Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.

Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.

Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.

Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.
 
Nilisha andika na nina andika mimi nauwezo wakuona mambo kabla hayajatokea. Nalia kwa ajili ya taifa langu naumia ninapo Ona Rais kama taasisi kunamambo yanaendelea sote akili zinaturuka kama ni yeye ama kundila watu fulan kwa masilah yao binafsi. Nahapa ndipo Rais wetu anapaswa kuwa makini nawatu wanao piga makofi. Ukiona unawaita watu wajinga wakapiga makofi juwa wamekuzidi akili.... Wanakupeleka kwenye giza. Hapo ndipo tumefikia je tukae kimya? Nani anamwambia Rais eti kuwapiga chin upinzan ndio maendeleo? Keep cool and pray.
 
Fear of unknown
Haya maisha ukiwa mwogaa sana unaweza kushindwa hata kupumua
Tuliambiwa tujiandae kuhama mjini cha ajabu watu ndio wanahamia.
Hii inathibitisha, MTU hataishi kwa mkate tu Bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Kristo
Hatutakufa tutaishi tuyashuhudie matendo makuu ya Kristo.
Twendeni nchi yetu sote
 
Sasa mwanafunzi kama anajisifu hivi mwalimu wake aliemfundisha hizo degree 4 afanyaje?.
I am proud to be a teacher kumbe mnatembelea nyota zetu aiseh
 
si mmlimpigia makofi aliposema anataka kuua upinzani? yakafuata maigizo ya kuunga mkono juhudi na chaguzi za marudio zinazokiuka sheria bado mkaendelea kushangilia, sasa amefika mbali kabisa ndio mnakumbuka umuhimu wa utawala bora na kuilinda katiba? wacha damu imwagike, pengine mabadiliko ya kweli yanahitaji sadaka ya damu!
 
Ni rahisi kudhibiti mambo ya chumbani kwako lakini siyo mambo ya Ikulu.
Elewa, Ikulu kuna watu walikuwepo, kuna ambao wapo na kuna watu wanapanga kuingia pale, wote wanaingia na kutoka na wataingia na kutoka, ila, ukweli Ikulu ni kama sehemu ya kupanga, hivyo basi Ikulu ina wenye nayo, si ya kwenu kama mdhaniavyo.
Ushauri, uwapo ikulu au karibu na Ikulu unachopaswa ni kufanya jambo sahihi.
 
Back
Top Bottom