House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

Ina unyamwezi mzuri na nimeipenda na hata maeneo ya Martin Luther pametuliaga sana sema ngoja waje wateja tu mi nimeishia kupatamani....
 
Yahn hilo pagala 45m zama hizi za Magu?????

Madalali Mungu anawaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa macho ya picha bila kufika site hii nyumba ni kali kulingana na Martin Luther ilipo, ukitazama kwa makini utaona ni vyumba vinne lakini ni vitatu, hivyo ndani ni kubwa, eneo amesema sqm 600 total coverage lakni ni kama 650sqm. Nafikiri madirisha milango ndio bado ikuuzwa 40mil au 38mil siyo mbaya maana hiyo aliyoota siyo fixed price unaeza lia 37mil.
 
Kumbuka nyumba ya kununua ni tofauti na kujenga, ukiuziwa nyumba Bei ipo juu zaidi yaani kibiashara, lkni ukijenga mwenyewe unaenda na bajeti hivyo siyo kila kitu utahitaji kutumia, labda bajeti ya bati, mbao, na vifaa vingine wewe unaeza tumia low cost materials e.g bati ya msouth utatumia ya gauge ya chini. Japo siyo wote wanabajeti hizo na usimamizi wanapo jenga, mwingine akijenga yaani Bora tu anunua maana anacomplicate ujenzi
 
Kwa macho ya picha bila kufika site hii nyumba ni kali kulingana na Martin Luther ilipo, ukitazama kwa makini utaona ni vyumba vinne lakini ni vitatu, hivyo ndani ni kubwa, eneo amesema sqm 600 total coverage lakni ni kama 650sqm. Nafikiri madirisha milango ndio bado ikuuzwa 40mil au 38mil siyo mbaya maana hiyo aliyoota siyo fixed price unaeza lia 37mil.
Hahaha aisee mkuu umeonaje kama kuna vyumba vitatu au ndo unajijibu kwa id yako nyingne???

anyway kwangu kuna 25m!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
25Mil will do, maana finishing ndio huwa mziki nina uzoefu kamili juu ya hili
 
Jengo lenye ujenzi wa ghorofa moja linauzwa, linapatikana mbezi, msakuzi.

Ni km 5 kutoka mbezi stand.

Jengo bado lipo hatua za mwanzo.
Ramani ya jengo, Chini kuna sitting room, dining room, kitchen, store, public toilet na bedroom.

Na floor ya juu ni vyumba vitatu (hii ni baada ya jengo kukamilika.)

ENEO LAKE:
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1200
Eneo lina offer tayari (full surveyed)
Offer: 40m
Call/SMS: 0756 832833

IMG-20190205-WA0002.jpeg
IMG-20190205-WA0005.jpeg
IMG-20190205-WA0003.jpeg
IMG-20190205-WA0001.jpeg
IMG-20190205-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu uza tuu

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom