Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa


IMG_0707.jpg


DYC
 
Namba EAA had EAC mahis zitaenda fasta mana sa hv watu wanazisikilizia sana namba mpya tofauti na 2014 ilipoanza namba B
Mkuu 2014 ilikua namba B??? Kumbukumbu zako hazipo sawa jaribu kukumbuka vizuri.
 
Nunua gari mkuu, usajili wa bongo haumaniishi gari ni mpya.

Mfano gari iliyotengenezwa 2003 ikiingia leo inapewa DY same na iliuyotengenezwa 2020 ikiingia leo inapewa DY [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Cha msingi tutafute hela na kutunza magari yetu.
 
Kusubiri kunaitaji moyo sana hasa mzigo ukiwa mfuko wa shati....!
 
True...
Ukikuktana na mdau anauza allex au Runex nistue nianzie
 
Zimekaa mda mrefu sababu ni waliondoa plan ya pikipiki kuchanganyika na magari! Ndio maana zile B na C hazikudumu muda mrefu. Kwa kumbukumbu C zilianza 2010 bila shaka mpaka kufikia 2014 zikakata zikaanza D!

A zilimezwa na conversion ya magari kutoka TZS 99999 format kwenda T111AAA!

B zilimezwa na usajili wa pikipiki humo humo nazo hazikudumu sana!

C ndio zilikaa almost 4 years zikaisha sababu ya hela ya Jakaya ilikuwepo bado kwenye account na mizunguko ya Watu!

D zilipoanza na mzee Jiwe akawa ameingia mitamboni kuanza kutingisha hali zetu😅 na ndio nahisi atakuwa amekufa nazo mwaka huu maana January lazma tuanze na E!
Hivi hizi gari namba A zilianza kutumiwa rasmi mwaka gani???
 
Back
Top Bottom