King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,581
- 1,357
hata kama angeuza kwa 10mil wanazengo wangelalamika.Kitendo cha kuuza hili boma kwa 40m ( could still be negotiable) kinawapa mashaka wananzengo juu ya ubora na uimara wa msingi na boma lenyewe kwa ujumla... tena naona kama liko kwenye slope, bado gharama za kiwanja (1200sqm, surveyed, in Dar)
This price is unreasonably low..
Sent using Jamii Forums mobile app