Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Hivi vyuo ni vya watoto wadogo... Wanaotegemea kulishwa na baba zao,Acheni kukwepa kwenda main compus huko kwenye vyuo kama Tumaini,UDSM,UDOM n.k,mnakimbilia open University,matokeo yake mnakua ving'ang'anizi kwenye ofisi mbalimbali bila ya kua na ufanisi katika utendaji kazi.Kasomeni,achieni vitengo.
Kwenye masomo mkuuCalculations za nini?
Hivi kuna wanaosoma udaktari Open University,mkuu?Kwani kuwa campus ndio kuelewa dunia imesha hama huko vyuo vingi duniani wanatumia online system hata kama ni vya campus.
Kazi nyingine watu wanafanyia nyumbani kupitia online systems. Wewe ni mvivu wa kusoma na hujiamini ndio maana unataka spoon feeding.
Jidanganye tu.Unaonekana bado utoto una kusumbua. Ubora wa mwanafunzi ni jitihada zake mwenyewe sio chuo.
Nadhani ni suala la mtu kukosa muda tu,ila competence ya huyo wa Open University ni tofauti na yule aliyehudhuria full,chuoniHivi vyuo ni vya watoto wadogo... Wanaotegemea kulishwa na baba zao,
Mimi nime apply mkuu, nasubilia selection tu..nipeni utaratibu wa kujiunga na mfumo wa mapindi maana mchana ofisi inanibana sana
Nataka nipige degree
Unasema UDSM hii inayotoa wahitimu sampuli ya Mwijaku?udsm
Kama wanasoma programs za Sayansi kwani nini kina shindikana kwenye udaktari. Open wanatoa kwa blended mode. Kwamba kwa distance na face to face hasa practicals na field.Hivi kuna wanaosoma udaktari Open University,mkuu?
Siyo kweli kabisa, kujitafutia material na kulishwa materials ni vitu viwili tofauti kabisa.Nadhani ni suala la mtu kukosa muda tu,ila competence ya huyo wa Open University ni tofauti na yule aliyehudhuria full,chuoni
Hesabu au calculation ya ada au GPAKwenye masomo mkuu
Watu wanadhani ukikaa darasani ndo unaelewa Zaidi, 😀😀 kama akili hamna ni hamna tu..Kama wanasoma program za Sayansi kwani nini kinashindikana kwenye udaktari. Open wanatoa kwa blended mode. Kwamba kwa distance na face to face hasa practicals na field.
Makerere University wanafunzi wa Medicine lectures wanasoma kwa zoom wakihitajika kwa vitendo ndio wanaekutana face to face. Unaonekana bado huna exposure dogo.
Watu wanajifunza mambo makubwa kupitia U tube wenyewe bila kufundishwa ndio unaongelea Open University ambayo ina njia nyingi mbalimbali za kujifunzia.
Open university lengo lake ni watu kama hawa ambao wapo kazin already or wana majukumu ambayo hayawezi kuwaruhusu kwenda main campus.Acheni kukwepa kwenda main compus huko kwenye vyuo kama Tumaini,UDSM,UDOM n.k,mnakimbilia open University,matokeo yake mnakua ving'ang'anizi kwenye ofisi mbalimbali bila ya kua na ufanisi katika utendaji kazi.Kasomeni,achieni vitengo.
Watu wako gizani,chuoni tunafuata vyeti tu kwa ulimwengu wa sasa,maana maarifa mengi yako mtandaoni,U tube kuna kila kitu shida ni chetiKama wanasoma programs za Sayansi kwani nini kina shindikana kwenye udaktari. Open wanatoa kwa blended mode. Kwamba kwa distance na face to face hasa practicals na field.
Makerere University wanafunzi wa Medicine lectures wanasoma kwa zoom wakihitajika kwa vitendo ndio wanakutana face to face. Inaonesha huna exposure dogo.
Watu wanajifunza mambo makubwa kupitia U tube wenyewe bila kufundishwa ndio unaongelea Open University ambayo ina njia nyingi mbalimbali za kujifunzia.
Yes mtu anayejifunza mwenyewe anakuwa na competence kubwa sio hao wanasoma kwa kukariri na karirishwa huko jalalani na kwingine kama huko.Siyo kweli kabisa, kujitafutia material na kulishwa materials ni vitu viwili tofauti kabisa.
. UTofauti wake ni nini, ukisoma main compus??
. Mbona tunakutana vilaza wengi tu kutoka udom, UDSM na n.k
Kariri tu.Siyo kweli kabisa, kujitafutia material na kulishwa materials ni vitu viwili tofauti kabisa.
. UTofauti wake ni nini, ukisoma main compus??
. Mbona tunakutana vilaza wengi tu kutoka udom,
Lengo sio kwa walio kazini ni kwa wote, ila kwa walio kazini inakuwa faida zaidi kwao kwa kuwa hawa potezi muda au kuacha kazi zao tofauti na angeenda vyuo vya bweni kama sekondari.Open university lengo lake ni watu kama hawa ambao wapo kazin already or wana majukumu ambayo hayawezi kuwaruhusu kwenda main campus.
Na si kweli wanawaoenda open hawana ufanisi kazini, nimefanya kazi na hao watu tena hawa experience kazin inakuwa inawabeba (haswa kama hajabadili profession)
Mtu anayejifunza mwenyewe,akipotea amepotea.Yes mtu anayejifunza mwenyewe anakuwa na competence kubwa sio hao wanasoma kwa kukariri na karirishwa huko jalalani na kwingine kama huko.
Si ndio hapo ndio maana vyuo vya wenzetu wanatoa degree by recognition of prior learning kwa sababu mtu ujuzi anao mfano mafundi gereji anafanya vizuri kuliko anayeitwa Engineer aliye kariri kariri hapo Coet jalalani huku hawezi kuwasha mtambo wowote.Watu wako gizani,chuoni tunafuata vyeti tu kwa ulimwengu wa sasa,maana maarifa mengi yako mtandaoni,U tube kuna kila kitu shida ni cheti
Kwani unaogopa kukosea ndio njia ya kufikia umahiri. Refer Isaac Newton and Albert Einstein nani aliwafundisha.?Mtu anayejifunza mwenyewe,akipotea amepotea.
Hesabu kwenye masomo darasani namaanisha mkuuHesabu au calculation ya ada au GPA