Zebushishi
Member
- Jul 21, 2022
- 54
- 123
Zingine sio kazi maalumu za kazi binafsi madereva wengi wanatembea na plate number mda wakzi ukisha wanapiga miseleNakubaliana nawe, Dsm unapishana na gari new Model ila Kisahani namba A...[emoji848][emoji848][emoji848]
Nimekuwa nikijiuliza sana jambo hili, kumbe Kazi maalum...
Kwa soko la bongo ni kwel inashusha mana bongo wengi hawaangalii ubora wa gari hasa engine wengi wenye gari private wanacheza na namba tu
Watu wa magari ya biashara ndo hawajali kuhusu namba... ila namba E ikianza, hakuna atakayenunua IST ya namba C kwa zaidi ya 6million hapo bado namba D za mwanzon nazo
E mwezi ujao View attachment 2311301
Woyoooo, wiki ijayo DZZE mwezi ujao View attachment 2311301
Sasa kama unajua yote hayo na unaijua thamani ya hela kwanini usiende showroom au ukaagiza mwenyewe Japan..gari yenye usajili wa A, B, C hata usajili wa bima comprehensive depreciation rate yake ni 80%Kuangalia usajili wa plate namba za gari kisha kukadiria bei(thamani) ya gari sio sahihi na nikukosa uweledi wa kujua thamani halisi ya chombo. Sababu kuna watu wana gari zilizosajiliwa kwa B... zpo vizuri zaidi kuliko DVW.
Kipimo sahihi kujua thamani ya gari husika kwa ajili ya resale. Inatakiwa iwe;
1. Uchakavu wa gari husika (body, engine na interior)
2. Mwaka wa uzalishaji gari
3. Kama imeshawahi pata ajali (kama imepata ajili bei lazima iwe chini)
4. Umbali uliotembea (hapa unakuta crown imetembea 150,000KM na bado watu wanauziwa kwa bei sawa na iliyotembe umbali wa 50,000KM)[emoji31]
5. Record za service
UKIJUA THAMANI YA HELA YAKO HUTAKUBALI KUUZIWA GARI JUST BASED ON REGISTRATION PLATES.
Basi mwambie asubiri ifike KUMI na O huwa system ina Skip kwenye sajili za Plate Numbers.
Hivyo hakuna hizo herufi kwenye series
Ohooooooooooooo...! Nini hiki...Basi mwambie asubiri ifike KUM
HahahahaMabinti wanakaribia kuvunja ungo, dada zao soon tutakuwa mitumba
Namba E, ndio mpango mzima nakubali uzee
Crown nazo zimekuwa nyingiKuna jamaa kauza Crown Athlete namba DPZ ya mwaka 2006 iliyomgharimu Milioni 18 mwaka 2019 Leo hii 2022 kauza kwa Milioni 6.8
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
E mwezi ujao View attachment 2311301
Pale kichwa kinapotumika kwa ajili ya kufugia nywele.Haya Haya View attachment 2313777
[emoji2][emoji2][emoji2]Pale kichwa kinapotumika kwa ajili ya kufugia nywele.
Bado X, YWoyoooo, wiki ijayo DZZ
ni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.Nakubaliana nawe, Dsm unapishana na gari new Model ila Kisahani namba A...[emoji848][emoji848][emoji848]
Nimekuwa nikijiuliza sana jambo hili, kumbe Kazi maalum...
Acha uongoni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.
E inaingia mtaani kufikia tar 26 mwezi huu August!