Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Jiwe amekuwa blackmailed?

Kama anafanya maamuzi bila kufuata sheria ajue tu watu wanatunza dossier zake moja baada ya nyingine ili muda ukifika wamkaange kwa mafuta yake mwenyewe.

Taasisi imsaidie asiwe compromised na kutafuta kujinusuru yeye at the expense ya Taifa zima
It has ti be that way..hakuna namna kama unafanya madudu huku ukiwatesa wengine.

Popote duniani hii kitu ipo,hata uwe dikteta vp kuna walio wema watakutii lakin hawawezi zisariti nafsi zao zenye kuona haki inatendeka.

Daima uwe mtenda haki hata pale unapoteleza kwa bahati mbaya ukiri huo udhaifu na kurekebisha kama inabidi.
 
Nikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.

Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.

Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.

Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.
Giza LA nin lanyemelea
 
Nilisha andika na nina andika mimi nauwezo wakuona mambo kabla hayajatokea. Nalia kwa ajili ya taifa langu naumia ninapo Ona Rais kama taasisi kunamambo yanaendelea sote akili zinaturuka kama ni yeye ama kundila watu fulan kwa masilah yao binafsi. Nahapa ndipo Rais wetu anapaswa kuwa makini nawatu wanao piga makofi. Ukiona unawaita watu wajinga wakapiga makofi juwa wamekuzidi akili.... Wanakupeleka kwenye giza. Hapo ndipo tumefikia je tukae kimya? Nani anamwambia Rais eti kuwapiga chin upinzan ndio maendeleo? Keep cool and pray.
Agreed
 
Kuna mtu humu namkumbuka kwa ID ya Jm06 Kama sikosei, aliwahi Kunitishia maisha ,kisha akatamba na kusema," yuko wapi BAK,?
tumeshampata, Bado wewe".
Kwa point hiyo sidhani Kama atakuwa hai.

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Aisee mkuu na wengine humu,hii kumbe ni issue na ni mbaya kiasi hiki? BAK, please, kama uko salama, confirm.
 
Wewe nae kwa mafumbo aargh!

Acha giza lije baada ya hapo itakuwa asubuhi full light
Tumepiga kazi mchana kutwa mpaka tunatamani giza (usiku) angalau kidogo tupumzike kesho itafahamika
 
Kuna mtu humu namkumbuka kwa ID ya Jm06 Kama sikosei, aliwahi Kunitishia maisha ,kisha akatamba na kusema," yuko wapi BAK,?
tumeshampata, Bado wewe".
Kwa point hiyo sidhani Kama atakuwa hai.

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
natumaini BAK ni mzima na buheri wa afya kwasababu Majuzi tu alilike comment yangu flani humu. Na siyo mara ya kwanza bak kupotea humu. Kuna wakati alishapotea humu zaidi ya mwaka na kuibuka.
 
Sijui kwa nini nafurahi vitu vibaya viwakumbe hawa watu
Unafikiri hayo mabaya yakitokea yatachagua huyu anaunga mkono juhudi au huyu alionewa ni mpinzani?
Uchaguzi wa serikali za mitaa, kuzuwia mikutano ni kitanzi cha kuining'iniza Tanzania kama taifa.

Wabaya wa taifa letu walikuwa wanasubiri wahusika wajivalishe hiki kitanzi, bahati mbaya busara haikuchukua mkondo kwa wenye dhamana, tunakaribia mteremko mkali na gari linataka kukata breki.
 
kama nimemuelewa mleta mada.
Ni kwamba analalamika serikali inavyofanya kuua upinzani kuwa si jambo zuri.
Maana Lina hatarisha amani ya nchi.
MWISHO utawala utakuwa wa kidikteta kitu ambacho kinatoka nje ya katiba yetu inayoruhusu vyama vingi na demokrasia japo sio demokrasia HURU.lakini ilikuwa INA AFADHARI.
 
Kuna baadhi ya thread huwa ni kwa ajili ya burudani tu, alimradi tusome na kusukuma wakati.
 
Nikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno.

Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha isiofaa. Kuna wingu zito sana ktk siasa za taifa letu na sote tusifunge macho tukalala.

Kuna kitu sio cha kawaida kinataka kutokea wala sio siri japo walio kazini ni top top secret.

Giza giza giza nene linanyemelea Taifa na hata pamoja na ukali na misimamo mikali ya Serikali. Hili giza ni nene. Naweza sema tumezidiwa ujanja. Watu wabaya nawenye nia mbaya wamepenyeza mambo yao pale Ikulu. Nasi sote tunaona mwisho kabla ya mwanzo.
Acha litokee la kutokea Tutaelewana labda
 
Back
Top Bottom