Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Timu za kariakoo (Simba sc na Yanga Sc) Hawa mapacha huwa wanakasumba sana haswa Hawa viongozi wanapoulizwa kuhusu suala la masilahi.

Nimemshuhudia Chama (kipenzi Cha mashabiki) akicheza mpira katika ligi yetu hii kwa nidhamu kubwa kwa misimu kadhaa bila kusikia kakwaruzana na mchezaji mwenzie au kiongozi mwenzake je leo hii Kuna Nini kwa Chama?

Tulizoea kusikia Mkude kafanya hivi au Benard Morson kafanya kile hapo nzungumzia wakiwa Simba sc acha Yanga Sc kwa Bernard morsoni watu Kama Hawa mwisho wa siku mashabiki tulizoea kutokana na utundu wao.

Aliachwa Saidoo ntibazonkiza pale Yanga Sc juu juu tu hakuna sababu ya maana iliyoelezwa, hii ni kasumba kwa timu yetu/timu zetu za Kariakoo na hii hutokana na viongozi kutoa ahadi zisizo na vitendo na wachezaji wakihoji wanaonekana ni watovu wa Nidhamu.

Maoni Yangu: ifike hatua timu za kariakoo ziache janja janja haswa kwenye masilahi/posho za wachezaji.

Hakuna shabiki wa Simba sc na Yanga Sc asiyejua kuwa Chama kwenye Suala la nidhamu yupo vizuri Ila janja janja za viongozi wa kariakoo huwa zinatengeneza hadithi za kumtoa mtu kwenye Reli.

Nawasilisha hoja.
kama wewe hukujua kwanini saidoo aliachwa,basi ninupuuzi wako,saidoo aliachwa na yanga kwasababu alitaka kuongezewa mkataba miaka 2 lakini yanga walikataa,na wakampa wa mwaka mmoja ndipo aliposema basi hayaweza,akamalizana na yanga kwa keshima na adabu,acha ujinga kuandika vitu usivyojua
 
kama wewe hukujua kwanini saidoo aliachwa,basi ninupuuzi wako,saidoo aliachwa na yanga kwasababu alitaka kuongezewa mkataba miaka 2 lakini yanga walikataa,na wakampa wa mwaka mmoja ndipo aliposema basi hayaweza,akamalizana na yanga kwa keshima na adabu,acha ujinga kuandika vitu usivyojua
YANGA WALIWEKA WAZI ??
SI WALISEMA KUWA UTOVU WA NIDHAMU NA ABUNDO WEWE UNALETA STORY ZA KWENYE KAHAWA
 
Wachezaji wa kaizer chief waliosimamishwa tunaambiwa ni Walevi bongo mnafichaficha mambo nadhani pana kitu hakipo sawa...
 
Simba tumieni weledi ku handle tension za club..

Ni kama kuna ombwe ktk Media..

Ni kama ktk social media kuna nguvu ndogo ku counter YANGA pressure..
 
Utovu wa nidhamu ni nini?

Lazima ujue kwanza maneno hayo yanamaana pana sana. So usikimbilie ku judge.

Cha msingi ni hao wanaosema kuwa ana utovu wa nidhamu wabainishe ni kipi alichofanya kila mtu afahamu.

Simba ni taasisi, kwanini wanaficha taarifa muhimu? Kulikuwa na haja gani yakurelease hiyo statement kisha kuficha huo utovu wenyewe?
Na. Ndio wanakaa nae huko kambini
 
Chama amefanya mengi Simba,hata hatua tuliyofikia kwenye Champions league ana mchango mkubwa,ila kwa sasa hana cha ku-offer tena Simba, namba haziongopi. Aidha kiwango kimeshuka au hajisikii amani tena kuwepo Simba na si dhambi kwake. Itoshe tu kumwambia Thank you Chama.
 
Back
Top Bottom