Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wewe n mjinga Sana
Umenyanyaswa
Umenyimwa stahiki zako
Lakin unatetea upuuzi wa kutoitaja hyo ofisi uliyokuwa unafanyia kazi
Endelea kunyanyaswa hvyo hvyo sababu ya ujinga wako
TAJA HUO MGAHAWA TUCHUKUE HATUA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa nikutumie majina yao PM au?Nipe details jina la mgahawa na
Majina ya wamiliki.
Angalizo
Usiwe umeongeza Wal kupunguza chumvi na muwe na ushahidi wa UHAKIKA.
Poleni mkuu. Haya mambo kuna kaandiko langu niliongelea umuhimu wa mikataba. Haka hapa 👇🏻👇🏻Habari Zenu Wakuu.
Mimi na wenzangu 11 tulikua tukifanya kazi mgahawa ambao upo Masaki, unamilikiwa na waarabu wa Yemen. Tarehe 28 January, 2022 ilitokea mzozo kazini majira ya saa 7usiku, baina ya bosi wakike na wafanyakazi huyo mama alitutukana matusi ya nguoni mbele ya wateja wachache waliokuwepo wanamalizia kuvuta shisha, na akasema hatomlipa mbwa yoyote mshahara! Popote tutapoenda kudai haki zetu atasema “hatufahamu” na ataaminiwa sababu hakuna mwenye mkataba nae pia yeye ana hela.
Hio sio mara ya kwanza huyu mama kutukana wafanyakazi wake matusi ya nguoni, alikua akitutukana mara kwa mara tena mbele ya wateja bila kujali chochote. Wateja wengine walichukizwa kwa jinsi huyu mama anavyo mistreat wafanyakazi wake hivo baadhi ya wateja wamekua wakiacha comments mbaya juu ya mistreatment za wafanyakazi huko Google Review kwa muda tofauti tofauti. Ushahidi upo.
Huo usiku wa tukio supervisor alimuomba bosi asituadhibu kwa kutunyima haki zetu za mishahara, sababu wengi wanategemea mshahara huohuo kuendesha maisha yao.
Yule mama alimtukana matusi ya nguoni supervisor na akamfukuza kazi usiku huohuo na kuamriwa atoke nje ya mgahawa. Supervisor akasema ataondoka baada kulipwa mshahara wake yule mama akasema hamlipi hata aende wapi, hana mkataba na yoyote kati yetu huku akicheka! Wafanyakazi wote usiku huo tukawa upande wa Supervisor sababu ni kweli hakuna mwenye mkataba pale na tulichoshwa kutukanwa matusi.
Yule mama akasema subirini hapahapa hamna kuondoka leo nitawaonyesha mie ni nani. Baada ya muda defender la polisi likafika na askari mmoja akatufata na kuuliza kama kuna fujo? Sababu wamepigiwa simu kuja kutuliza fujo na wameambiwa mali zimevunjwa pale mgahawani ila anashangaa kukuta hali ni shwari na hamna dalili ya kitu kuvunjwa.
Naendelea hapo chini kwenye comments👇🏽
Okay Jina La Mgahawa ni “Le Maraheb Restaurant & More” upo Masaki/ Chole Road.Unashindwa kusaidika sababu unawaficha wasomaji uliowakusudia hapa, upo JF una I'd fake pili wewe unasema uhalisia wenyewe alafu hutaki kutaja jina la mgahawa Yan zile key points unazificha na ogopa asije akatokea mpinzani wako yaan anaenufaika na hyo kesi akakoment kwenye magep uliiacha hapa utakuja kuonekana wewe ulikuwa muhuni tuu na unastahili hayo unayopitia.
Ukweli una njia fupi sema ndo hvyo huwa unauma DUNIA HAINA USAWA.
Unanjaa Kali anatokea Simba Nate njaa Kali umepata nafasi ya kumuua unasema eti siwezi kumuua Simba hata nikimuua siwezi kumla.
Yeye Simba anasema hapa ndio nimepata nyama wacha nipambane nimle huyu.
Au akitokea swala mbele yako wewe nasimba unafikiria Simba atakuachia upate nyama kidogo kwa swala?
Mbna umeipata hiyo nafasi na hujaitumia...Sasa mbona hutupi nafasi ya kukomenti thread yote unajaza wewe
Nishaeeka Hapo Juu pamoja na Picha za MgahawaMkuu umenikera sana kutokuutaja huo mgahawa, usitegemee kupata msaada wa maana kama bado unaficha wahalifu.
Utaje huo mgahawa, leta majina huyo bosi na mke wake, weka wazi huna cha kupoteza
Ndio huohuo Mkuu nimeambatanisha na Picha za Mgahawa. Waliofanya Kazi Pale ndo Watakua Mashahidi Siku wakiwa Exposed kwenye Media. Wengi wamedhulumiwa hadi Wapishi wa Kibongo. Kutwa watu wanaacha kazi PaleWewe Taja mgahawa Acha uoga.
Unakumbuka kuna demu mnaigeria alisema amebakwa Zanzibar? Hotel ghafla Tu ikashuka ratings kutokana na kelele za watu.
Hichi ndo kinatakiwa kufanyika hapo. Taja mgahawa Sisi twende nao sambamba au ndo ule Le Maraheb?
Kwanza pole Sana,haya ndio maisha ya watz kwasasa mwenye pesa ndio Kila kitu,sasa unganisheni nguvu zenu wote 12,shirikisha wanasiasa sasa kwa mkuu wa wilaya,kwa das,kwa RC,barua wizarani Kama zote,yupo tuu ataogopa kumwagiwa ugari wake atasimama na nyinyi mtapata tuu,naongea kwa ushaidi niliwahi kufanya kazi kampuni flani tunakatwa nssf wakti huo kwenye mfuko hakuna kitu inawekwa,tukienda kuliza nssf danadana Kama zote,tulikaa chini tukawaza tukaja na andiko Kali Sana,nakala kwa Kama zote mbona jaamaa aliona kuwapoza wote hawa Bora watupe ela yetuu.utakuja kunishukiru kiongozi.Nia yake atufunge Jela, kule Kazini wanawaambia Wafanyakazi Wapya wenzenu Wapo Gerezani Tumewafunga.
Wanajiamini 100% hawatulipi hela zetu hata twende wapi, na Hofu Yetu wasije kufanikiwa Kutufunga while hatuna Hatia na Hukumu Ilithibitisha hivo. Roho zinatuuma Tulikua tunafanya kazi Mpaka saa 8 Usiku, Maana wana huduma ya Shisha ndo wateja walikua wanachelewa Kuondoka, Kweli Mtu unanyimwa Jasho lako uliolitafuta kwa tabu kurudi Nyumbani usiku wa manane Tunaogopa Kupishana na Vibaka na Mateja, anatukomesha kutunyima haki zetu kisa tu ana hela? Tuende wapi Sauti zetu zisikike? Tukifungwa Jela Wazee wetu na Watoto wetu watakua kwenye hali gani? Hawana Huruma ni Makatili mno hawana Urafiki na mtu hata huyo Mlinzi alietusaliti na Kutoa Ushahidi wa Uongo Alisimamishwa Kazi akabembeleza sana arudishwe maana Maisha yake hana hata sehem ya Kulala, sshv anajuta na muda wowote anaondoka mambo yamemgeukia.
Hahahahaha!! Kumbe wewe ndo uliwapasua wale jamaa? Yule aliekua CoP hadi leo anazurura, hana pa kupata kazi sema wakubwa wenzie wizarani wanamtupia vi consultancy vya hapa na pale ndo anaishi.Aiseeee Mimi huwa sivumiliagi huo Ujinga, Kuna NGO iliwahi kuwa kubwa sana sana Tanza-nia, nilichowafanya.......basi niishie hapa.
Sawa nikutumie majina yao PM au?
Nipo Tayari Kukupa Hata Copy ya Nakala ya Hukumu Uthibitishe.
Askari magereza wa kike alisoma hati ya mashtaka mbele ya mheshimiwa hakimu....Yule Bosi alivopelekewa Summons ya CMA alishikwa Hasira akasema Hatulipi. Baada siku Kadhaa tukaitwa Polisi Osterbay Jioni, Tukaambiwa Tujiandae kupelekwa Mahakamani kwa Kosa la Kutukana Matusi ya Nguoni na sio kufanya Fujo tena! Tulishangaa matusi gani wakati Sisi ndio Tuliotukanwa Matusi, Siku iliofata Tukapelekwa Mahakamani Kusomewa Mashtaka Kwa Bahati Nzuri Askari Magereza wa Kike wa Mahakama ya Kinondoni aligoma Kubadilisha Mashtaka from kufanya Fujo to Kutukana Matusi.. mpelelezi alidai eti alikosea Kuandika badala ya Matusi akaandika Fujo, Yule Askari wa Kike alimwambia kama umekosea Ingia nao Mahakamani umueleze Hakimu mimi usinitfutie Matatizo!!!
Sasa dogo Semenya wa ukaldayo huko zako huko Ontario Canada 20 K KM far away hata akiweka Jina utamsaidiaje?Wewe mzima kweli??
Weka jina hapa Jukwaani na hao mabosi
Unajidanganya kuogopa ujinga asee
Mkuu inakuwaje asee ushatoka ofisini nini?Askari magereza wa kike alisoma hati ya mashtaka mbele ya mheshimiwa hakimu....
Pm wapi weka kila kitu hadharaniSawa nikutumie majina yao PM au?
Nipo Tayari Kukupa Hata Copy ya Nakala ya Hukumu Uthibitishe.