Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ka unbeaten kangu ka siku takriban 900 ukatoe wewe buji🙄🙄ila sishangai kuna masela wamebikiriwa juzi na walima mpunga, yote yanawezekana😜😜😜
Inawezekana tena unakaa hata miaka sema inabidi uwe na nidhamu kubwa sana ili kutoboa mwaka baada ya hapo unaweza kukaa bila shidaKwa wanawake it's possible
Kwa wanaume hii itakua chai ya Karne[emoji4]
Utakua team chaputaMaisha bila sex ni raha sana.No worries. Halafu maskini tu ndo hupagawa na sex. Team Sologamy na asexual gonga thanks. [emoji3059][emoji7][emoji847]
Ila chaputa lazima ihusikeInawezekana tena unakaa hata miaka sema inabidi uwe na nidhamu kubwa sana ili kutoboa mwaka baada ya hapo unaweza kukaa bila shida
Kuna faida yoyote mnapata?Tupooooo 👏👏👏👏 hongera kwetu...
Wasikukatishe tamaa Mkuu, Mungu akitupa uhai na mwaka 2023 kama kawa hakuna kufanya.😎
Wala hakuna. Mimi nipo inspired na Mt Rita. Yaani wala sina nyege. Halafu mambo kuhusu sex huwa nayaona humu tu. Nisipoona hapa baaasi.Yaani ubongo wangu unawaza mambo mengi, Sex haipo kabisa.Utakua team chaputa
Mwaka mzima si mchezo
Usilete masihara na nyege kabisa [emoji4]
Bila puli wala nini kama zikijaa zitatoka tu zenyewe usiku tena bila hata kupata ndoto nyevuIla chaputa lazima ihusike
Mmmhhh!! I thought sex was one of the body's biological needs! Anyways, a lot of things are now changing or being questioned. All the best in satisfying yourselfMaisha bila sex ni raha sana.No worries. Halafu maskini tu ndo hupagawa na sex. Team Sologamy na asexual gonga thanks. [emoji3059][emoji7][emoji847]
Nakubaliana na weweKwa wanawake it's possible
Kwa wanaume hii itakua chai ya Karne[emoji4]
It depends. But Sometimes we find ourselves in situations where sex does not matter any more.Mmmhhh!! I thought sex was one of the body's biological needs! Anyways, a lot of things are now changing or being questioned. All the best in satisfying yourself
Sifanyi kwa kupata faida. Nimeamua tu dear Demi ... Naienjoy, sioni napungukiwa chochote. Mwaka unaisha naona ni kama jana tu.Kuna faida yoyote mnapata?
Wala hakuna. Mimi nipo inspired na Mt Rita. Yaani wala sina nyege. Halafu mambo kuhusu sex huwa nayaona humu tu. Nisipoona hapa baaasi.Yaani ubongo wangu unawaza mambo mengi, Sex haipo kabisa.
😂😂😂majibu yako bhana🙅Kuna mambo yanafurahisha sana...