Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mwanamke huwa anavuta?Pole sana...Nakushauri kimoja tu anza kupuliza mmea, ganja huondoa uchovu wa akili
View attachment 2252401
Depression inakunyemelea mama au tayari unayo. Tafuta mtaalamu uongee naye. Au ndio mid life crisis?Yes cute
changamoto hii inapelekea watu kuchoka na maishaSure yaan, depression is real mkuu
but nashauri watu tuwe na tabia ya kufunguka kuliko kukaa na kitu ndani ya moyoHakika
SAD Generation,, with a Happy PicturesEe Mwenyez Mungu nisaidie,pekeyangu siwez pasipo msaada wako.
Asante sana,na ubarikiwe....Kitu kikubwa ambacho baadhi yetu watumishi hatutaki kukiona ni kama tatizo, ni ile miaka saba ya kutopandishwa mishahara au madaraja! Iliua matumaini ya kiuchumi ya mtumishi na ndoto za maisha pamoja na motisha ya kufanya kazi. Vitisho na migogoro na mabosi na watumishi wengine pia uongeza stress.
Bila shida yoyote ile ganja ina manufaa mengi kuliko hasara, tatizo kuna nguvu kubwa sana imetumika kuipotosha jamii kuhusu ganja...Hivi mwanamke huwa anavuta?
Asante sana Nas JrUsijilinganishe na mtu yeyote na kwa namna yeyote,,,ishi maisha yako...na furahia kwa hicho ulicho nacho,,,kuna watu hawana kazi wewe unayo,,,,hawana mtoto wewe unao,,wagonjwa ila wewe mzima...so be grateful for that so usinung'unike kukosa viatu wakati wengine hawana hata hio Miguu ya kuvalia viatu (FA)...
Hapana,hapo ndo nitaharibika mazimaBila shida yoyote ile ganja ina manufaa mengi kuliko hasara, tatizo kuna nguvu kubwa sana imetumika kuipotosha jamii kuhusu ganja...View attachment 2252496