Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

Nimeishi Na wakurya mda mrefu sana!
Kwanza niwasifu kitu kimoja mna jali sana ndugu,
Ila MNA haya;
Ati mtoto akifeli shule au akiharibu chochote basi mwanaume anakuja kumgombeza mama nyumbani! Yaani utafikiri huyu mama alimtuma mtoto afeli......

*Kujifanya much know sana ! hapa Ndio mnameza rekodi!
*Wivu kwa wanawake wakati huo we mwanaume kutoka Na wanawake wengine basi Ndio unajiona wewe kidume!
*Kukeketa watoto wenu wa kike halafu mkifika mjini mnashoboka Na wanawake wa makabila mengine ambao hawajakeketwa Na kuona kama ulipotea vile kuoa aliyekeketwa!

[HASHTAG]#Nitaendelea[/HASHTAG]
Sawa Leo naisoma misumari yenu!

acha uongo
 
Wakurya ni watu poa sana sema wengi hawajui tu, wanawachukulia kulingana na historia ya matukio yao.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Wakurya ni watu poa sana sema wengi hawajui tu, wanawachukulia kulingana na historia ya matukio yao.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Hatuko poa sana kama unavodhani upoa wetu ni Kwa wageni siyo wenyeji!

acha uongo
 
Wakurya ni watu poa sana sema wengi hawajui tu, wanawachukulia kulingana na historia ya matukio yao.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Mkuu watu wanaishi kwa mazoea na jambo likitokea mara linakuzwa sana tofauti na uharisia kabisa.

Na ukijaribu kuwambia ukweli watu wanaona unawadanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakurya ni watu poa sana sema wengi hawajui tu, wanawachukulia kulingana na historia ya matukio yao.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Mkuu watu wanaishi kwa mazoea na jambo likitokea mara linakuzwa sana tofauti na uharisia kabisa.

Na ukijaribu kuwambia ukweli watu wanaona unawadanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh kweli jamaa majasiri.
Esta matiko, ester bulaya, wassira,Nyerere, msuguri , Waitara ( ukonga) heche, Wenje, Masamaki (Tra) kamanda sea low , Mwita Marwa, mbunge wa mwibara, Hizi njemba matata.
Teh Teh Teh Teh Teh wakurya ni wachache sana utakuta waoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh kweli jamaa majasiri.
Esta matiko, ester bulaya, wassira,Nyerere, msuguri , Waitara ( ukonga) heche, Wenje, Masamaki (Tra) kamanda sea low , Mwita Marwa, mbunge wa mwibara, Hizi njemba matata.
R.I.P Chacha wangwe !hii mashine ingekuwepo ndo ungeona namna tunavowaowaga mananga

acha uongo
 
Back
Top Bottom