House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

Ukubwa wa hiyo master yaani futi ngapi chumba kwa ngapi

Sent using my Nokia Torch
 
Kiwanja kinapatikana wilaya ya ilala, jimbo la UKONGA.
Umbali wa 7km kutoka banana (nyerere road/old pugu ROAD)
Kiwanja kipo Kivule stand ya zamani.
Umbali wa meter 400 kutoka barabara kuu inayotajiwa kuwekwa lami ya Kivule.
Ukubwa wa KIWANJA ni sqm 440 (22*20)
Bei ni 7m (neg)
More information: 0756 832833


IMG-20190425-WA0078.jpeg
IMG-20190425-WA0077.jpeg
 
Of course haturidhiki lakini nimebaki kinywa wazi, say ningekuta laki 5 at least huo mshangao nisingekuwa nao. Ni sawa na siku nilikuta supu ya nyama ya 500 pale Sikonge. Sikula Mimi!!!
Hiyo ni lazima kuitilia shaka, maana inaweza kuwa ya kibudu.
 
Salaam,
Nyumba inapatikana, Ubungo Riverside (kituo kimoja kutoka Ubungo mataa)
NYUMBA ipo umbali wa mita 500 kutoka Mandela road (mwendo wa dakika 4 kutoka stand)
Nyumba ina vyumba viwili kimoja ni self contained.
Gypsums na shunter windows
Floor ni tarazo.
Iko ndani ya fensi.
KODI: 250k (per month ×6)
More details : 0756 832833



IMG_20190531_145904.jpeg
IMG_20190531_145849.jpeg
IMG_20190531_145831.jpeg
IMG_20190531_145819.jpeg
IMG_20190531_145908.jpeg
IMG_20190531_145815.jpeg
 
Ubungo Riverside siku hizi kunalinganishwa na maeneo hayo uliyotajwa
Sidhani Kama hyo nyumba inahadhi hiyo otherwise iwd furnished
Kawaida mzee
Nenda mikocheni, Mbezi beach, masaki huko ndio utashangaa zaidi nadhan..chumba kimoja mpaka 200k inafika.
 
Vyumba viwili 250[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda apartment kkoo pale mamaee .
 
Sorry mkuu u mean vyumba viwili au chumba kimoja na sebule?
 
Salaam,
Nyumba inapatikana, Ubungo Riverside (kituo kimoja kutoka Ubungo mataa)
NYUMBA ipo umbali wa mita 500 kutoka Mandela road (mwendo wa dakika 4 kutoka stand)
Nyumba ina vyumba viwili kimoja ni self contained.
Gypsums na shunter windows
Floor ni tarazo.
Iko ndani ya fensi.
KODI: 250k (per month ×6)
More details : 0756 832833



View attachment 1113506View attachment 1113511View attachment 1113508View attachment 1113509View attachment 1113510View attachment 1113512
Utakua unamaanisha elfu 25 per mwezi wewe,acheni uvumi wa majumba makibwa ya kisasa ya watu na ninyi mnayabeba kuwajaribu watu ili muone kama mtabahatisha.madalali bwana!!
 
Bei kubwa sana maeneo hayo wewe.
Halafu wewe ni dalali kabisa unajifanya huna experience!!!

Tazama nyumba yenyewe, quality yake local sana. Cheki madirisha!!
Angeshangaa nyumba kwa bei hiyo! ila sio vyumba viwili kwa bei hiyo! tafuteni pesa acheni kulia lia, sasa agekuja kwenye compound yangu vyumba viwili kwa 500,000 si angezimia kabisa.
 
Angeshangaa nyumba kwa bei hiyo! ila sio vyumba viwili kwa bei hiyo! tafuteni pesa acheni kulia lia, sasa agekuja kwenye compound yangu vyumba viwili kwa 500,000 si angezimia kabisa.

ile ya pale Kimara Baruti???
 
Back
Top Bottom