Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

Msiba wa kujitakia wahenga walinena hauna kilio. Tulishahimizwa tuchape kazi na kazi tunachapa mtatakia nini tena tuache tuchape kazi
 

Mkuu

Jamaa alivyo mweupe hili halijui!

Anadhani akitoka ndio ashakua invincible!

Tusubiri aone
 
Mliyataka wenyewe so tulizeni ball & mumsubirie Kristo arudi maana hakuna namna..
 
Nini tena hapa? Ni kuhusu uchaguzi au kuna Coupe?
 
TumainEl mimi nimeanza kikuelewa, lakini namshukuru pia Mungu amekufungua macho, hujachelewa kwani hata Sauli a.k.a Petero aluanza kama wewe, Mungu huanhalia nia. Kuna jambo baya sana laja, hata usipoambiwa kama umejaaliwa kuona kwa jicho LA tatu utaju
 
Sasa mwanafunzi kama anajisifu hivi mwalimu wake aliemfundisha hizo degree 4 afanyaje?.
I am proud to be a teacher kumbe mnatembelea nyota zetu aiseh
Sifa kubwa ya kuwa mwalimu Tanzania ni kufeli,sasa nani atembelee nyota ya vilaza? ungekuwa si kilaza ungependa kufanywa ngazi miaka nenda rudi?
 
Nini tena hapa? Ni kuhusu uchaguzi au kuna Coupe?

Labda Ni Kati ya haya
Demokrasia kufutwa rasmi Tz kupitia bunge yaani mabadiliko ya sheria...
Mapinduzi ya kisanii ili kuleta machafuko Tz...

Kuhairisha uchaguzi mkuu Hadi 2023, Ni baada ya upinzani kudai haki zao na kupotezwa rasmi kwa vyama vingi...
 
Itakuwa mbaya sana
 
True Mola ndoa atoae riziki tuliambiwa hadi juni 2017 hakuna atakaebakia mjini,mwaka Wa tatu tungali tunadunda mjini hata sasa,mjini kutamu hata wao wameshindwa kuhama japo wanaahidi lkn miaka inapita
 
Hahahahaha mpiga zumari anageuka! Anamgeuka boss? The end is near
Utumbuzi ulimpitia team kapilimba hatusikii utekaji tena siku hizi naona dili limekwisha Tumaniel ndie aliyemtishia Ben na Lisuu na wakosoaji wote jf nyuzi zipo,siku hizi apraise tena maslai yamekatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…