Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Hans alisema hujibu ujumbe wake kulikoni?
Naomba umcheki fasta plz acha kiburi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mwambie yeye hadi nipate majanga...si unajua tena...
Sasa mambo yapo shwari..
Anyway!!! Natania...Nitamchek Rafiki.
 
Wewe kiumbe umeingia ghafla jf na mashamsham tokea wapi?

Hebu njoo uripoti kwangu kwanza upate usajilibwa kudumu[emoji38][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mashamsham hapa mie chawa tu
 
yaani ugekua enzi zile niko kigori,PM yako leo ingejaaa na meseji zangu[emoji1787][emoji3526][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Huna hoja ya msingi wala kisingizio cha kuacha kum-pm. Ng'ombe hazeeki maini. Ingia tu pm, usijiumize moyo. Fanya kile roho inataka.
 
Umeanzaa lini upambe wa Anne? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anavyowajaza watu huko selfika sasa? Afu umetususa mno kule chimbooo, na nimekumiss na Jael.
Anne amezidi yule...Hapana aisee...
Huko nitakuja tu Dogo...wape salamu zangu..
 
JPEG_20220407_140653_900719328916908102.jpg
 
Back
Top Bottom