Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta hela tuNgoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano
Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia [emoji17][emoji4]
Unaishije Sasa😀😀Ngoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano
Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia 😔😊
Naomba hapo kwenye kufurungunyua kabikira feki nihusishwe. Hapo hapamfai mtu mwingine niwekwe mimi aiseeNiko hapa yani sijafumania mti nyama tangu twentetwente, ila panapo majaaliwa mwakani kabikira kanatolewa, mualiko DeepPond na mama j wake😂
Yani ka unbeaten kangu ka siku takriban 900 ukatoe wewe buji🙄🙄ila sishangai kuna masela wamebikiriwa juzi na walima mpunga, yote yanawezekana😜😜😜Naomba hapo kwenye kufurungunyua kabikira feki nihusishwe. Hapo hapamfai mtu mwingine niwekwe mimi aisee