DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Watz tumegawanyika sbb ya umaskin wetu ivi mtz mambo kama haya anaweza dhubut kufanya ger franc
Mnadai mishahara ya miezi mingap na mlikuwa mnalipwa sh ngap kukubali kufanya kazi bila mkataba ni changamoto
 
Kuna mtu alitufanya watanzania kuwa MAZUZU, binafsi sio zuzu issue hii ndio utaelewa wazulu ni watu wa namna gani, burn burn burn hiyo restaurant yao next time hawatarudia ushenzi huo na watawahasidia wenzao kuwa watanzania sio wa kuchezewa haki zao, sasa unakimbilia huku kwenye soft touch kama mbwa koko, fight
Mm Ni mkristo lkn unyanyazaji hpn kwa kweli tia kiberit hyo restaurant akili iwakae saw

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Okay Jina La Mgahawa ni “Le Maraheb Restaurant & More” upo Masaki/ Chole Road.

Nimeambatanisha Picha za Mgahawa hapo Chini[emoji1427]

Tukio Lilitokea January Mwishoni, Osterbay Police Askari wengi wanajua Mkasa wetu, pale Osterbay Police ukisema tu kesi ya wale Vijana 12 walionyimwa Mishahara yao na Bosi wao Mwarabu mwenye Mgahawa Masaki Chole Wanakumbuka!
Ndio mmeshindwa kukitia kiberiti haka kamgahaw

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana wewe na wenzako kwa mlichotendewa hii tabia imekuwa sugu sana ya wageni kuwanyanyasa wenyeji yote hii inatokana na serikali yetu kuwakumbatia awa wadudu dawa ni moja tu nahamanin kwa nguvu tuliyonayo sisi wana JF ili jambo tukiamua kulivaria njuga awa wadudu wanarudishwa kwao na nyie kupata stahiki zenu tuma picha za iyo restaurant na majina ya awa wadudu tuwanyooshe yani watu wametoka kwao uko kuna vita hakukaliki wamekuja kwetu tumewapokea alafu waje watunyanyase apa apa kwetu ...Guys we need to do something now.
Wana Uraia wa Tanzania ila asili yao ni Yemen, wanazungumza Kiarabu na Kiswahili, Walikua na Mgahawa Mwanza Rock City Mall, Wametapeli Mishahara watu kibao mpaka Suppliers huko Mwanza wakakimbilia Dar. Pia Huyo Bosi wakike Familia yake ndio wamiliki wa Star Light Hotel Iliopo Kisutu, ila wengine wanasema Waliuza hio Star Light Hotel ndio wakafungua huo Mgahawa Wa Masaki.

Bosi wa kike anaitwa: ARIFA AL-BEITY
Bosi wa Kiume anaitwa: MAHMOUD OMAR AL-SHATRY
 
Wewe n mjinga Sana

Umenyanyaswa

Umenyimwa stahiki zako

Lakin unatetea upuuzi wa kutoitaja hyo ofisi uliyokuwa unafanyia kazi

Endelea kunyanyaswa hvyo hvyo sababu ya ujinga wako

TAJA HUO MGAHAWA TUCHUKUE HATUA



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Taja Mgahawa Jina La Boss
Kituo Cha Police, Jina La Hao Askari, Hakimu Anayeisikiliza Kesi

Mahakama Gani,

Utapata Msaada Chap
Serikali Ipo JF Saa 24/7
 
Wanaajiri tena
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-233942_Google.jpg
    Screenshot_20220902-233942_Google.jpg
    74.1 KB · Views: 6
Details kuhusu huo mgahawa
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-233556_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-233556_Chrome.jpg
    40.8 KB · Views: 6
  • 20220902_220643.jpg
    20220902_220643.jpg
    32.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220902-233513_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-233513_Chrome.jpg
    37.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220902-233529_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-233529_Chrome.jpg
    45 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220902-233522_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-233522_Chrome.jpg
    74.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220902-233552_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-233552_Chrome.jpg
    45.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220902-215730_Chrome.jpg
    Screenshot_20220902-215730_Chrome.jpg
    43.4 KB · Views: 7
Back
Top Bottom