SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama lodilofa anavyoteswa na damu ya Wapemba.Damu ya Ben Saanane imeanza kukutesa mapema hivi?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lodilofa anavyoteswa na damu ya Wapemba.Damu ya Ben Saanane imeanza kukutesa mapema hivi?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
It has ti be that way..hakuna namna kama unafanya madudu huku ukiwatesa wengine.Jiwe amekuwa blackmailed?
Kama anafanya maamuzi bila kufuata sheria ajue tu watu wanatunza dossier zake moja baada ya nyingine ili muda ukifika wamkaange kwa mafuta yake mwenyewe.
Taasisi imsaidie asiwe compromised na kutafuta kujinusuru yeye at the expense ya Taifa zima
Giza LA nin lanyemeleaNikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.
Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.
Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.
Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.
AgreedNilisha andika na nina andika mimi nauwezo wakuona mambo kabla hayajatokea. Nalia kwa ajili ya taifa langu naumia ninapo Ona Rais kama taasisi kunamambo yanaendelea sote akili zinaturuka kama ni yeye ama kundila watu fulan kwa masilah yao binafsi. Nahapa ndipo Rais wetu anapaswa kuwa makini nawatu wanao piga makofi. Ukiona unawaita watu wajinga wakapiga makofi juwa wamekuzidi akili.... Wanakupeleka kwenye giza. Hapo ndipo tumefikia je tukae kimya? Nani anamwambia Rais eti kuwapiga chin upinzan ndio maendeleo? Keep cool and pray.
Sijamsikia huyu jamaa kitambo. Yuko poa kweli? Natumaini yupo salama,tunaishi zama za hovyo kabisa.Sijui kwa nini nimemkumbuka BAK
Aisee mkuu na wengine humu,hii kumbe ni issue na ni mbaya kiasi hiki? BAK, please, kama uko salama, confirm.Kuna mtu humu namkumbuka kwa ID ya Jm06 Kama sikosei, aliwahi Kunitishia maisha ,kisha akatamba na kusema," yuko wapi BAK,?
tumeshampata, Bado wewe".
Kwa point hiyo sidhani Kama atakuwa hai.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Tangu katumbuliwa ye na mchungaji kapi atuyasikii utekaji tenaNaona mkate wako wakuteka na kuua watanzania wenzako umeingia mchanga pole sana.
Kesho ni nzuri kuliko leo.
Tumepiga kazi mchana kutwa mpaka tunatamani giza (usiku) angalau kidogo tupumzike kesho itafahamikaWewe nae kwa mafumbo aargh!
Acha giza lije baada ya hapo itakuwa asubuhi full light
Usikejeli watu nduguSifa kubwa ya kuwa mwalimu Tanzania ni kufeli,sasa nani atembelee nyota ya vilaza? ungekuwa si kilaza ungependa kufanywa ngazi miaka nenda rudi?
BAK yupo wa afya
natumaini BAK ni mzima na buheri wa afya kwasababu Majuzi tu alilike comment yangu flani humu. Na siyo mara ya kwanza bak kupotea humu. Kuna wakati alishapotea humu zaidi ya mwaka na kuibuka.Kuna mtu humu namkumbuka kwa ID ya Jm06 Kama sikosei, aliwahi Kunitishia maisha ,kisha akatamba na kusema," yuko wapi BAK,?
tumeshampata, Bado wewe".
Kwa point hiyo sidhani Kama atakuwa hai.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Akuje humu japo kutuamkua tu.BAK yupo wa afya
Unafikiri hayo mabaya yakitokea yatachagua huyu anaunga mkono juhudi au huyu alionewa ni mpinzani?Sijui kwa nini nafurahi vitu vibaya viwakumbe hawa watu
Mbwa wewe huyo ni msukule mwenzenu alihusika na kupotea kwa Ben saananeTangu upate kazi ya kudeki hapo ufipa umekuwa na post za hovyo sana
State agent
Acha litokee la kutokea Tutaelewana labdaNikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.
Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.
Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.
Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.