Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Weka picha tuone huo ubonge ili tuweze kukupa ushauri specific
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha Bado ninagawanyika.Unamaanisha kwa sasa unafananaje yaani kama kiboko au?
Kwa Sasa ishaanza kupungua .....Weka picha tuone huo ubonge ili tuweze kukupa ushauri specific
Asali.... Au unaweza kuacha kunywa chai na soda.. ukawa unatumia juice bila kuweka sukariHivi sukari ukiacha substitute inakua ni nini?
Vyakula ambavyo havina mafuta ni kama hizo choroko na maarage labda na samaki na kuku WA kienyeji SI ndioWasikutishe kwenye kula kiasi cha kula sio tatzo ila unatakiwa ule chakula Kwa mpangilio mzuri, usile vyakula vya mafuta sana, punguza vyakula vya sukari Na chumvi kwa sanaa ila unatakiwa ule ushibe- wachezaji wanafanya mazoezi sana na pia wanakula sanaa
Usiache mazoezi bingwa ni muhimu sanaa
Vyakula ambavyo havina mafuta ni kama hizo choroko na maarage labda na samaki na kuku WA kienyeji SI ndio
Wengine ubonge unawaongezea uzuri pia, wanakuwa curvy; kwa hiyo angalia na muundo wa mwili wako,ukiwa mwembamba sana, unaweza kusababisha shemeji kuanza kuchepukaKwa Sasa ishaanza kupungua .....
nani alikuambia kaangalie wavuvi wanakula kinyama ila hawana miili ya kiboya au waendesha maguta,au vibarua wa viwandaniChakula ndo password
Milo mizuri ukizingatia kula kwa wastani na matunda kureplace mlo mmoja (hasa mchana) na mazoezi utazidi kupungua.Hapana very rare..
Nakula samaki,maarage,chiroko,kuku kienyeji....na nyama ya ngome mara chache sanaa.
Samaki na maarage ndo sananyama choma,nundu hizo mpaka nikutane nazo huko barabarani....na kitimoto Cha kuchomwa
Mzee unapenda bode type 😂Wengine ubonge unawaongezea uzuri pia, wanakuwa curvy; kwa hiyo angalia na muundo wa mwili wako,ukiwa mwembamba sana, unaweza kusababisha shemeji kuanza kuchepuka
Niambie basi unakula..nini yaani na gather info Kwa kweli nipo siriaz na jambo hili....Na sio kama usile kabsa ila hautakiwi kula mara kwa mara ila mafuta yana umuhimu wake kwenye mwili so hayatakiwi kukosekana kabsa
Housing ndio kila kitu; ya ndani utayajua mbele ya safari 😀 😀Mzee unapenda bode type 😂
Yes na ndizi choma plus vegetables au matunda bas.Kuku choma na nduzi au nin
Binafsi sipendi mwili nyumba kabisa sema hawa wenzetu wanafutukaga sanaHousing ndio kila kitu; ya ndani utayajua mbele ya safari 😀 😀
Mazoezi ni nidhamu binafsi inabidi ujisimamie!Nisaidieni mwenzenu Nina uvivu ila napenda maziez
Haswa kwenye uzazi, asipokuwa na nidhamu ya vyakula na mitindo ya kula kwa kisingizio cha uzazi huwa wanatanuka sana na unfortunately hawarudi kawaida kamweBinafsi sipendi mwili nyumba kabisa sema hawa wenzetu wanafutukaga sana