Kwenye suala la pesa unapaswa kuwa makini usimuendekeze sana atakurudisha nyuma siku zote. Usimpe pesa ambayo ni ya biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaanisha pesa ambayo unatakiwa kununua mzigo usimpe. Pia angalia usimpe faida yote ukabaki huna kitu ukashindwa kuendeleza maisha yako.Nisipompa ya biashara nitampa ipi?? Inabidi nitoe hapo hapo nimpe
My x bf nilimshosha sana huku anisomeshe huku anihudumie tho tuliachana kwasababu zingine
Nimemaanisha pesa ambayo unatakiwa kununua mzigo usimpe. Pia angalia usimpe faida yote ukabaki huna kitu ukashindwa kuendeleza maisha yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uache kukaa nae karibu. Mtumie pesa huko aliko then piga kimya endelea na mishe zako. Najua inauma ila huna budi kumchenjia kidogoShida nikiwa nae karibu maana kwa maneno yake inabidi nimpe mtu nikiwa mbali nae ndio naweza kumkabili maana hatuonani
Tafuta mtu mzima rafiki yake anaye msikiliza mshirikishe akaongee naye ninavyoona huenda mahusiano yenu yakawa mabaya sana yakapelekea stress na msongo wa kimawazo huko mbeleni.
Pole sana.
Ndo uache kukaa nae karibu. Mtumie pesa huko aliko then piga kimya endelea na mishe zako. Najua inauma ila huna budi kumchenjia kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Laana zingekua za kweli na zinamfikia mtu basi leo hii mimi ningekua naokota makopo njiani,nazurura nadondosha mate naongea mwenyewe njia nzima.
Mama yangu alishanitamkia maneno magumu na mfano wa 1 ambalo nalikumbuka mpaka na kesho aliniambiaga "wewe najuta hata kukuzaa ,natamani ile siku nakuzaa ningebana miguuu ufe kabisa"
asee mimi hamna laana sijatamkiwa na mama,ila nikwambie kitu mamilooo "kaza buti songa mbele" huyo si mama ako sasa huyo ni shetani anaemtumia mama.
Nakwambia hivyo kwa sababu yule mama angu aliyenilaani mimi,na mimi nilimwambiaga MUNGU kuanzia leo MUNGU nakwambia kwa mdomo wangu kuwa SINA MAMA nitajihesabu nina baba tu.
basi nili m cancel mama nikawa staki story zake wala kumsikia,Nilipambana nikasema siku 1 ataniona kwenye tv ama kunisikia kwenye radio ama kunisoma kwenye gazeti,kisha nika kaza zangu Mama yangu akawa MUNGU nikitaka kitu namwambia MUNGU nikitaka kudeka namdekea MUNGU yes ndio alikua mama yangu.
Baada ya miaka mi 5 siku 1 nipo ofisini natoka nafata gari nisepe zangu nilimuona mama yangu akinifata kwa Magoti akitokea getini akiingia huku analia unajua nilihisi ni movie ya kihindi au macho hayaoni,nilifikicha macho kuangalia vizuri yes ni Mama controla.
anakuja kwa magoti analia kwa uchungu "nisamehe mwanangu" hakua anatamka neno jingine zaidi ya "nisamehe mwanangu" asee unajua ile kum miss mama muda hujamuona then mnakuja onana mama anakulilia umsamehe.
Mimi ni nani nisimsamehe mama asee ile siku tulijaza Raia pale nnje maanaa nililia kama mtoto mama alilia kama mtoto,ni mzee mmoja alikua kutubeba na kutupeleka ndani na kuanza kazi ya kutunyamazisha.
Mama yakaisha na hadi leo nilipofika asee zile laana zilikua kama KICK ya kunipitisha,pamoja na changamoto zote ila nakwambia Sina siku nililala njaa,sina siku nilikosa nguo,sina siku nilikosa sadaka kanisani,Mungu alikua MAMA kwangu.
Huyo mama yako si yeye nakwambia tena si yeye mtambue shetani na hila zake kisha mwambie hakuwezi nakuhakikishia usiponasuka kwenye huo mtego wa MAMA umepotea. Kunja sura kaza mwendo songa mbele mwambie live mama "siwezi" mwambie "sina" mwambie "nipo vibaya" Akikulaani tu, KATA Mawasiliano nae.
Mama yupo tu hafi leo wala kesho so usimuendekeze hata kidogo,kaza buti asikuyumbishe hata kidogo atabaki kuwa mama na milele utamuheshimu ila ktk swala la yeye kukurudisha nyuma "USIKUBALI" kataa kwa maneno na vitendo.
Kama Laana zingekua za kweli na zinamfikia mtu basi leo hii mimi ningekua naokota makopo njiani,nazurura nadondosha mate naongea mwenyewe njia nzima.
Mama yangu alishanitamkia maneno magumu na mfano wa 1 ambalo nalikumbuka mpaka na kesho aliniambiaga "wewe najuta hata kukuzaa ,natamani ile siku nakuzaa ningebana miguuu ufe kabisa"
asee mimi hamna laana sijatamkiwa na mama,ila nikwambie kitu mamilooo "kaza buti songa mbele" huyo si mama ako sasa huyo ni shetani anaemtumia mama.
Nakwambia hivyo kwa sababu yule mama angu aliyenilaani mimi,na mimi nilimwambiaga MUNGU kuanzia leo MUNGU nakwambia kwa mdomo wangu kuwa SINA MAMA nitajihesabu nina baba tu.
basi nili m cancel mama nikawa staki story zake wala kumsikia,Nilipambana nikasema siku 1 ataniona kwenye tv ama kunisikia kwenye radio ama kunisoma kwenye gazeti,kisha nika kaza zangu Mama yangu akawa MUNGU nikitaka kitu namwambia MUNGU nikitaka kudeka namdekea MUNGU yes ndio alikua mama yangu.
Baada ya miaka mi 5 siku 1 nipo ofisini natoka nafata gari nisepe zangu nilimuona mama yangu akinifata kwa Magoti akitokea getini akiingia huku analia unajua nilihisi ni movie ya kihindi au macho hayaoni,nilifikicha macho kuangalia vizuri yes ni Mama controla.
anakuja kwa magoti analia kwa uchungu "nisamehe mwanangu" hakua anatamka neno jingine zaidi ya "nisamehe mwanangu" asee unajua ile kum miss mama muda hujamuona then mnakuja onana mama anakulilia umsamehe.
Mimi ni nani nisimsamehe mama asee ile siku tulijaza Raia pale nnje maanaa nililia kama mtoto mama alilia kama mtoto,ni mzee mmoja alikua kutubeba na kutupeleka ndani na kuanza kazi ya kutunyamazisha.
Mama yakaisha na hadi leo nilipofika asee zile laana zilikua kama KICK ya kunipitisha,pamoja na changamoto zote ila nakwambia Sina siku nililala njaa,sina siku nilikosa nguo,sina siku nilikosa sadaka kanisani,Mungu alikua MAMA kwangu.
Huyo mama yako si yeye nakwambia tena si yeye mtambue shetani na hila zake kisha mwambie hakuwezi nakuhakikishia usiponasuka kwenye huo mtego wa MAMA umepotea. Kunja sura kaza mwendo songa mbele mwambie live mama "siwezi" mwambie "sina" mwambie "nipo vibaya" Akikulaani tu, KATA Mawasiliano nae.
Mama yupo tu hafi leo wala kesho so usimuendekeze hata kidogo,kaza buti asikuyumbishe hata kidogo atabaki kuwa mama na milele utamuheshimu ila ktk swala la yeye kukurudisha nyuma "USIKUBALI" kataa kwa maneno na vitendo.
Uliwahi kumwambia mama unavyofikiri au kuhisi anavyokufanyia?Habari za weekend wakuu
Changamoto yangu haswa kubwa ni hii
Mimi ni binti wa kwanza kwa mama yangu tumezaliwa wawili, tumelelewa single parent Ila kwenye extended family.
Tatizo linakuja mma yangu mzazi kabisa kanilea kanisomesha hadi nimemaliza form 4, (primary kayumba secondary za momy am going).
Kuingia chuo hapo kati nikaanza vibiashara vidogo dogo pia nilikua na boyfriend (x bf) alikua akinisaidia sana kwenye mambo mengi haswa elimu, miaka yote mitatu ya chuo kuhusu kula, mavazi na malazi ilikua juu yangu sio mama wala familia yangu sikua tegemezi na hadi sasa.
Bado sijabahitika kupata kazi ila najimudu maana kuna vibiashara vinanikeep busy kidogo na kunisaidia vitu vya hapa na pale.
Hiyo ni habari yangu kwa ufupi, changamoto inakuja mama yangu hajawahi kunipa baraka yoyote ile hata kusema Mungu akusaidie mwanangu, cha zaidi yeye ni kuniomba hela tu na nikisema sina ni kosa nitasemwa hapo hadi kutolewa radhi!!! Muda mwingine namwambia mm bado sijapata ajira na sijakaa sawa kimtaji hiki kidogo wacha nikizungushe wee ni balaa nitasemwa hapo wiki nzima hadi nitampa.
Muda kidogo, alinambia kuna viwanja vinauzwa nitume hela anunue nikatuma, Leo hii nikiuliza naambiwa nenda Ili hali sijui hata ni wapi ila alisema ni bagamoyo, bado vicoba nishatuma hela sana na bado za miradi hewa hapo kati remind you muda huo bado niko chuo.
Nikitaka kufanya kitu nikimshirikisha ataomba hela nampa nikimdai naambiwa sitafanikiwa na nitadhulumiwa[emoji17]
Kuna siku nilimwambia kiutani tu kua nashukuru Mungu nimemaliza kadiploma salama sasa nitafute hela ya kwenda degree nilichojibiwa ni kua ungeendaje hiyo dip bila cheti cha form4 na ambayo nimekusomesha mm, jamani hata kunisapoti ya kinafki tu hapo chuo nimejisomesha mwenyewe sijui stationary kuumwa mitihani ada, kodi, nauli maana nimesoma mkoani
Nimefupisha mambo ni mengi sana, Mimi hadi sipendi kuishi nyumbani nakaaga mkoa mwingine kabisa kuepusha makelele ila bado nikiwa na huko nitaombwa hela ya marejesho na hazirudi!!!
Hapa juzi kati nilimtumia mzigo nikamwambia uza hela utakayoipata ni ya kwako huo mzigo faida yake ni laki5 Alhamdulillah aliuza, kuna kitambaa cha kushona nilimuomba mita moja na robo tu akanijibu sitaki we si mchoyo (kisa aliniomba hela ya marejesho nikamwambia sina watu bado hawajanilipa ngoja sikukuu ipite) nikamwambia mm mchoyo kisa nimekuambia sina? Sinimekutumia vitu na nimekupa hela ubaki nayo, akanijibu sikukuomba[emoji17]
Hivi ni mm tu au kuna wezangu tunapitia changamoto hii tupeane ushauri maana nikimfikiria sipati jibu neno asante kwake sijawahi kulisikia wala Mungu akubariki Mwanangu sijawahi
Kuna siku nipo chuo kipindi cha final akaniomba laki6 nikamwambia sina ila nitakupa laki3, kesho naanza final nikitoka jioni nitakutumia, nilikua na mitihani miwili wa saa2 na saa6, nilipigiwa simu balaa na bahati mbaya sikuweka silence ikabidi niitwe kuzima simu nikaizima remind you hata kuambiwa mtihani mwema sikuambiwa!!! Nilivyotoka nawasha simu tu nakutana na msg zake za lawama nimemzimia simu sitaki kumpa hiyo hela ningemwambia mapema wakati nilimwambia nitakutumia jioni maana aliniomba usiku na kwa wakala ni mbali nikasema nikimaliza paper najua itakua kwenye mida ya saa10 nitamtumia tu, ikawa kesi
Hivi Leo tu kuna kesi, kwangu kupewa radhi imekua kitu cha kawaida maana nishaambiwa maneno mengi mabaya,
Nimetype kwa uchungu sana ee Mungu anione jamani kwann napitia mitihani hii
Samahanini kwa mwandiko mbovu na essay ndefu (hapo sijaweka vitu vingi sana)
Maoni yako ni muhimu, nifanyaje au ww uliyepitia kama yangu haya ulifanyaje?
Kuna muda nilifikiria kuolewa ila sitaki kukurupuka
Uliwahi kumwambia mama unavyofikiri au kuhisi anavyokufanyia?
Mwambie haya uliyotuambia hapa. Usiache hata chembe, ndio dawa! Lakini ukikaa kimya unakuja lalamika huku haisaidii nayeye ataona sawa tuu.
Recall CONTROLLA yeye alimwambia wazi kuwa hamuhesabii kama mama yake!
Na wewe fanya hivyo vaa ujasiri mwambie. By the way kwanini uliachana na jamaa aliyekusaidia?
Anyways.
Kila mtu ashinde mechi zake bwana.
Nijibu swali la mechi.Sina ujasiri wa kumwambia hivyo maana ndio mzazi niliebaki nae pia nishamwambia kuhusu tabia zake lakini hanielewi zaidi ndio zinazidi
Mbali na changamoto zote hizo siwezi kumwambia wewe sio mama yangu yan ujasiri huo sina kwa kweli
Kuachana na jamaa ni personal issues siku nikiwa tayari nitapost
(Kila mahusiano yana raha na karaha zake pia ukiwa mzigo sana kwa mtu kuna kaumimi flani hivi Yan bila mm huwezi bila mm hivi na mambo mengine...) ila namshukuru sana sana sana na analijua hilo
Na siku ya graduation yangu alinitumia hela kiasi
Kila mtu akishinda mechi zake watakaoshindwa wanakaa wapi[emoji848]
Best COMMENT! Muombee tu mama yako, sio yeyeKama Laana zingekua za kweli na zinamfikia mtu basi leo hii mimi ningekua naokota makopo njiani,nazurura nadondosha mate naongea mwenyewe njia nzima.
Mama yangu alishanitamkia maneno magumu na mfano wa 1 ambalo nalikumbuka mpaka na kesho aliniambiaga "wewe najuta hata kukuzaa ,natamani ile siku nakuzaa ningebana miguuu ufe kabisa"
asee mimi hamna laana sijatamkiwa na mama,ila nikwambie kitu mamilooo "kaza buti songa mbele" huyo si mama ako sasa huyo ni shetani anaemtumia mama.
Nakwambia hivyo kwa sababu yule mama angu aliyenilaani mimi,na mimi nilimwambiaga MUNGU kuanzia leo MUNGU nakwambia kwa mdomo wangu kuwa SINA MAMA nitajihesabu nina baba tu.
basi nili m cancel mama nikawa staki story zake wala kumsikia,Nilipambana nikasema siku 1 ataniona kwenye tv ama kunisikia kwenye radio ama kunisoma kwenye gazeti,kisha nika kaza zangu Mama yangu akawa MUNGU nikitaka kitu namwambia MUNGU nikitaka kudeka namdekea MUNGU yes ndio alikua mama yangu.
Baada ya miaka mi 5 siku 1 nipo ofisini natoka nafata gari nisepe zangu nilimuona mama yangu akinifata kwa Magoti akitokea getini akiingia huku analia unajua nilihisi ni movie ya kihindi au macho hayaoni,nilifikicha macho kuangalia vizuri yes ni Mama controla.
anakuja kwa magoti analia kwa uchungu "nisamehe mwanangu" hakua anatamka neno jingine zaidi ya "nisamehe mwanangu" asee unajua ile kum miss mama muda hujamuona then mnakuja onana mama anakulilia umsamehe.
Mimi ni nani nisimsamehe mama asee ile siku tulijaza Raia pale nnje maanaa nililia kama mtoto mama alilia kama mtoto,ni mzee mmoja alikua kutubeba na kutupeleka ndani na kuanza kazi ya kutunyamazisha.
Mama yakaisha na hadi leo nilipofika asee zile laana zilikua kama KICK ya kunipitisha,pamoja na changamoto zote ila nakwambia Sina siku nililala njaa,sina siku nilikosa nguo,sina siku nilikosa sadaka kanisani,Mungu alikua MAMA kwangu.
Huyo mama yako si yeye nakwambia tena si yeye mtambue shetani na hila zake kisha mwambie hakuwezi nakuhakikishia usiponasuka kwenye huo mtego wa MAMA umepotea. Kunja sura kaza mwendo songa mbele mwambie live mama "siwezi" mwambie "sina" mwambie "nipo vibaya" Akikulaani tu, KATA Mawasiliano nae.
Mama yupo tu hafi leo wala kesho so usimuendekeze hata kidogo,kaza buti asikuyumbishe hata kidogo atabaki kuwa mama na milele utamuheshimu ila ktk swala la yeye kukurudisha nyuma "USIKUBALI" kataa kwa maneno na vitendo.
Usitoe zaidi ya mtaji... asikucontrol kwasababu sio yeye ni shetani anakurudisha nyuma. Be strict, mama atakuja tu into her senses hata baada ya miakaAmen [emoji1431] Asante dear
Ndoivyo unapambana mwisho wa siku hamna cha maana unachokifanya
Naamka saa12 hata kma kuna mvua naenda nafata vitu tofauti sehem tofauti, ukiniona ubungo utanionea huruma ila mwisho wa siku faida huioni muda mwingine hadi napata hasara nakosa mtaji inabidi nikope bidhaa kwa watu maana kuna Baadhi ya biashara nimezifanya muda kwahiyo najuana na wauzaji
Ukipanga hela hii niifanyie kitu hichi inaishia kumpa yeye na bado laana juu
Nijibu swali la mechi.
Kila mtu anatakiwa kushinda mechi zake, ukifeli omba re match mpaka ushinde.
Turudi kwenye mada!
Ujasiri unatoka kwa Mungu, omba ujasiri wa kumwambia mama unavyojisikia juu ya matendo yake kwako, sijasema umwambie yeye sio mama wako! Hapana, lakini mwambie ukweli kuwa unajisikia vibaya kutokana na maneno yake juu yako.
Mara nyingi tunajitesa na kuumia sababu hatuongei, tuna gugumia mambo mioyoni mwetu, ni hatari sana.
Ndoa nyingi zinaharibika sababu watu hawana ujasiri wa kuwaambia wenza wao juu ya hali wanazosikia zaidi wanajitesa na mwishowe ndoa zinaparaganyika.
Nakushauri! Omba ujasiri wa Mungu kisha ukipata ujasiri nenda kwa mama kwa upole kisha mwambie.
Communications is the key to healthly relationship. All the best.
Anyways.
Kila mtu ashinde mechi zake!
Usitoe zaidi ya mtaji... asikucontrol kwasababu sio yeye ni shetani anakurudisha nyuma. Be strict, mama atakuja tu into her senses hata baada ya miaka
Sent using Jamii Forums mobile app