Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
Bajeti ya mwaka 2021/2022 iliyopitishwa na Bunge ukiondoa masuala ya kulipa deni la taifa na matumizi ya serikali ikiwemo kulipa mishahara ya Watumishi, kiasi cha Shilingi Trillion 4 zilitengwa kwaajili ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa na vituo vya afya.

Baadaye tukapata msaada wa Shilingi Trilioni 1.3 kwaajili ya kupambana na Uviko 19 ambazo Rais Samia akazielekeza kwenye ujenzi wa madarasa pamoja na vituo vya afya tu. Hizi pesa ziliwekewa msisitizo kwamba ole wake atakayezifyonza atakiona cha moto, msisitizo ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba mpaka usimamizi wa zile 4Trilioni za kwetu haukusikika tena.

Likaja suala la Tozo za miamala ya simu, tozo hizi zikiwa na lengo la kuelekezwa kwenye ujenzi wa madarasa kwa mara nyingine tena na licha ya wananchi kulia kwa machozi ya damu lakini bado kauli ilitolewa kwamba asiyetaka kulipa tozo 'ahamie Burundi.' Ripoti ya mwezi wa kwanza wa makusanyo ya tozo ilikuwa ni Sh48.5 bilioni.

Swali ni moja tu kwa waziri; Je, Sh. 4 Trilioni, Sh. 1.3Trilioni na mfululizo wa makusanyo ya tozo za miamala ambazo kwa wastani wa tathimini ya makusanyo ya mwezi mmoja ni zaidi ya Sh. 40 bilioni. Hizi zote zimefanya nini?
 
Mkuu hongera kwakujitambua

Moja ya vitu ambavyo watanzania tunaonewa saana na wanasiasa wetu kushindwa kuhoji

Yaan tunaona Kama s jukumu letu kuhoji kod zetu

Mm Nina kampen yangu kila siku YA KUMTAKA RAIS ASEME PESA ZA TOZO ZIMEFANYA NINI
japo sipati wachangiaji lakn naamin natimiza haki yangu ya kudai matumiz ya Kodi yangu
 
Akija ajibu na la kodi za majengo. Fedha hizi zinakatwa tunapolipia umeme lakini hakuna zinakoonyeshwa kama kodi ya jengo, Utakuta umelipa shs 5,000 lakini message inayokuja inaandika hivi Cost 2.459.2; vat 18% 442.62; ewura 1% 24.59; rea 3% 73.77 Total 5,000, Lakini hizo ukijumlisha unapata 3,000, maana yake hiyo tofauti ya shs 2,000 ndiyo kodi ya jengo.

Kwanini isiandikwe hivyo ili CAG akikakgua account ya kodi ya jengo akute hizo hela lakini kuziacha hewani bila jina kunatia mashaka,

Baadae wamekuja na jina linaitwa Debt collected, which debt kwa nini wasiseme kodi ya jengo? Ukisema debt collected, how many debts are collecting, na je huyo mlipaji akikudai ni deni gani utamwambiaje? (There is a big difference between a debt and a tax)
 
Akija ajibu na la kodi za majengo. Fedha hizi zinakatwa tunapolipia umeme lakini hakuna zinakoonyeshwa kama kodi ya jengo, Utakuta umelipa shs 5,000 lakini message inayokuja inaandika hivi Cost 2.459.2; vat 18% 442.62; ewura 1% 24.59; rea 3% 73.77 Total 5,000, Lakini hizo ukijumlisha unapata 3,000, maana yake hiyo tofauti ya shs 2,000 ndiyo kodi ya jengo. Kwa nini isiandikwe hivyo ili CAG akikakgua account ya kodi ya jengo akute hizo hela lakini kuziacha hewani bila jina kunatia mashaka,
Baadae wamekuja na jina linaitwa Debt collected, which debt kwa nini wasiseme kodi ya jengo? Ukisema debt collected, how many debts are collecting, na je huyo mlipaji akikudai ni deni gani utamwambiaje? (There is a big difference between a debt and a tax)
Tungekuwa na nyuz kama hiz 50 humu ndani unadhan watawala wangekaa kimya! Lazma wangekuja kuleta ufafanuzi

Uz wa kula tunda kimasuhara una viewers mil 3 Sasa

Lakn uz wa kudai matumiz ya kod ambao hata mla tunda kimasihala unamuhusu anaupitia mbali kama haumuhusu Cha ajabu ndio haohao wanaolalamika mfumuko wa Bei lakn hawahoji

RAIS NAOMBA NISOMEE MAPATO NA MATUMIZI YA TOZO ZA SIMU
 
Mkuu hongera kwakujitambua

Moja ya vitu ambavyo watanzania tunaonewa saana na wanasiasa wetu kushindwa kuhoji

Yaan tunaona Kama s jukumu letu kuhoji kod zetu

Mm Nina kampen yangu kila siku YA KUMTAKA RAIS ASEME PESA ZA TOZO ZIMEFANYA NINI
japo sipati wachangiaji lakn naamin natimiza haki yangu ya kudai matumiz ya Kodi yangu
Mkuu no need to waste your precious time and effort because they'll turn a deaf ear and blind eye on you.

And there's no need to stand and support your fellow Tanzanians they will simply let you down.

What you have to do make sure everything you do is for your family only and not family alone but Nuclear Family.
 
Tatizo la Serikali ya Tanzania ni matumizi makubwa, ya Anasaa

Kama Vita ya Ukraine ina athiri uchumi, Kwa Nini Serikali isibane matumizi, kupunguza Posho, kupunguza matumizi ya V 8

Wakati huo Nape yupo hewani kuzurula nchi nzima kwa chopa eti kukagua na kuhamasisha anwani za makazi, mradi ambao hauna bajeti watu wanachangishwa.!
 
Bajeti ya mwaka 2021/2022 iliyopitishwa na Bunge ukiondoa masuala ya kulipa deni la taifa na matumizi ya serikali ikiwemo kulipa mishahara ya Watumishi, kiasi cha Shilingi Trillion 4 zilitengwa kwaajili ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa na vituo vya afya.

Baadaye tukapata msaada wa Shilingi Trilioni 1.3 kwaajili ya kupambana na Uviko 19 ambazo Rais Samia akazielekeza kwenye ujenzi wa madarasa pamoja na vituo vya afya tu. Hizi pesa ziliwekewa msisitizo kwamba ole wake atakayezifyonza atakiona cha moto, msisitizo ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba mpaka usimamizi wa zile 4Trilioni za kwetu haukusikika tena.

Likaja suala la Tozo za miamala ya simu, tozo hizi zikiwa na lengo la kuelekezwa kwenye ujenzi wa madarasa kwa mara nyingine tena na licha ya wananchi kulia kwa machozi ya damu lakini bado kauli ilitolewa kwamba asiyetaka kulipa tozo 'ahamie Burundi.' Ripoti ya mwezi wa kwanza wa makusanyo ya tozo ilikuwa ni Sh48.5 bilioni.

Swali ni moja tu kwa waziri; Je, Sh. 4 Trilioni, Sh. 1.3Trilioni na mfululizo wa makusanyo ya tozo za miamala ambazo kwa wastani wa tathimini ya makusanyo ya mwezi mmoja ni zaidi ya Sh. 40 bilioni. Hizi zote zimefanya nini?
Yaani mnavyoongea muwe mnaweka na viambatanisho,binafsi huwa ni mfuatiliji mzuri wa bajeti ya serikali,naomba unionyeshe ni wapi ilitamkwa au kuoneshwa kwamba til.4 itajenga madarasa..

Sihitaji kuijibia Serikali ila uongo huwa sipendi.
 
Bajeti ya mwaka 2021/2022 iliyopitishwa na Bunge ukiondoa masuala ya kulipa deni la taifa na matumizi ya serikali ikiwemo kulipa mishahara ya Watumishi, kiasi cha Shilingi Trillion 4 zilitengwa kwaajili ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa na vituo vya afya.

Baadaye tukapata msaada wa Shilingi Trilioni 1.3 kwaajili ya kupambana na Uviko 19 ambazo Rais Samia akazielekeza kwenye ujenzi wa madarasa pamoja na vituo vya afya tu. Hizi pesa ziliwekewa msisitizo kwamba ole wake atakayezifyonza atakiona cha moto, msisitizo ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba mpaka usimamizi wa zile 4Trilioni za kwetu haukusikika tena.

Likaja suala la Tozo za miamala ya simu, tozo hizi zikiwa na lengo la kuelekezwa kwenye ujenzi wa madarasa kwa mara nyingine tena na licha ya wananchi kulia kwa machozi ya damu lakini bado kauli ilitolewa kwamba asiyetaka kulipa tozo 'ahamie Burundi.' Ripoti ya mwezi wa kwanza wa makusanyo ya tozo ilikuwa ni Sh48.5 bilioni.

Swali ni moja tu kwa waziri; Je, Sh. 4 Trilioni, Sh. 1.3Trilioni na mfululizo wa makusanyo ya tozo za miamala ambazo kwa wastani wa tathimini ya makusanyo ya mwezi mmoja ni zaidi ya Sh. 40 bilioni. Hizi zote zimefanya nini?
Misukule ya dikteta tulieni, hayo maswali kaiulizeni mizimu ya Chatttle,

Kutwa mnamtukana Samia,Mara kwann kachukua hela za Covid19, nyie hamna haki ya kuhoji kabisa, wehu nyie
 
Back
Top Bottom