Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Mashabiki huwa mnaanzishaga sintofahamu sana kwenye club yetu ya simba muwa mnafanya kwa kiasi, mambo ya kuhisi au kuvuruga club haipendezi
 
ALIDENGUA AU ALIKUA ANAHOJI MASLAHI YA MKATABA??

KWA NINI HAMPENDI MCHEZAJI KUOMBA KUONGEZEWA MASLAHI YA MKATABA??

HIYO IPO PANDE ZOTE MBILI IWE YANGA AMA SIMBA UKIGUSA MASUALA YA MKATABA LAZIMA UAMBIWE MTOVU WA NIDHAMU.
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko team, Chama anao wafuasi wengi kwa mambo aliyoyafanya Simba lakini simuoni Benchikha akiingia katika mfumo wa Chama, kocha ni mkubwa sana kuliko mchezaji na anaungwa mkono na Mo Dewji anayemlipa mshahara na kumpa mamlaka ya kufanya analotaka kwa faida ya timu.
 
UNAKUMBUKA NELSON OKWA ALISHAWI KUSEMA VIONGOZI WANAPANGA VIKOSI KUWEKA WACHEZAJI WANAOWATAKA WAO??

MBONA HAMTAKI KUKUBALI KUWA VIONGOZI WA TIMU ZA KARIAKOO WANAUDHAIFU.
 
Wekeni sababu za kubuni hata laki moja lkn uongozi wa simba hauwezi kuhangaika na nyinyi sana sana ni kupoteza mda tu.
 
Pale mchezaji anapokuwa mkubwa kuliko club, kazi kwenu mlitusakama sana kwa swala la Fei baada ya kusema ili yy arudi basi Rais aondoke, haya kazi kweni na ana miaka miwili hapo kasaini juzi tu hapo.
 
Baada ya kushinda dhidi ya wydad mashabiki wa simba mmeanza kumkataa chama.
Wakati nyie mashabiki kipindi chama akiwekwa benchi mlikuwa mnatukana vibaya sana.kweli nyie ni Mbumbumbu,onana ni upepo tu mechi ya KMC mtamkataa na kuanza kumlaumu mangungu
 
Pale mchezaji anapokuwa mkubwa kuliko club, kazi kwenu mlitusakama sana kwa swala la Fei baada ya kusema ili yy arudi basi Rais aondoke, haya kazi kweni na ana miaka miwili hapo kasaini juzi tu hapo.
Ni wakati sasa kwa mashabiki kuhoji huo utovu wa nidhamu wa Clotus Chama na huyo mwenzake, ni utovu gani huo wa nidhamu!!

Kama walitoroka kambini, waseme! Na kama walidai posho walizoahidiwa; waambiwe pia. Ujanja ujanja hautakiwi.
 
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu anayoitumikia.
 
Labda ugomvi wa kugombania kile kitu cha Katikati pamoja na mabosi wake.
Halafu wamiliki wa hicho kitu wakishamkamata mchezaji wanaemtaka lazima Kiwango kiporomoke.
Dar ni jiji maarufu kwa starehe .
 
Kila ikifika dirisha jipya lazima awatetemeshe makolo
Utakuta anachelewa kambini au haji
 
Ni wakati sasa kwa mashabiki kuhoji huo utovu wa nidhamu wa Clotus Chama na huyo mwenzake, ni utovu gani huo wa nidhamu!!

Kama walitoroka kambini, waseme! Na kama walidai posho walizoahidiwa; waambiwe pia. Ujanja ujanja hautakiwi.
Kweli kabisa Mkuu.
 
Mipira ya kiafrika shida sana unaambiwa utovu wa nidhamu halafu huelezwi alichofanya mnabaki mitandaoni mnalumbana bila kujua chochote.
Kwani mkuu wewe unajua kilichofanya Jadon Sancho asimamishwe mpaka leo au walieleza zaidi ya Ten Hag kusema Sancho anajua cha kufanya ili arudi kwenye team?

Kwahiyo usibeze u - Africa sana.
 
Unahoji kuhusu malipo yako,unaambiwa mtovu wa nidhamu,awaburuze FIFA,waache ujanjaujanja.
 
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu, Morison alikuwa akisajiliwa msimu mzima anacheza mechi haizidi 6 ,zote anacheza hovyo, ikifika mda wa kusajili anaanza kuonyesha kiwango, huyu chama aliyecheza hizi mechi za mwisho kimataifa utadhani siyo kama yule wa kwenye ligi, hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na asizingue akitaka kwenda upande wa pili au popote aende

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kipindi cha pre season edo alitabiri haya,alisumbua kwenda na timu uturuki mpk alipwe chake edo alisema aombe awe form ila akicheza chini ya kiwango atajuta jinsi viongoi watakavyomfanya sasa anatafutiwa zengwe la kuachwa usishangae hata hili dirisha dogo wakampa thank you...

watu pekee watakaomsaidia ni viongozi wa yanga km wakionesha kumtaka ndo simba wanaweza kufikiria mara mbili kumuacha...wakifikiria zile 5 halafu game ya pili wanakuta na mziki huu
6:aucho
7:chama
8😛acome
9sankara
10:ki
11:max
mbona itfungwa goli mpk pomoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…