Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Tunaofanya Mazoezi tukutane hapa

Is not easy at all...

Kuwa vegetarian tena?
SI wadau wanasema protein sio mbaya
No sio kuwa vegetarian ni kufunga kwa siku tatu badala ya kutokula kawaida wala matunda na vegetables at least two or three a months, it'so helping katika kupunguza mwili na kuondoa accumulated toxins which are always endup to be converted to organic fatty
 
Ukiffanikiwa nijulishe
Sawa sister tayari nimeshawanunua wako vizuri sana. Ila nahitaji nyongeza tu huko mbele namna ya kuwalisha na mambo mengine. Kuna Uzi mmoja wa ufugaji mbwa ukipita hapa,jamaa anaelezea hata namna ya ile asubuhi mazoezi yao,kuna vimpira vyao pia vya kucheza cheza. Vinginevyo utakuta wameng'ata ng'ata tyre asubuhi.

Masai dada upo?
 
Hao hao !
Wale mbwa hawana mwenye mbwa ,mgeni , wala adui ,si rafiki kwa mazingira yetu
Ahahaaaa....! Hao ukiwaachia watoto home,hesabu maumivu. Halafu wana timing hatari. Hao hapana mkuu
 
HAhahhaa tell me about metabolic error,nahitaji kitu Cha kushusbua lawama huu mwili
ukifanya diet mwili lazima upungue ukiona umegoma ujue metabolic rate yako iko chini sana au unamatatizo ya kihomoni, lakin kama ni mzima fresh futata utaratibu nilio kwambia mwili unaisha
 
Binafsi sipendi mwili nyumba kabisa sema hawa wenzetu wanafutukaga sana
Mwili kama huu unahitaji mazoezi gani
fx.jpg
 
Yaaani achana na hao viumbe wakuitwa wasaniii...WA hapa bongo wamenenepeana hovyo na wengine wanaingia kwenye misugery..
WA mbele huko kina Kim huko wanapiga "mummy make over" surgery za kutosha bro....sio hao watu....wachache sana haswa wazungu piwa wanakula zoezi Kali....ila mablack wanapiga masajar hatari
Maana nawaona wengi miili yao ni ya kawaida kabisa utadhan hawali uzazi
 
hao protein wanaipata kwa kufanya donation hamna tunda lenye all essential amino acids?
anyway umejuaje kama wana afya??
Im vegan bro no dead meat in my body and im healthy no hospital no nothing, plus i was alcoholic addict and i bit the hell out out of it just by turning to a vegan
 
Back
Top Bottom