mudrah
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 735
- 1,983
nitarudi ngoja nikajitafutie ugali angu mie[emoji124][emoji124][emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwanga tu.Hizo tofali bora angetumia kujenga Nyumba ya kawaida alidanganywa kujenga ghorofa kwa pesa za dili ndio matokeo yake haya.
Hii ni awamu ya tano,lazima watu wanyooke sana!
Usimind pls!
Wewe mwambie pesa uliyonayo mkubaliane.Kwa milioni 40 hapo sijui[emoji848][emoji848]...(in tivu ake voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema haki ya Mungu?Jengo lenye ujenzi wa ghorofa moja linauzwa, linapatikana mbezi, msakuzi.
Ni km 5 kutoka mbezi stand.
Jengo bado lipo hatua za mwanzo.
Ramani ya jengo, Chini kuna sitting room, dining room, kitchen, store, public toilet na bedroom.
Na floor ya juu ni vyumba vitatu (hii ni baada ya jengo kukamilika.)
ENEO LAKE:
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1200
Eneo lina offer tayari (full surveyed)
Offer: 40m
Call/SMS: 0756 832833
View attachment 1013832View attachment 1013834View attachment 1013833View attachment 1013835View attachment 1013836
Sent using Jamii Forums mobile app
Asavali mwanga kuliko gizaWewe mwanga tu.
Kiswahili ulipata ngapi? 0%Asavali mwanga kuliko giza
Hizo tofali bora angetumia kujenga Nyumba ya kawaida alidanganywa kujenga ghorofa kwa pesa za dili ndio matokeo yake haya.
Hii ni awamu ya tano,lazima watu wanyooke sana!
Usimind pls!
Jengo lenye ujenzi wa ghorofa moja linauzwa, linapatikana mbezi, msakuzi.
Ni km 5 kutoka mbezi stand.
Jengo bado lipo hatua za mwanzo.
Ramani ya jengo, Chini kuna sitting room, dining room, kitchen, store, public toilet na bedroom.
Na floor ya juu ni vyumba vitatu (hii ni baada ya jengo kukamilika.)
ENEO LAKE:
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1200
Eneo lina offer tayari (full surveyed)
Offer: 40m
Call/SMS: 0756 832833
View attachment 1013832View attachment 1013834View attachment 1013833View attachment 1013835View attachment 1013836
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha,, itakua huyu jamaa ni dalali maana mmmh hiyo bei na jengo lilipofikia na awamu hii mbona hatari,,Kwa milioni 40 hapo sijui[emoji848][emoji848]...(in tivu ake voice
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Hahaha,, itakua huyu jamaa ni dalali maana mmmh hiyo bei na jengo lilipofikia na awamu hii mbona hatari,,
Nunua hilo ghorofa mumy si umeona the way lilivo Zuri,,