strugo
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,235
- 1,839
Sawa Leo naisoma misumari yenu!Nimeishi Na wakurya mda mrefu sana!
Kwanza niwasifu kitu kimoja mna jali sana ndugu,
Ila MNA haya;
Ati mtoto akifeli shule au akiharibu chochote basi mwanaume anakuja kumgombeza mama nyumbani! Yaani utafikiri huyu mama alimtuma mtoto afeli......
*Kujifanya much know sana ! hapa Ndio mnameza rekodi!
*Wivu kwa wanawake wakati huo we mwanaume kutoka Na wanawake wengine basi Ndio unajiona wewe kidume!
*Kukeketa watoto wenu wa kike halafu mkifika mjini mnashoboka Na wanawake wa makabila mengine ambao hawajakeketwa Na kuona kama ulipotea vile kuoa aliyekeketwa!
[HASHTAG]#Nitaendelea[/HASHTAG]
acha uongo