Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

Ndugu mtia nia,
nakuombea Baraka na Neema za Mungu katika haja yako ya kutaka kuwatumikia wanainchi na waTanzania kwa ujumla.

Utumishi ni wito.
Mungu akujaze na kukutia nguvu,
Kila la kheri 🐒
 
kwa mfano,
Ndugu mtia nia, Jimbo lako lina taarafa ngap?

Lakini pia lina kata ngap?

vip vijiji na vitongij viko vingap🐒

idadi ya watu je kulingana na sensa ya majuzi 🐒

vip idadi ya wapiga kura ikoje, rejea uchaguzi ulopita na zingatia maboresho ya daftari la kudumu la wapga kura wakati huu🐒

This is the homework.

Plz build the foundation for your mjengoni journey2025 on this platform 🐒
 
Ndio ni waganga njaa wa kuleta mabadiliko.

Ni waganga njaa kujinufaisha wenyewe kutokana na masurufu ya ubunge...

Kama ni mabadiliko, kila mwananchi ana nafasi na wajibu wa kuleta mabadiliko...

Hata nikikuuliza, wewe kama ukiwa mbunge ni nini utafanya tofauti na ulivyo sasa, hutakuwa na majawabu ya maana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…