Hahahahah .......@selikavu mwambie huyo Meneja Wa Makampuni kuwa mara ingine anaweza kuibuka na kura moja kama ilivyompata Pascal Mayalla. Asije akashangaa.Mkuu Pascal Mayalla maoni yako muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah .......@selikavu mwambie huyo Meneja Wa Makampuni kuwa mara ingine anaweza kuibuka na kura moja kama ilivyompata Pascal Mayalla. Asije akashangaa.Mkuu Pascal Mayalla maoni yako muhimu
Hahaaaaa toka apate Kura yake moja tu, hana hamu.Mkuu Pascal Mayalla maoni yako muhimu
UongooNdio ni waganga njaa wa kuleta mabadiliko.
Unazijua figisu za ole sendeka?Mungu akipenda nitagombea kupitia tiketi ya fisi m ubunge wa simanjiro.
Wasifu.
Mimi ni mmasai original
MImi ni mwanamke
Nahuruma nimkweli mpenda maendeleo
Sijajaliwa uongo .
nitamwomba yule baba akapumzike sendeka ni mmojomba wangu so atatoa tu wamasai oye nigombee .
Jimbo la Tukuyu? Lipo wapiMimi nagombea Tukuyu.
Yule ni mwanaume mie binti sina 40 eti mkuu ni haya mafuta ukikaa naye vizuri mkaongea hakuna kitu kinaharibika duniani ni kuongea na wakuu upewe madili mjini kiakiliUnazijua figisu za ole sendeka?
Poa mkuu, pia jitahidi ukiwa Vwawa ufike vijiwe kama Jekas, Pale Appex Bar, Richie Richie maeneo hayo ndio siasa ya Vwawa inajadiliwa sana na washikadau wa chama ndio huwa wanakuwepo. Mh Zambi usiache kumtafuta anajua kona zote ingawa walimchezea rafu akakosa ubunge.Mheshimiwa kama unawafahamu hao wadau naomba uni PM
Nyie ndo mnakuja kuomba kura kwa Kichina😂Mimi nitagombea Jimbo la Arusha mjini kama mgombea wa chama TYP- Tanzania Youth Party
Ahsante sana mkuu kwa madini mazito nitafika hayo maeneo yote.Poa mkuu, pia jitahidi ukiwa Vwawa ufike vijiwe kama Jekas, Pale Appex Bar, Richie Richie maeneo hayo ndio siasa ya Vwawa inajadiliwa sana na washikadau wa chama ndio huwa wanakuwepo. Mh Zambi usiache kumtafuta anajua kona zote ingawa walimchezea rafu akakosa ubunge.
Nikipita huko nitajiandikisha niwe mpiga kura wako.
Sisi ni watu wa Mungu aliyejuu aliyeumba wakina kalumanzila boss. Tunaanza na Mungu muumba wa vyote tunamaliza na Mungu muumba wa vyote.Mkitoka huko njoeni huku kalumanzila wa uhakika nakupa ubunge bila kampeni
Kwanini mkuuNyie ndo mnakuja kuomba kura kwa Kichina😂
Pambana hakuna kulaza damu vijana ndio taifa la sasa wala sio kesho.Yule ni mwanaume mie binti sina 40 eti mkuu ni haya mafuta ukikaa naye vizuri mkaongea hakuna kitu kinaharibika duniani ni kuongea na wakuu upewe madili mjini kiakili
Hongera sana mkuu pambania nafasi yakoMimi nagombea Tukuyu.