Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

IFahamike kwamba vyuo vikuu vyote duniani vina hadhi moja kwa maana sheria na taratibu na mifumo inayofanya chuo kuwa chuo kikuu,,,kwahiyo award inayotolewa chuo chochote kikuu inatambulika na ina hadhi sawa

Kinachotokea hapa ni ufahari tu na mazoea ya vyuo vya campus,,lakini online universities zina hadhi kama vyuo vikuu vingine vikuu

Kwahiyo anayetaka kwenda open university aende na asome kwa raha zake,,kikubwa ni kuwa na nidhamu ya mtu binafsi,,kufuatilia ratiba zako vizur,kujua ratiba za assignments, mitihani,,kupata course outline na mambo kama hayo

Vitabu viko pale mnapewa na materials zinazo hitajika katika course yako

Faida moja wapo ya Open University inakufanya usome sana na hivyo kuwa deep zaidi kimaarifa,una cross check vitabu na materials mbali mbali

Papers mnafanya physical au ana kwa ana
 
Wakuu Post graduate diploma in education (Physics) ada inaweza kuwa bei gani open?
 
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi ujao. Kwa tunaotarajia kuomba OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Open University nawakaribisha mtupe uzoefu kuhusu chuo hiki kwenye mode of delivery, field na mengineyo.

Nawasilisha.
Open unaomba tu wala hakuna haja ya kusubiri dirisha la udahili
 
Ila watu Kwa kuharibu nyuzi wako ok
Badala ya kuwa Uzi wa mchango aliotegemea kupata mleta Uzi badala yake tumekuwa Uzi wa mipasho bhagoshaaaa
Aisee ni hatari sana! Kama unaona
Open University sio Elimu..unafanya Nini kwenye huu uzi! Unapoteza muda Bure!
 
Acheni kukwepa kwenda main compus huko kwenye vyuo kama Tumaini,UDSM,UDOM n.k,mnakimbilia open University,matokeo yake mnakua ving'ang'anizi kwenye ofisi mbalimbali bila ya kua na ufanisi katika utendaji kazi.Kasomeni,achieni vitengo.
Majukumu, shule ya ukubwani. Hata walioanzisha Open and Distance Learning waliona kuwa kuna kundi la watu wangependa kusoma huku wakiendelea na majukumu yao ofisini. Muda ambao wewe unautumia jioni kukaa baa na kuangalia ligi za soka, mwenzio yupo darasani
 
Hawa open vipi mbona hawaeleweki, nimelipia hela ya kujisajiri ni mwenzi sasa lakini, naambiwa sijalipia hela ya usajiri 🤔🤔
 
Kwa wanachuo wanaopenda kuishi kigamboni karibu na Ferry/Kivukoni Nicheki Whatsapp ili upate Room ya ndoto yako.

Asante.
WhatsApp:+255620523897.
#Chumba #Vyumba #Kigamboni #Ferry #Kivukoni #Pantoni #Chuo #Vyuo #College #Universitylife #Collegelife
 
Mkuu n nani sa hivi
Prof mbwete yupoo??bisinda??
Profesa Tolly Mbwette afariki dunia: July 3, 2020 Matatizo ya kupumua
 

Attachments

  • Mbwete.jpg
    Mbwete.jpg
    19.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom