Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wewe kiumbe umeingia ghafla jf na mashamsham tokea wapi?Wauwaweeeeeeeeeeeeeh
Hebu njoo uripoti kwangu kwanza upate usajilibwa kudumu[emoji38][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kiumbe umeingia ghafla jf na mashamsham tokea wapi?Wauwaweeeeeeeeeeeeeh
Tuseme hivyo,ana kamwili kama ka polepole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo ntakufa mie wallah.
Nyaturu + Al-RawahyMbna km shombe shombe uwiiiiiiih.
Kwa kitambi hicho tayari pm kumefurika dada zenu wanaomba mtoko nikawafuturisheHebu fanya mazoezi kitambi sio dili.
Ukijiachia utaonakana kama unapiga bendi ya shule enzi zile ukibeba goma kubwa
Duuuh [emoji23]Watu weuweeeeeeeeeeh.
Igweee igweeeer [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli yaaan.Tuseme hivyo,ana kamwili kama ka polepole
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hans alisema hujibu ujumbe wake kulikoni?
Naomba umcheki fasta plz acha kiburi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mashamsham hapa mie chawa tuWewe kiumbe umeingia ghafla jf na mashamsham tokea wapi?
Hebu njoo uripoti kwangu kwanza upate usajilibwa kudumu[emoji38][emoji16]
kidogo umenisaidia...na huo ndio ukweli ila kama kupevuka nimepevuka muda tu...!Labda waseme tu mwili wako hauzeeki kama wa komledi polepole[emoji41]
Huna hoja ya msingi wala kisingizio cha kuacha kum-pm. Ng'ombe hazeeki maini. Ingia tu pm, usijiumize moyo. Fanya kile roho inataka.yaani ugekua enzi zile niko kigori,PM yako leo ingejaaa na meseji zangu[emoji1787][emoji3526][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Anne amezidi yule...Hapana aisee...Umeanzaa lini upambe wa Anne? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anavyowajaza watu huko selfika sasa? Afu umetususa mno kule chimbooo, na nimekumiss na Jael.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie leo ntakufa kwa kucheka khaaah.Kwa kitambi hicho tayari pm kumefurika dada zenu wanaomba mtoko nikawafuturishe
Watazipata, japo na mie nimehama kwa muda kulee.Anne amezidi yule...Hapana aisee...
Huko nitakuja tu Dogo...wape salamu zangu..
Babuuuuh huyooooooh. [emoji7][emoji7]
Sio wa kule nawee.[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji16]waje aisee
Maliza kwanza shule dogo. Utayakuta tu haya.Ila NI bonge la handsome af nina vihela hela japo sio Sana nataka wife material anayejua kupika kuku nijenge mwili uko tayari twende kwa wazaziView attachment 2175218
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app