Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Ahsante sana kwa kunipa mwanga mheshimiwaSiezi kuongeza nyama maana sijui uko chama gani..kila chama kina hatua zake na michakato yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana kwa kunipa mwanga mheshimiwaSiezi kuongeza nyama maana sijui uko chama gani..kila chama kina hatua zake na michakato yao
Hilo jimbo linachukulika kabisa mkuu.Naenda kuliweka Jimbo la Kawe ktk mikono yangu, mla kondoo arudi akachunge.
Ndugu mtia nia,Najua katika jukwaa hili wapo watanzania wenzetu wanaotarajia kugombea ubunge 2025.
Kugombea nafasi yeyote sio jambo baya bali ni jambo la kimaendeleo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu.
Kila mtanzania anahaki ya kugombea nafasi ya ubunge na nafasi zingine katika taifa letu.
Hivyo watanzania wenzangu wenye nia kama hiyo msiogope.
Mkiendelea kuogopa taifa letu haliwezi kupata maendeleo mnayoyataka.
Mkiogopa mambo hayawezi kuwa vile mnavyotaka.
Mabadiliko ya kweli yanatakiwa yaanze nawewe mwenyewe.
Hivyo nimeandika mada hii nikiwa mwenye nia thabiti ya kugombea ubunge jimbo la Mbozi.
Kama Kuna wengine pia wanaogombea naomba tukae hapa tujadili mikakati, changamoto na faida mbalimbali za kugombea ubunge.
Tujadili ni jinsi gani tunaweza kupambana na changamoto hizo na kwa kutumia mikakati ipi.
Lakini tusisahu faida tutakazo zipata mara baada ya kugombea.
Lakini pia ni changamoto zipi wanazopitia wabunge huko bungeni.
Mheshimiwa nimepokea baraka zote. Ahsante sanaNdugu mtia nia,
nakuombea Baraka na Neema za Mungu katika haja yako ya kutaka kuwatumikia wanainchi na waTanzania kwa ujumla.
Utumishi ni wito.
Mungu akujaze na kukutia nguvu,
Kila la kheri 🐒
Hana hamu tena wajumbe walimpa kura "moya"Mkuu Pascal Mayalla maoni yako muhimu
Mkuu naomba niwe campaign Manager wako 🤣🤣kawe wananchi uwezo wao wa kiakili unajulikana vzr kina Genta, round hii tunawapa ahadi ya kwenda New YorkNaenda kuliweka Jimbo la Kawe ktk mikono yangu, mla kondoo arudi akachunge.
Gombea bwana 😂😂🫣 nitakupa kuraMie naitaka kata ..Ubunge bado ..kila la kheri wabunge watarajiwa
Hahahahaha..hata unajua ni kata gani ?Gombea bwana 😂😂🫣 nitakupia kura
Hata iweje nakupigia kuraHahahahaha..hata unajua ni kata gani ?
Mheshimiwa kama unawafahamu hao wadau naomba uni PMHapo Vwawa inabidi kuna wadau ukae nao karibu wakupe mbinu na sehemu za kuzoa kura kirahisi
Hahahahahaha, ahsante itunze kura yako muda ukifika itumieHata iweje nakupigia kura
Agombee asiogopeGombea bwana 😂😂🫣 nitakupa kura
Ndio ni waganga njaa wa kuleta mabadiliko.Wagombea ubunge wote ni waganga njaa tu...
Ndio ni waganga njaa wa kuleta mabadiliko.