DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari Zenu Wakuu.

Mimi na wenzangu 11 tulikua tukifanya kazi mgahawa ambao upo Masaki, unaitwa “LE MARAHEB RESTAURANT & more” unamilikiwa na waarabu wa Yemen. Tarehe 28 January, 2022 ilitokea mzozo kazini majira ya saa 7usiku, baina ya bosi wakike na wafanyakazi huyo mama alitutukana matusi ya nguoni mbele ya wateja wachache waliokuwepo wanamalizia kuvuta shisha, na akasema hatomlipa mbwa yoyote mshahara! Popote tutapoenda kudai haki zetu atasema “hatufahamu” na ataaminiwa sababu hakuna mwenye mkataba nae pia yeye ana hela.

Hio sio mara ya kwanza huyu mama kutukana wafanyakazi wake matusi ya nguoni, alikua akitutukana mara kwa mara tena mbele ya wateja bila kujali chochote. Wateja wengine walichukizwa kwa jinsi huyu mama anavyo mistreat wafanyakazi wake hivo baadhi ya wateja wamekua wakiacha comments mbaya juu ya mistreatment za wafanyakazi huko Google Review kwa muda tofauti tofauti. Ushahidi upo.

Huo usiku wa tukio supervisor alimuomba bosi asituadhibu kwa kutunyima haki zetu za mishahara, sababu wengi wanategemea mshahara huohuo kuendesha maisha yao.

Yule mama alimtukana matusi ya nguoni supervisor na akamfukuza kazi usiku huohuo na kuamriwa atoke nje ya mgahawa. Supervisor akasema ataondoka baada kulipwa mshahara wake yule mama akasema hamlipi hata aende wapi, hana mkataba na yoyote kati yetu huku akicheka! Wafanyakazi wote usiku huo tukawa upande wa Supervisor sababu ni kweli hakuna mwenye mkataba pale na tulichoshwa kutukanwa matusi.

Yule mama akasema subirini hapahapa hamna kuondoka leo nitawaonyesha mie ni nani. Baada ya muda defender la polisi likafika na askari mmoja akatufata na kuuliza kama kuna fujo? Sababu wamepigiwa simu kuja kutuliza fujo na wameambiwa mali zimevunjwa pale mgahawani ila anashangaa kukuta hali ni shwari na hamna dalili ya kitu kuvunjwa.

Naendelea hapo chini kwenye comments👇🏽View attachment 2343514
Kusema kweli Mimi ningeishia kuwekwa ndani ningembabua huyo boss yani hyo siku kesi ingehamia kwangu aiseh
 
Habari Zenu Wakuu.

Mimi na wenzangu 11 tulikua tukifanya kazi mgahawa ambao upo Masaki, unaitwa “LE MARAHEB RESTAURANT & more” unamilikiwa na waarabu wa Yemen. Tarehe 28 January, 2022 ilitokea mzozo kazini majira ya saa 7usiku, baina ya bosi wakike na wafanyakazi huyo mama alitutukana matusi ya nguoni mbele ya wateja wachache waliokuwepo wanamalizia kuvuta shisha, na akasema hatomlipa mbwa yoyote mshahara! Popote tutapoenda kudai haki zetu atasema “hatufahamu” na ataaminiwa sababu hakuna mwenye mkataba nae pia yeye ana hela.

Hio sio mara ya kwanza huyu mama kutukana wafanyakazi wake matusi ya nguoni, alikua akitutukana mara kwa mara tena mbele ya wateja bila kujali chochote. Wateja wengine walichukizwa kwa jinsi huyu mama anavyo mistreat wafanyakazi wake hivo baadhi ya wateja wamekua wakiacha comments mbaya juu ya mistreatment za wafanyakazi huko Google Review kwa muda tofauti tofauti. Ushahidi upo.

Huo usiku wa tukio supervisor alimuomba bosi asituadhibu kwa kutunyima haki zetu za mishahara, sababu wengi wanategemea mshahara huohuo kuendesha maisha yao.

Yule mama alimtukana matusi ya nguoni supervisor na akamfukuza kazi usiku huohuo na kuamriwa atoke nje ya mgahawa. Supervisor akasema ataondoka baada kulipwa mshahara wake yule mama akasema hamlipi hata aende wapi, hana mkataba na yoyote kati yetu huku akicheka! Wafanyakazi wote usiku huo tukawa upande wa Supervisor sababu ni kweli hakuna mwenye mkataba pale na tulichoshwa kutukanwa matusi.

Yule mama akasema subirini hapahapa hamna kuondoka leo nitawaonyesha mie ni nani. Baada ya muda defender la polisi likafika na askari mmoja akatufata na kuuliza kama kuna fujo? Sababu wamepigiwa simu kuja kutuliza fujo na wameambiwa mali zimevunjwa pale mgahawani ila anashangaa kukuta hali ni shwari na hamna dalili ya kitu kuvunjwa.

Naendelea hapo chini kwenye comments[emoji1427]View attachment 2343514
Si waarab na nyie ni ndugu?
Sasa unakuja kulalamika hapa na ndugu yako ndiye kakutukana

Maana ni nadra kwa myemen kuajiri kafir
 
Nitashukuru sana Mkuu. Tunaumia sana na huu Unyanyasi dhidi yetu, cha ajabu hata pale Mahakamani Kinondoni wanatuhurumia ila hawana Namna ya Kutusaidia Kumzuia Unyanyasaji wake
Nishakutumia inbox.
Kuna mama mmoja alikua kamishna pale Tume ya Haki za Binadamu, anaitwa Kamishna Salma. Bahati mbaya nimepoteza namba miaka mingi. Nendeni mkamuulizie mtapewa namba zake. Ofisi zao zipo karibu na Ikulu Magogoni
 
Watanzania wanaonewa sio Kwa sababu waajiri ni waonevu Bali ni kwasababu wao ndio wanaruhusu kuonewa
Mleta mada n mpuuz Sana

Angekuwa yeye n mwekezaj hata hapo Kenya tu angeona huo MGAHAWA ungezungumziwa na angekuwa deported kurudishwa bongo

Shwain zake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kosa ni kutorekodi matukio hayo.

Mngerekodi kila tukio na matusi yake hayo dhidi ya ninyi.

Pili mlikosea kwenda Mamlaka Moja tu.

Mngekwenda Immigration na ushahidi wenu huo kwamba kwamba huyu mwamba kadha wa kadha.

Huku pia mkiwahi kuripoti polisi.

Mngeona kama hatua zisingechukuliwa

Ila kwa Sasa ni kupoteza muda tu na zitabakia tuhuma

Angekuwa deported within 72 hours na kuwa prohibited immigrant

Na pesa zenu mngelipwa
 
Nishakutumia inbox.
Kuna mama mmoja alikua kamishna pale Tume ya Haki za Binadamu, anaitwa Kamishna Salma. Bahati mbaya nimepoteza namba miaka mingi. Nendeni mkamuulizie mtapewa namba zake. Ofisi zao zipo karibu na Ikulu Magogoni
Asante mno Mkuu kwa kuguswa na Matatizo yetu😭 Nitawapa mrejesho mambo yatavoendelea
 
Mleta mada n mpuuz Sana

Angekuwa yeye n mwekezaj hata hapo Kenya tu angeona huo MGAHAWA ungezungumziwa na angekuwa deported kurudishwa bongo

Shwain zake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuna kitu kimoja mna-miss watu wa aina yako. Kumbuka tunatofautiana upeo na handling ya mambo kutokana na factors tofauti: za kimazingira, kielimu n.k
Badala ya kumkejeli ni kumpa mwongozo.
 
NAWASHAURI JIACHAGUENI VIONGOZ 3 NENDENI MKAFUNGUE KESI KITUO CHA POLISI, WAKUBALI AU WAKATAE KUFUNGUA KESI, NENDENI PIA KWA RPC MKAMPE TAARIFA YA SHIDA YENU...
Yakishindikana yote haya kama police wataamua kukaa upande wa hao ngurue wa kigeni... Chomeni moto huo mgahawa au wekeni hata sumu wateja waharishe tu bila kufa...
USIKUBALI kuonewa ktk ardhi ya nyumban kwako...
Wee Ni mnyama

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kimoja mna-miss watu wa aina yako. Kumbuka tunatofautiana upeo na handling ya mambo kutokana na factors tofauti: za kimazingira, kielimu n.k
Badala ya kumkejeli ni kumpa mwongozo.
Mkuu unapodai haki yako hutakiwi kuogopa

Mambo Kama haya ndyo wagen hutuona wajinga umbwa sababu hatujui haki

Mtu kama huyo anahtaj muongozo gani wakat maumivu anayopitia anayaona anaogopa nn na yupo nchini kwake?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
oya petrol lita kumi ni 35000 kiberiti cha gas ni 500 gazeti used ni 300
fika eneo la tukio mwaga petrol chap chap washa gazeti lako panda boda kabisa alaf rusha gazeti lichome kufuata mstari wa mafuta mpka eneo la jengo ww sepa ikiwezekana hiyo boda kunja plate namba mkifika mbali inyooshe .
 
Poleni sana wewe na wenzako kwa mlichotendewa hii tabia imekuwa sugu sana ya wageni kuwanyanyasa wenyeji yote hii inatokana na serikali yetu kuwakumbatia awa wadudu dawa ni moja tu nahamanin kwa nguvu tuliyonayo sisi wana JF ili jambo tukiamua kulivaria njuga awa wadudu wanarudishwa kwao na nyie kupata stahiki zenu tuma picha za iyo restaurant na majina ya awa wadudu tuwanyooshe yani watu wametoka kwao uko kuna vita hakukaliki wamekuja kwetu tumewapokea alafu waje watunyanyase apa apa kwetu ...Guys we need to do something now.
 
Back
Top Bottom