Na kuwabariki katika jina la baba, mwana na roho mtakatifu😍😍😍😍 Mungu wa mbinguni awape maisha marefu tuendelee kuinjoi😅😅[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Na awaangazie Nuru ya Uso wake na kuwafadhili...
Wanakuwaga Unique sana...
Sio wanawake wote hatuna shukraniConclusion unampiga chini, wanawake nyie!!!
Na wote tuseme Amina kubwa..Na kuwabariki katika jina la baba, mwana na roho mtakatifu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Mungu wa mbinguni awape maisha marefu tuendelee kuinjoi[emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28]Mlugaluga flani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pisi Kali mnaitwa ukifika wakati wa mabibi mniiteMbona sioni picha za pisi kali?[emoji28]
Haha sawa bwanaHata mimi nilishakuona...Tulionana basi[emoji23]
Phaller wewe[emoji28][emoji28][emoji28]Na wote tuseme Amina kubwa..
Hahaha niliwahi kuwa na kibajaji enzi hizo ndio vianza kuwa habari ya mjiniKwa nini ulijiita kibajaji?
Aseee[emoji848][emoji848][emoji848]
Mmmmh huyu jamaa mi namjua kindaki na hayupo jf[emoji848]View attachment 2174897
Challenge accepted
Ahaaaaaaahaaaaaahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]Bujibuji Simba Nyanaume inaelekea wewe si mtu wa mazoezi hata kidogo...uko rafu sana kimuonekano. Je, wewe ni Msukuma, Mnyantuzu, Mnyamwezi, Mjaluo, Mnyakyusa, Mmang'ati, Mmasai, Muha, Mkurya?
Unaonekana una stress[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Naogopa wasiojulikana
View attachment 2175139
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata mimi aseee[emoji848][emoji848][emoji848]Nilikuwa najuaga wewe ni katoto
Kwahiyo picha we ni wa tisini kamili.[emoji848]
Nyuzi zake nkHata mimi aseee[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaonekana una stress[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamani mbavu zanguuTunakujua chaliangu tokea enzi zile uko arosto unaishi ghetto daily ni ganja na viroba tu. Saivi umetusua unajisahaulisha sio?
Ahaaaaaaahaaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]