia.

Wengi wana-fail mazoezi kusikia uvivu ksbb wengi wanawaza lazima aende gym au uwanjani. No. Huko huko chumbani kwako kila siku kutakupa morali ya juu sana kufanya kila siku mazoezi. Ni namna tu ujue mazoezi gani ufanye ya kukutosha,na kukutoa jasho la kutosha pia. Home kwangu nimetenga room kabisa la mazoezi.

Nina miaka 40+ nimeanza mazoezi tangu nina miaka 20. Niko fit sana mimi mwenyewe najiona.

Mazoezi ni kila kitu cha Kwanza kwangu baada ya MUNGU. Unafuata msosi.

Lazima kila siku niwe na mlo mmoja waatunda tu. Hasa usiku. Nagonga sinia zima la mchanganyiko wa parachichi+papai+tikit+nanasi. Hiyo kila siku saa 1au 2 baada ya hapo sili kitu kingine. Mwanzo huu msosi ni mgumu. Baadae mwili wenyewe unazoea

Nimeongea sana wakuu. Naomba msaada mwenye ule Uzi wa ufugaji wa mbwa. Wezi wanatuzingua hatari mtaa wetu. Hapa wametoka kuniliza frat screen. Nataka kufuga mbwa kwanza. Nataka ule Uzi una namna ya jinsi ya kuwatunza hao viumbe. Msaada tafadhali
Pole Kwa kuibiwa..
Aiseee matunda yanakwangua tumbo usiku asiwambi mtu....

Mbwa unataka kufuga WA kuzungu?
Aisee ukikosa fuga WA kiswahili ata watatu au wawili kelele zao usiku zinasaidianwatu kuogopa kuruka
 
Wanakula sio kidogo Aisee, unakuta mtu ana chupa za chai zenye uji kama mbili ama tatu kwa siku, mtori, supu, mayai na vitu vingi yaani mpaka mtu unakaribia kufilisika !
Kwa ulaji huo asiponenepa ndio imetoka asahau unene. Mbona wasanii hii haitokei baada ya kujifungua? Au ndio hawali vyakula ulivyotaja hapo
 
Kufunga hakuepukiki kwenye swala la kubalance mwili.
Kufunga sio lazima mwezi mmoja wala jioni tu waweza kufanya intermittent fasting, kwa kuskip mlo aidha asubuhi, mchana au jioni.
Pia unaweza kushift from flesh based food to natural organic plants based food matunda na mboga za majani for three days or day by day alternating.
Destructing is easy and enjoyable than building which is hard and painfull.
Advice; find a good trainer who balance both exercise and food or a friend who knows the way to be honest lifestyle changing is not that easy
Is not easy at all...

Kuwa vegetarian tena?
SI wadau wanasema protein sio mbaya
 
Hakuna siku imenipita bila mazoezi. Nina saa 1.30 kila siku.
Hata nikisafiri ile nafasi ile squre Mita 2 kwa 2 inanitosha sana hapo chumbani hotel nilipofikia.

Wengi wana-fail mazoezi kusikia uvivu ksbb wengi wanawaza lazima aende gym au uwanjani. No. Huko huko chumbani kwako kila siku kutakupa morali ya juu sana kufanya kila siku mazoezi. Ni namna tu ujue mazoezi gani ufanye ya kukutosha,na kukutoa jasho la kutosha pia. Home kwangu nimetenga room kabisa la mazoezi.

Nina miaka 40+ nimeanza mazoezi tangu nina miaka 20. Niko fit sana mimi mwenyewe najiona.

Mazoezi ni kila kitu cha Kwanza kwangu baada ya MUNGU. Unafuata msosi.

Lazima kila siku niwe na mlo mmoja waatunda tu. Hasa usiku. Nagonga sinia zima la mchanganyiko wa parachichi+papai+tikit+nanasi. Hiyo kila siku saa 1au 2 baada ya hapo sili kitu kingine. Mwanzo huu msosi ni mgumu. Baadae mwili wenyewe unazoea

Nimeongea sana wakuu. Naomba msaada mwenye ule Uzi wa ufugaji wa mbwa. Wezi wanatuzingua hatari mtaa wetu. Hapa wametoka kuniliza frat screen. Nataka kufuga mbwa kwanza. Nataka ule Uzi una namna ya jinsi ya kuwatunza hao viumbe. Msaada tafadhali
Ukiffanikiwa nijulishe
 
Kwa ulaji huo asiponenepa ndio imetoka asahau unene. Mbona wasanii hii haitokei baada ya kujifungua? Au ndio hawali vyakula ulivyotaja hapo
Yaaani achana na hao viumbe wakuitwa wasaniii...WA hapa bongo wamenenepeana hovyo na wengine wanaingia kwenye misugery..
WA mbele huko kina Kim huko wanapiga "mummy make over" surgery za kutosha bro....sio hao watu....wachache sana haswa wazungu piwa wanakula zoezi Kali....ila mablack wanapiga masajar hatari
 
Back
Top Bottom