Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Oya TumainiEl vp Ben saanane mzima?Lazima mambo yaharibike tu!tangu lini umeona ikulu inamwaga damu ya mlipa kodi?mlipo mng'oa kucha Ben na kumpiga risasi tu!maandishi yalijitokeza MENE MENE TEKELI NA PERESI,Hamkutafsiria mkuu maneno yale?Mliinajisi nyumba nyeupe kwa damu ya Ben!!!!!
 
Hahahahaha mpiga zumari anageuka! Anamgeuka boss? The end is near
Huyu jamaa alitumwa kwa BS8 na akatekeleza, sasa damu imemrudi inamtuma awe kama bodyguard wa Kabila Sr hata anaanza kutunga sentensi za kuhalalisha anacho panga kufanya.
We fanya tuu sie yetu macho, mapumziko ya siku tatu sie tutakuwa tunapambana na Boha na dengerua!
 
Huyu kijana anaikonoa serikali,wewe TumainiEl elewa serikali ako na mkono mrefu,acha kutumika na mabeberu ama la utachakaa
Ha haha! Mabeberu wanamtumia kijana mtiifu wa Lumumba!?
tapatalk_1558507668265.jpeg
 
Kuna mzee hapa jirani yangu kaniambia eti kadinali Rugambwa alimficha nyerere pale kanisani s.t peters katika jaribio la mapinduzi lililofeli kipindi kile!ETI kuna HANDAKI LA CHINI KWA CHINI TOKEA IKULU HADI ST.PETERS!ETI HATA JIWE HALI IKIWA TETE ATAJIFICHA KWENYE HANDAKI NA RUWAICHI ATAMFICHA HATA MABEBERU HAWATO MWONA ETI!!!kwa hiyo ndugu TumainEl usiogope jiwe atapeta tu mabeberu hawamwezi,mwache aue upinzani atasavaivu tu!!!!
 
Ukiona hivyo kashang'olewa huko maana Jiwe worshiper wote wanafikiri kwa kutumia utumbo badala ya ubongo maana siku za hivi karibuni huyu mikwara imeisha ameanza kuimba Wimbo mmoja na watu wenye akili
Mkuu umetolewa kwenye circle ya taasisi ndani ya taasisi mbona siku hizi unaweweseka sana? Bringback Ben.
 
Mkuu mpapa sasa hutaki kuamini kuwa mmeiletea laana hii Nchi kwa kuchagua watu wasio na uwezo?
Nilisha andika na nina andika mimi nauwezo wakuona mambo kabla hayajatokea. Nalia kwa ajili ya taifa langu naumia ninapo Ona Rais kama taasisi kunamambo yanaendelea sote akili zinaturuka kama ni yeye ama kundila watu fulan kwa masilah yao binafsi. Nahapa ndipo Rais wetu anapaswa kuwa makini nawatu wanao piga makofi. Ukiona unawaita watu wajinga wakapiga makofi juwa wamekuzidi akili.... Wanakupeleka kwenye giza. Hapo ndipo tumefikia je tukae kimya? Nani anamwambia Rais eti kuwapiga chin upinzan ndio maendeleo? Keep cool and pray.
 
MZEE KIKWETE ALINITUMA KWA NYERERE SEHEM YA 7!NAISUBIRIA kwa hamu sana MKUU GARETH BALE UKO WAPI?UKANA SHILUNGO MWAMBIE GARETHBALE AWEKE UZI!!!Kachero mbobezi anakuja ikulu kwa kasi 4G!!!!!
 
Huyu jamaa mleta mada ni Muongo sana

Unakumbuka hapa juzi kipindi taharuki ilipotokea wakati wa fununu za kuumwa kwa mzee?

Jamaa alikuwa haelewi hata kinachoendelea alafu akawa anatupiga kamba humu ndan

Huyu jamaa nahisi kuna shemeji yake anafanya kazi usalama hivyo huwa anasikiliza maongezi akiwa anaongea na dada yake yeye akiwa kashikilia remote kwenye sofa sebulen
Unakosea sana kuongelea mambo ya kiusalama kirahisi ivyo umu ndani

Inaonekana kisu kipo mfupani au ulilala bar unaota bado.
 
Au kaambiwa arudishe hela za imprest kwenye control number ya kampeni na kwamba zitapangiwa matumizi mengine
 
Huyu jamaa mleta mada ni Muongo sana

Unakumbuka hapa juzi kipindi taharuki ilipotokea wakati wa fununu za kuumwa kwa mzee?

Jamaa alikuwa haelewi hata kinachoendelea alafu akawa anatupiga kamba humu ndan

Huyu jamaa nahisi kuna shemeji yake anafanya kazi usalama hivyo huwa anasikiliza maongezi akiwa anaongea na dada yake yeye akiwa kashikilia remote kwenye sofa sebulen

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaga moto twendeeee safari ipo karibu naiona Manyoniii hiyoooo
 
Jpm ukimcheki kwenye sura anaonekana yeye mwenyewe anaogopa uelekeo wa anapotupeleka
 
Ukiona siafu wanatoka shimoni ujue tayari mafuta yamefika chini.
Tumaini hizi post zako za miezi miwili hii sio za kawaida yako,kunani huko?
Anyway,haihitaji digrii kujua lipi linalotaka kutokea nchini kwa situation tuliyofikia,it's obvious!Mungu atuongoze,no matter njia ya kutokea ni ngumu namna gani,tutafika tu,acha mvua zije,na milima itikisike!Shofar imepulizwa mbinguni kwa ajili ya Tanzania!😔
 
Nikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.

Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.

Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.

Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.
Kwani mmeshindwa kuwafanyia mlomfanyia Ben,azory,......,......,..., au Lissu???.
 
Back
Top Bottom